Zitto Kabwe na ujumbe wake watua Ulaya, shughuli imeanza rasmi

Upuuzi mtupu!!!!!!

Ni mbumbumbu pekee atashabikia uharomaji uliouandika humu

Hivi ulishawahiona marekani ,Canada,australia,Sweeden Denmak n.k wanakuja nchi yoyote ya Afrika kuanika nyuchi zao na mambo yao ya ndani?

Au unataka kutuaminisha kwamba wao ni watakatifu?

Black Americans hawanyanyaswi Marekani?

Uingereza na washirika wao hawapangi vamizi za kuwaua mamilioni ya raia kote duniani?

Hawaibi mafuta nchi za kiarabu?




Au bado mnaamini kama mlovyoaminishwa kwamba wao ni "HE" na nyie ni "SHE" country hivyo mnaenda kwa waumezenu?

Hamna tofauti na jike shupa lililoolewa kisha kutwa nzima linashinda mtaani kuwaelezea vijana wa bodaboda namna ambavyo mumewe hamfikishi kisawasawa...... bado mnashabikia?

Kama ndivyo sawa nhoja niishie hapo nisijenikaingilia mambo yenu ya ukewenza

NB//
Hivi tujikumbushe yule aliyeamua kuianika marekani bwana Edward, S anayeishi uhamishoni kwa sasa na jinsi wamarekani wanavyohaha kumtafuta yeye au kichwa chake whether died or alive halafu sisi tunachukulia poa.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Unakili kuna uonevu kwa Maelezo yako
 
Lisu alifanya hivi hivi mwaka jana na baada ya hapo wahisani wakaendelea kushirikiana ba serikali ya Tanzania! Zitto lengo lake ni kuipiku CHADEMA kimataifa na wala sio serikali ! Kwa hiyo akina Mbowe ndio wanaotakiwa kuingia hofu kuu !
kuna kitu hukijui kuhusu haya mambo , endelea kubaki hapa hapa jf
 
View attachment 1338320

Tayari Mh Zitto Kabwe na ujumbe wake wameanza kazi iliyowapeleka Ulaya , wameishakutana na Makundi kadhaa ya watetezi wa haki za binadamu kwa lengo la kunusuru demokrasia ya Tanzania .

Sisi wapenda haki na demokrasia ambao ni Wazalendo wa kutupwa tuko tayari kuunga mkono juhudi zozote zinazofanywa ili kuunganisha nchi iliyogawanywa makusudi na watu waoga
Ulaya ndio nchi gani? Mgonjwa kazunguuuuka mwisho kaona atateguka shingo na hajaambulia chochote kaufyata.
 
View attachment 1338320

Tayari Mh Zitto Kabwe na ujumbe wake wameanza kazi iliyowapeleka Ulaya , wameishakutana na Makundi kadhaa ya watetezi wa haki za binadamu kwa lengo la kunusuru demokrasia ya Tanzania .

Sisi wapenda haki na demokrasia ambao ni Wazalendo wa kutupwa tuko tayari kuunga mkono juhudi zozote zinazofanywa ili kuunganisha nchi iliyogawanywa makusudi na watu waoga
Sema nyinyi wasaliti mbona unajifichaficha. Ameenda kwa mabwana zake ameona hapa TZ hawana mpango naye! Naomba October ije mapema tumalizane naye huyu! Tumeshamchoka!
 
Upuuzi mtupu!!!!!!

Ni mbumbumbu pekee atashabikia uharomaji uliouandika humu

Hivi ulishawahiona marekani ,Canada,australia,Sweeden Denmak n.k wanakuja nchi yoyote ya Afrika kuanika nyuchi zao na mambo yao ya ndani?

Au unataka kutuaminisha kwamba wao ni watakatifu?

Black Americans hawanyanyaswi Marekani?

Uingereza na washirika wao hawapangi vamizi za kuwaua mamilioni ya raia kote duniani?

Hawaibi mafuta nchi za kiarabu?




Au bado mnaamini kama mlovyoaminishwa kwamba wao ni "HE" na nyie ni "SHE" country hivyo mnaenda kwa waumezenu?

Hamna tofauti na jike shupa lililoolewa kisha kutwa nzima linashinda mtaani kuwaelezea vijana wa bodaboda namna ambavyo mumewe hamfikishi kisawasawa...... bado mnashabikia?

Kama ndivyo sawa nhoja niishie hapo nisijenikaingilia mambo yenu ya ukewenza

NB//
Hivi tujikumbushe yule aliyeamua kuianika marekani bwana Edward, S anayeishi uhamishoni kwa sasa na jinsi wamarekani wanavyohaha kumtafuta yeye au kichwa chake whether died or alive halafu sisi tunachukulia poa.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Swala ni kuwa serikali ni lazima iheshimu haki za binadamu. Huwezi kwenda kwa watu wastaarabu kutembeza bakuli wakati hao unaojidai kuwaombea unawanyanyasa.

Ni wajinga tu wanaonufaika na mfumo kandamizi wanaoshabikia huu uhayawani.

Hata mfalme ndio ikionekana kuwa uwepo wake kwenye jahazi ndio unasababisha chombo kitake kuzama automatically anakuwa jettisoned ili kuokoa abiria walio wengi. Our present situation suits that analogy.
 
Hopeless comment! Subiri baada ya October utajua na wewe ukileta cha kuleta utajua kama maharage ni mboga!
Ya October uyajue wewe ni nani, labda huyo unayemtegemea asiwepo humu duniani, alikufa King George sembuse hao kaluganzila.
 
Yale yale ya Maalim sefu Alienda Marekani
Akaishia kujipigia tupicha ukumbini
Upinzani wa tanzania
Aliye waroga kisha kufa na dawa yake
Full Kucheza na Akili za Vibendera wao hovyo
Kumbe ulitaka waanzishe uasi wa misituni wastaarabu tunajua vita haileti amani ya kudumu mageuzi ya kweli ni ushawishi wa hoja sio ubabe wala vitisho
 
Haijalishi nani atakuwepo! Jiandaa kisaikolojia mkuu!
Raha ya kutawala hata kama unaiba kura ni kukidhi matarajio ya hao unaowaibia kura lkn kama unatawala huku unategemea kutembeza bakuli hata wewe hutaona raha ya huo wizi wako wa kura.

Na hata ukistaafu, ulinzi mkali ulionao itabidi uwe nao perennially hata kama unaenda maliwatoni kwani hutaacha kuishi kwa guilt conscience.
 
Back
Top Bottom