Zitto Kabwe na Tundu Lissu wakanusha uwezekano wa kushirikiana kisiasa

Freed Freed

JF-Expert Member
Jun 27, 2017
6,230
6,471
Ktk kipindi cha Kinagaubaga cha redio DW Mchana huu kilichorushwa na mtangazaji Mohammed Herllef, wamehojiwa wanasiasa Zito na Lissu. Wote wawili wamekanusha habari zinazojiri mitandaoni kuwa Lissu atahamia ACT kuungana na Zitto.

Lissu kasema anaikubali kazi nzuri anayoifanya Zitto ya kupigania demokrasia nchini tangu yeye aondoke kutokana na mashambulizi ya mvua ya risasi. Zitto alimalizia kwa kusema kuanza kumuwaza mtu sahihi wa kumkabili Rais Magufuli na CCM mwaka 2020, bila kumuwaza Tundu Lissu itakuwa ni Uwendawazimu.
 
Ktk kipindi cha Kinagaubaga cha redio DW Mchana huu kilichorushwa na mtangazaji Mohammed Herllef, wamehojiwa wanasiasa Zito na Lissu. Wote wawili wamekanusha habari zinazojiri mitandaoni kuwa Lissu atahamia ACT kuungana na Zitto.

Lissu kasema anaikubali kazi nzuri anayoifanya Zitto ya kupigania demokrasia nchini tangu yeye aondoke kutokana na mashambulizi ya mvua ya risasi. Zitto alimalizia kwa kusema kuanza kumuwaza mtu sahihi wa kumkabili Rais Magufuli na CCM mwaka 2020, bila kumuwaza Tundu Lissu itakuwa ni Uwendawazimu.
Mistari mitano ya mwisho ndio IMEBEBA UJUMBE. Na huo ndio ukweli.

Ila mjue na sisi CCM tumejipanga kumpa tena mitano mgombea wetu
 
Ktk kipindi cha Kinagaubaga cha redio DW Mchana huu kilichorushwa na mtangazaji Mohammed Herllef, wamehojiwa wanasiasa Zito na Lissu. Wote wawili wamekanusha habari zinazojiri mitandaoni kuwa Lissu atahamia ACT kuungana na Zitto.

Lissu kasema anaikubali kazi nzuri anayoifanya Zitto ya kupigania demokrasia nchini tangu yeye aondoke kutokana na mashambulizi ya mvua ya risasi. Zitto alimalizia kwa kusema kuanza kumuwaza mtu sahihi wa kumkabili Rais Magufuli na CCM mwaka 2020, bila kumuwaza Tundu Lissu itakuwa ni Uwendawazimu.
Dah
FB_IMG_15680947916623804.jpeg
 
Wameongea Kisiasa Ila Kwa Wajuzi Wa Mambo Inawezekana

Kama Iliwezekana Kwa Maalim Seif Ambaye Misimamo Yake Inajulikana Ni Mikali Kama Aliuyo Lissu.

So Inawezekana Pia Kila Kitu Kwenye Siasa Uwa Kinatokea.
 
Wameongea Kisiasa Ila Kwa Wajuzi Wa Mambo Inawezekana

Kama Iliwezekana Kwa Maalim Seif Ambaye Misimamo Yake Inajulikana Ni Mikali Kama Aliuyo Lissu.

So Inawezekana Pia Kila Kitu Kwenye Siasa Uwa Kinatokea.
Ni nyema kukuona tena kukwaani mkuu.
 
Zitto alimalizia kwa kusema kuanza kumuwaza mtu sahihi wa kumkabili Rais Magufuli na CCM mwaka 2020, bila kumuwaza Tundu Lissu itakuwa ni Uwendawazimu.

Kama kauli ya zito hiyo ndo kazi kaianza hawatamaliza na mbowe kukipangia chama kabla ya....
 
Huwa namuona Zito kama mtu asiye na akili timamu,amesoma lakini anakuwa kama tahira wakati mwingine.

Hivi anadhani kabisa ACT kuna siku itaitoa CCM nadarakani?
Yaani akiangalia kabisa kwa jicho kubwa anaona kabisa yeye na Lisu wanaweza kuwa viongozi wa Taifa hili?

Ukichaa si lazima uokote makopo.
Kama kaweza Magufuli kwann wao wasiwezi
 
Haka kazitto kajanja sana fresh start ndio nini sasa
Kisha kanasema wanasiasa wawili kamtaja tundu kisha wa pili maana yake umeshajua kuwa ni yeye. Kwa hiyo kina mbowe, lipumba ambaye ndiye mtu pekee wa upinzani aliyebeba jeneza la mama yake pale airport kuingiza kwenye ndege kwenda kigoma, kina lema, sugu,mdee,maalim seif na wengineo ni magarasa tu.
 
Huwa namuona Zito kama mtu asiye na akili timamu,amesoma lakini anakuwa kama tahira wakati mwingine.

Hivi anadhani kabisa ACT kuna siku itaitoa CCM nadarakani?
Yaani akiangalia kabisa kwa jicho kubwa anaona kabisa yeye na Lisu wanaweza kuwa viongozi wa Taifa hili?

Ukichaa si lazima uokote makopo.

One finger to him.......how many fingers left to you?
 
Ktk kipindi cha Kinagaubaga cha redio DW Mchana huu kilichorushwa na mtangazaji Mohammed Herllef, wamehojiwa wanasiasa Zito na Lissu. Wote wawili wamekanusha habari zinazojiri mitandaoni kuwa Lissu atahamia ACT kuungana na Zitto.

Lissu kasema anaikubali kazi nzuri anayoifanya Zitto ya kupigania demokrasia nchini tangu yeye aondoke kutokana na mashambulizi ya mvua ya risasi. Zitto alimalizia kwa kusema kuanza kumuwaza mtu sahihi wa kumkabili Rais Magufuli na CCM mwaka 2020, bila kumuwaza Tundu Lissu itakuwa ni Uwendawazimu.
Kwa sasa kuna uwezekano mkubwa sana hilo kutokea. Tundu lisu anaweza kucheza karata ya ke ACT ikitokea ACT haiungani na Chadema. Tundu lisu anataka kuwa kwenye chama chenye mwelekeo wa kuwa chama kikuu cha upinza. ukiangalia kila dalili, ACT kitakuwa chama kikuu cha upinza 2020-2025. Hii inatokana na combination ya Maalim Seif na Zitto kwa sasa. Zitto anahitaji mtu mmoja tuu kukamilisha hilo;ndiyo maana amemtembelea lissu mara tano mpaka sasa kwa safari zinazo fahamika. 2 Nairobi, na 3 Ubelgiji.

Kwa sasa ACT inao mtaji wa kueleweka Zanzibar. CHADEMA walishindwa katika uwezo wa kushawishi kambi ya Seif zitto akaweza, hilo ni goli la kwanza. Sasa anatafuta kumaliza mchezo kwa kumchukua Lissu, hilo goli la pili. Zitto anaweza hata kumwachia lissu agombee urais ila ndani ya ACT ili yeye abaki akidhibiti chama na mapato yatakayo tokana na ruzuku baada ya kujipatia wabunge wengi.

Ikifkia hapo zitto atakuwa mshindi na kuwaacha vijana wa ufipa wakiwatungia majina ya kila namna wao wakikamilisha mradi wao. Zitto is very strategic.
 
Huwa namuona Zito kama mtu asiye na akili timamu,amesoma lakini anakuwa kama tahira wakati mwingine.

Hivi anadhani kabisa ACT kuna siku itaitoa CCM nadarakani?
Yaani akiangalia kabisa kwa jicho kubwa anaona kabisa yeye na Lisu wanaweza kuwa viongozi wa Taifa hili?

Ukichaa si lazima uokote makopo.
Kwani zitto ana haja ya kuitoa CCM madarakani? Au kuna chama chochote chenye lengo na uwezo wa kuitoa CCM madarakani? Zitto anatafuta kukuza chama chake na kuwa kikuu cha upinzani maisha ya kisiasa yaendelee. Kama CHADEMA kilivyo ondoa vyama vingine na kuongoza kambi, sasa ni zamu ya ACT. Hamna namna kwa sasa ni jambo la muda tuu.
 
Back
Top Bottom