johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,767
- 141,630
Najikumbusha tu jinsi vijana hawa wawili siasani Zitto Kabwe na Cecil Mwambe walivyoondoka Chadema katika mwaka wa uchaguzi na kusamehe mafao yao baada ya kujiuzulu ubunge.
Yataka moyo mkuu kufikia maamuzi kama haya.
Maendeleo hayana vyama!
Yataka moyo mkuu kufikia maamuzi kama haya.
Maendeleo hayana vyama!