impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,733
- 7,611
Tangu Tundu Lisu Mbunge kupigwa risasi na viumbe (wasiojulikana) kutoka Sayari ya Sumbula kwa kuendesha mijadala ya kukosoa Serikali wabunge wote wa Upinzani wamekuwa waoga hakuna anayefurukuta tena kuikosoa Serikali ya Kifalme,
Msaidieni Zito Kabwe kupaza sauti.
Msaidieni Zito Kabwe kupaza sauti.