Zitto Kabwe: Muswada mpya wa Pensheni una matatizo makubwa

Dah natamani kusema ila hata nyuma ya keyboard panatisha, noma sana
usiogope baba, uoga wako ndiyo umasikini wako. Ukikaa kimya na mimi nikakaa kimya nani atasema? Na hili ndilo Tatizo letu Wadanganyika. Kumbuka, Mungu husaidia anayejisaidia.
 
Zitto asituue Wazee kwa Shinikizo la damu!

Atueleze kwa kirefu Mapungufu ya huo Msaada maana pamoja na vibiashara uchwara tegemeo kubwa ni hiyo Penshen wakitufanyia hujuma watatuaa jamani
Wewe hutegemei teuzi la kisiasa? Achana na pension.
 
Asante Zitto kwa kuthubutu kusemea haya..!

Lissu tumekumiss pia..!

Sasa hapo tatizo alilolianisha linalotokana na huo muswada ni lipi? Angesema kifungu Fulani kinasema blah blah na maana yake ni hii hapo watu wangeona na uwanja Wa kujadili ungepatikana.

Nashangaa MTU anaunga mkono hewa, ndio maana kumbe anawaita Mara nyumbu Mara zwazwa! Unamuunga mkono hata ambapo hajasema lolote, duh!
 
Muswada upo online, tembelea tovuti ya bunge kuung'amua muswada huo ndugu. And what's the problem with Zitto to let us know that he will be discoursing on those issues in the bill. Hivi ITV wakitoa muhtasari wa habari saa 12 na kukwambia kwa taarifa kamili jiunge nasi saa mbili usiku nao huwa wanakosea?

Nia na lengo la Zitto ni kutaka watu wamfuatilie na kumsikiliza kwa yale ambayo ameyaandaa?
Hivi mkuu mtu akienda kwa wakili amsaidie mambo yke ya kisheria, anaweza pewa info then aambiwe mengine aende kununua vitabu vya sheria asome?

Najua mswada upo on-line, je watu wote anaowawakilisha au watanzania wote anaowapa info, wanaweza tembelea tovuti ya bunge? Je lugha iliyotumika on-line?

Basi km ni hivyo? Kuna haja ya wabunge kwenda bungeni kwa hoja yko? Yaani wachangie on-line? Na wapitishe sheria on-line?

Je wasiojua kusoma na kuandika nao itakuaje?

Jambo la busara ilikuwa ni kutoa maoni yake beneath na mswada na si vipande vipande eti Kwanza usome mswada kwenye tovuti ya bunge then uweze ku -link na info za zitto
 
Sasa hapo tatizo alilolianisha linalotokana na huo muswada ni lipi? Angesema kifungu Fulani kinasema blah blah na maana yake ni hii hapo watu wangeona na uwanja Wa kujadili ungepatikana.

Nashangaa MTU anaunga mkono hewa, ndio maana kumbe anawaita Mara nyumbu Mara zwazwa! Unamuunga mkono hata ambapo hajasema lolote, duh!

Ndugu yangu, angalia usiwe unajitusi mwenyewe...Zitto amesema ataeleza hapo baadaye. Akieleza ndipo watu wajadili nini ni nini kipi ni kipi na mengine yatafuata. Tusikilize nini atasema ndipo tuje na maneno mengine, tusiwe wepesi wa ku-judge jamani, hivi haka katabia kameanzia wapi?
 
I see no problem with Zitto Kabwe, but I see a problem with you. Mtu amesema ataelezea kwa nini tusimpe muda kwa nini tusisubiri tusikie nini anasema.
 
Nyepesi nilizozisikia kutoka chanzo kisicho rasmi ni kwamba serikali inataka kufuta ulipaji wa pensheni kwa mkupuo mmoja pale mtu anapo staafu. Mstaafu atakua akilipwa 30% ya pensheni yake halafu iliyobaki atakua akilipwa kwa mafungu kila mwezi ,mfano kama mtu ilikua alipwe milioni 100 basi atalipwa m30 na hiyo sabini kwa mafungu ya kila mwezi.
 
Zitto asituue Wazee kwa Shinikizo la damu!

Atueleze kwa kirefu Mapungufu ya huo Msaada maana pamoja na vibiashara uchwara tegemeo kubwa ni hiyo Penshen wakitufanyia hujuma watatuaa jamani
Jinga kubwa wewe...na lisisiemu lako hilo unaloshabikia hujui kuwa ccm kupitia serikali yake imepanga kuwa wastaafu watachukua only 30% ya pensheni yao baada ya kustaafu....kiasi kingine wataendelea kulipwa kidogo kidogo kila mwezi hadi kufa..kwa proportion ya 10% ya monthly salary......
Endapo mstaafu atafariki familia yake itapewa kiasi tu cha pensheni yake
 
Jinga kubwa wewe...na lisisiemu lako hilo unaloshabikia hujui kuwa ccm kupitia serikali yake imepanga kuwa wastaafu watachukua only 30% ya pensheni yao baada ya kustaafu....kiasi kingine wataendelea kulipwa kidogo kidogo kila mwezi hadi kufa..kwa proportion ya 10% ya monthly salary......
Endapo mstaafu atafariki familia yake itapewa kiasi tu cha pensheni yake

Ambapo kabla ya hapo walikuwa wanalipwa 64% Au siyo?
 
Ndugu yangu, angalia usiwe unajitusi mwenyewe...Zitto amesema ataeleza hapo baadaye. Akieleza ndipo watu wajadili nini ni nini kipi ni kipi na mengine yatafuata. Tusikilize nini atasema ndipo tuje na maneno mengine, tusiwe wepesi wa ku-judge jamani, hivi haka katabia kameanzia wapi?

Huku si sehemu yako, umepotea njia. Wewe subiria
 
Sasa hapo tatizo alilolianisha linalotokana na huo muswada ni lipi? Angesema kifungu Fulani kinasema blah blah na maana yake ni hii hapo watu wangeona na uwanja Wa kujadili ungepatikana.

Nashangaa MTU anaunga mkono hewa, ndio maana kumbe anawaita Mara nyumbu Mara zwazwa! Unamuunga mkono hata ambapo hajasema lolote, duh!

Kumbe ndiyo maana unajiita Domokaya, unaongeaongea tu yasiyofaa. Na inaonesha wewe si mfanyakazi, ungekuwa mfanyakazi nadhani usingeongea kama ulivyoongea. Kaa pembeni ili mjadala ujadiliwe na wanaojua nini kimo ndani yake, wewe huwezi kuwa na mchango positive kwa hili.
 
mliipenda wenyewe 'ndam ndam'!!
mkaichagua wenyewe 'ndam ndam'!!!
 
Mh. Zitto
Ni mtu wa Airtime; mswada umeandikwa na wataalamu ambao ni future retiree, hawawezi kuandika vitu vya kuwamaliza wao...

Tatizo ni kwamba hasubiri kuzungumzia bungeni kwa sababu hoja zake zote zitayeyushwa... anajua akiongelea nje atapata heshima kubwa sana... kwa sababu kuna watu hawatafuatilia atajibiwa nini? Hiyo moja mbili.

Mbili, hicho alichoongelea ni mswaada ambao unarekebishwa bungeni na ndio kazi ya bunge... unapeleka amendment pale panapohusika!!! na sasa mswada uko hatua ya kupata mapendekezo...

Nakumbuka mbwembwe za waheshimiwa fulani wa CCM; zilivyoyeyushwa na sentensi moja ya JPM... this too subirini mjadala wa bunge...
 
Hivi mkuu mtu akienda kwa wakili amsaidie mambo yke ya kisheria, anaweza pewa info then aambiwe mengine aende kununua vitabu vya sheria asome?

Najua mswada upo on-line, je watu wote anaowawakilisha au watanzania wote anaowapa info, wanaweza tembelea tovuti ya bunge? Je lugha iliyotumika on-line?

Basi km ni hivyo? Kuna haja ya wabunge kwenda bungeni kwa hoja yko? Yaani wachangie on-line? Na wapitishe sheria on-line?

Je wasiojua kusoma na kuandika nao itakuaje?

Jambo la busara ilikuwa ni kutoa maoni yake beneath na mswada na si vipande vipande eti Kwanza usome mswada kwenye tovuti ya bunge then uweze ku -link na info za zitto
Sasa kama Haujausoma Muswada wewe mwenyewe .. Utajuaje kama yupo sahihi?!

Alichokifanya katika post ndio umekuwa utaratibu wake kwa muda... Katika ulimwengu wa Twitter tunajua utaratibu. Hakuna makala huko..na post zinakuwa real-time... Ukiona unasema

Kama ilivonakiliwa huko juu...tumpe muda atakuja na maelezo kwann anadhani muswada sio rafiki.. Ila kwa sasa tuusome ili na sie tujue kinamna yetu. Tukiunganisha mawazo anaweza kutusaidia au sie tukamuelewesha pia ..na wote tukatoa mchango kwa jamii..

Natamani kungekuwa na namna id na names behind online posts/messages zingefutwa(kufichwa).. Ili watu wajali ujumbe kuliko kuudhoofisha/kuuponda au hata kuusupport ujumbe kwa sababu umetumwa na Fulani.
 
Kwa zorro zuberi kabwe kutoa angalizo tu bila kutaja baadhi ya vipengele, ushauri gani utumike katika kurekebisha ili kuleta tija na kusaidia mawazo ambapo atakuwa ameitendea haki elimu yake,cheo chake km mbunge na pia haki yake kikatiba, atakuwa ametuduwaza sisi watanzania, tutashindwa kujua udhaifu wa hyo sheria, na pia hata sisi wengine tutashindwa kumsaidia mawazo yetu atufikishie juu. Sioni kama katutendea haki
Ukitulia utamuelewa vizuri ,sioni kama akili yako imetulia na kutafakari...rejea aliposema
<<<<<<<<<
chama cha ACT Wazalendo kitashirikiana na wafanyakazi, vyama vya wafanyakazi na wadau wengine kuhakikisha muswada huu haufiki bungeni, ili pia uitishwe mjadala wa wazi kwa ajili ya kujadiliana suala hili kwa maslahi ya wafanyakazi wote nchini.
 
Back
Top Bottom