Zitto Kabwe; Mtetezi wa Buzwagi Hadi Mchumia tumbo wa Acacia!

blix22

JF-Expert Member
Jun 23, 2013
213
645
Na Mwamba wa Kaskazini, Ngarenaro, Arusha

Inawezekana wapo wanaofurahia hali inayomtokea lakini nahuzunika sana kuona kila siku uwezo wa kiuchambuzi wa yule kijana mwanasiasa makini, Zitto Kabwe, ukishuka kwa kasi ya ajabu.

Zitto makini wa Buzwagi aliyesimamia “Maslahi ya Taifa” na mjenga hoja, mchambuzi na mtafiti si wa sasa. Yu hoi taabani. Kapauka kabisa.

Kutoka Zitto Makini wa Buzwagi sasa tunaye Zitto Mgoni na kada wa Acacia-mtetea “Maslahi ya Watu wa Mataifa.” Hili ndilo hitimisho mtu analoweza kuanza nalo baada ya kusoma makala aliyoisambaza hivi karibuni mitandaoni kuhusu makubaliano ya Serikali na Acacia.

Kwa sababu ya kasoro za ajabu tunazoanza kuziona katika uwezo wake wa kufikiri, nimeona leo tutafakari pamoja mapungufu 10 katika hoja zake zinazoonesha maumivu aliyonayo kuona Serikali imefikia hatua nzuri na Barrick/Acacia wakati yeye aliamini tungekwama.

*1. Ameanza Kupanua Goli:*

Ukisoma andiko la Zitto kwa ujumla wake unabaini sasa ni mtu aliyehamisha goli; kutoka kupinga na hata kuapa kuwa mazungumzo ya Serikali na Barrick hayatazaa matunda yoyote hadi kuanza kujadili matokeo ya mazungumzo. Ni ajabu sana.

Itakumbukwa kuwa mwaka 2017 Serikali na Barrick zilipoingia makubaliano ya awali Zitto alitumia maneno makali ya kashfa kuwa “tumejazwa upepo,” na “tunachezewa shere.”

Katika mahojiano na mwandishi Sudi Mnette wa DW, Zitto alifikia hatua ya kujiapisha kuwa hizo Dola Milioni 300 tulizoahidiwa, hatutazipata, mara akasema hutuwezi kufanikiwa kwa kuongea na Barrick badala ya Acacia.

Leo kaacha hoja hii kavamia utekelezaji. Anateseka. Msikilize hapa alivyofikiri wakati huo:

*2. Amepaniki:*

Kwa ujumla ukisoma andiko la Zitto unamuona ni mwanasiasa anayesumbuliwa na tatizo la kupaniki. Aliamini Acacia aliokuwa akiwasaidia kwa nyaraka na ushauri, akishirikiana na rafiki zake Fatma Karume na Tundu Lissu, wangeisumbua Serikali. Wameanguka.

Leo Acacia imeanguka na inaondoka, ameshikwa na kijiba cha roho! Katika mahojiano hapo juu na DW, alijiapiza kuwa Serikali ya Tanzania haitapata manufaa yoyote kujadiliana na Barrick badala ya Acacia. Leo si tu mazungumzo yamefikia pazuri bali Acacia inaondoka. Mtu mwenye akili timamu lazima upaniki!

*3. Umaamuma wa Sheria:*

Zitto ni maamuma na mbumbumbu kama mimi katika taaluma ya sheria lakini amejiweka mbelembele kuchambua masuala magumu ya kisheria na mwisho wake ndio huu wa aibu!

Kwa mfano anaandika eti Serikali ya Tanzania imeingia mkataba wa hovyo na Barrick. Hakuna mkataba ambao Serikali imesaini na Barrick. Ukisoma juu tu mwanzo wa “Appendix 4” waliyoiweka Acacia wanaomtumia achafue hewa unabaini huyu ni mtu ambaye amepaniki na hajui anachokifanya.

Nyaraka hiyo inasema bayana: “Summary of the material terms of the current draft documentation under discussion (but not yet finalized) with the GoT.”

Kwa kifungu hiki hoja ya Zitto kuwa Serikali imeingia Mkataba na Barrick unaoiumiza nchi inaanguka kwa sababu hata kama ingekuwa kweli kuna vifungu tata, bado makubaliano hayo ni ya awali hayajasainiwa na bado wapo katika majadiliano kwenye maeneo mahsusi. Hapa kadanganya na kuuingiza umma mkenge.

Lakini eneo la pili waraka huo huo anaoutaja Zitto unatamka bayana (uk wa 66) kuwa ni “not yet finalized.” Kwa hiyo kupayuka kwamba eti umesainiwa mkataba wa kimangungo mara sijui haujafikishwa Bungeni ni kupaniki!

*4. Anayumba Katika Utaalamu wa Uchumi:*

Zitto ni Mchumi najua utanishangaa nikikwambia hajui uchumi. Ni kweli. Kwanza hakusoma kwa umakini uchumi pale UDSM. Wanaomfahamu watakubaliana nami kuwa alitumia muda wake mwingi kufanya siasa na harakati za DARUSO kuliko kusoma.

Lakini hata kama angesoma vyema, tangu amalize Chuo sasa ni zaidi ya miaka 10, hajawahi kufanya kazi ya uchumi popote pale duniani zaidi ya kupiga siasa tu na kuhangaika na wajane na wadada wa mjini!

Ndio maana tunamuona katika andiko lake anapotosha umma masuala ambayo hana ufahamu nayo au hana uzoefu na namna masuala ya kodi na hisa yanavyoendeshwa.

Katika andiko lake anapotosha kuwa eti zile hisa asilimia 16 za Serikali ambazo zimepewa kuwa “Daraja B” eti hazina maana. Anaandika: “Lakini hisa hizo ni za Daraja la B ambazo ni hisa dhaifu kulinganisha na zile za Daraja la Kwanza. Hisa hizo haziruhusiwi kuuzwa.”

Tukianza kinadharia: Ukisoma Investopedia (https://www.investopedia.com/ask/an...es-and-other-common-shares-companys-stock.asp) utaona ni jambo la kawaida katika masuala ya kiuchumi na uendeshaji wa makampuni kuwa na makundi ya hisa kwa sababu mbalimbali.

Lakini zaidi ya hapo, duniani kote msingi wa mgawanyo huo pia huelezwa katika hati za kuunda kampuni, sasa Zitto amekurupuka tu kulaumu kuhusu hisa zetu kuwa ni dhaifu bila kusoma “hati za kuunda kampuni,” kupata muktadha wa mgawanyo huo.

Kwa sasa “hati za kuunda kampuni” misingi yake ipo katika Appendix 4 hiyo hiyo anayoitumia Zitto. Lakini kwa uvivu hakwenda mbali zaidi kusoma kuelewa maana ya category B, ambazo naziona zimewekwa mahsusi kulinda hisa za Serikali na za Watanzania *ZISIUZWE* au *KUHAMISHWA* hovyo.

Kifungu C(2)(b) cha “Appendix 4” ambacho ni kiambatishi cha makubaliano ya awali ya Serikali na Barrick, kinasema: “the GoT shareholder–16% free carried interest (held in the form of Class B shares), with such free carry interest being *non-transferable* (directly or
indirectly)."

Aidha, Zitto anadai hisa za kundi A alizopewa Barrick zinamwezesha kuwa na nguvu zaidi, hizi ni akili finyu, thamani ya hisa inabaki pale pale kwa uwiano wake katika faida ila matumizi ya hisa ni dunia nzima hutofautiana kutokana na malengo ya mwana hisa.

Makubaliano yako makini kwa upande wa Serikali na ningeshangaa kama Profesa Kabudi na Luoga watu makini wangefanya anavyotaka Zitto kwamba hisa A zisiwe na kazi yoyote.

Ili mwekezaji mwenye hisa nyingi pia apate haki yake, ukisoma kifungu C.3, bado mwenye hisa kundi A chochote atakachotaka kufanya kama kuziuza au kukopea mikopo, kwanza ataomba IDHINI Serikalini.Kwa huyu huku nako maslahi ya nchi yamezingatiwa. Zitto inamuuma, anaamua kupotosha.

*5. Hayawani Katika Masuala ya Mikataba:*

Nimetaja uwezo mdogo wa Zitto Kabwe katika kuelewa masuala ya sheria na dhana za kiuchumi na uendeshaji wa makampuni lakini hapa niseme pia makala yake kubeza hatua zilizofikiwa na Serikali na Barrick ameonesha pia uwezo mdogo katika masuala ya mikataba.

Uchambuzi wake umejaa makengeza katika eneo hili. Kwa Mfano anasema: “Kwa Watanzania nyaraka muhimu katika mauziano haya ya Acacia, ni ile ya Makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Barrick katika kumaliza mgogoro wa Makanikia na masuala ya Kodi.”

Kwanza hii ya kwamba kuna tayari makubaliano ya mwisho na yaliyokamilika SI KWELI, kama nilivyoeleza hapo juu kwamba hata Barrick na Acacia wenyewe wanakiri katika taarifa yao kwa umma kuwa kuna makubaliano mengine mengi mahsusi yataendelea kufanyika.

Hivyo tofauti na UONGO wa Zitto, kuyaelewa masuala ya Barrick na Serikali huhitaji kusoma nyaraka moja tu, yaani “Appendix 4.” Utakuwa umeingia chaka. Mikataba ina nyongeza na viambatishi na makubaliano ndani ya makubaliano. Nyaraka hizi zote huwa ni muhimu.

Ndio maana katika ukurasa wa 66 kwenye Appendix 4 waliyoiambatisha Acacia katika taarifa yao kwa umma yenyewe pia inakiri, tofauti na UONGO wa Zitto, kutakuwa na nyaraka za mikataba ya nyongeza (consequential amendments).

Kwa sababu ya uongo wake kutaka kuaminisha watu kuwa masuala yoooote ya makubaliano yako kwenye “Appendix 4” pekee, nainukuu sehemu ya makubaliano inayoonesha Zitto hana uelewa na anachokijadili:

“Furthermore, if the Scheme becomes effective, in addition to agreement being reached on the outstanding issues, consequential amendments (which will need to be agreed with the GoT) will be required to be made to the terms of the Transaction Documents.”



*6. Kiingereza Kimekuja kwa Meli!*

Maeneo mengine ukisoma andiko la Zitto unaona madhara ya kutumia muda mwingi chuoni kufanya harakati na kushindwa kupata ujuzi muhimu ikiwemo lugha ya Kiingereza.

Tunajua hii lugha imekuja kwa meli basi maeneo mengine angekuwa anauliza au hata anunue kamusi basi kuliko kukurupuka kupingana nayo wakati hajaelewa.

Kwa mfano anasema Tanzania ikilipwa zile Dola Milioni 300 itakuwa ndio basi kwamba itasamehe kodi zote zingine ilizokuwa inadai.Kiingereza kimemtatiza hapa!

Hata mimi ningeshangaa sana kama Prof. wa aina ya Palamagamba Kabudi na bingwa wa mikataba kama Profesa Florens Luoga wangesaini masuala kama hayo. Ningeshangaa.

Lakini tofauti na uwezo mdogo na uelewa mdogo wa Zitto, ukisoma makubaliano ya awali masuala yote ya ubishani kuhusu kodi yamewekewa kifungu tofauti na yatamalizwa kwa njia tofauti.

Kifungu A:15 cha “Appendix 4” imeelezwa wazi kuwa makubaliano yaliyofikiwa (ikiwemo kuhusu Barrick kutulipa Dola Milioni 300, zaidi ya Shilingi milioni 700) ni kuhusu masuala ya jumla (high level) na kwamba yale mahsusi ikiwemo ubishani kuhusu kodi yatamalizwa kwa mfumo tofauti.

Kwa kuwa nataka leo umma uone madhara ya kijana huyu mpotoshaji, na asiye na jipya kwa nchi hii, naomba tena ninukuu kifungu hicho kutoka lugha ya Kiingereza iliyotumika. Kinasema:

“The settlement seeks to be comprehensive *but at a high level.* With there being multiple disputes, the mechanics to *finally dispose of all claims, in particular those relating to tax, are varied and complex*. The Framework Agreement states that the
*parties will work together in good faith and without delay to agree and finalize the deliverables required to fully settle all taxation proceedings.”* (Msisitizo ni wangu).

*7. Uongo Kuhusu Bunge:*

Zitto ametoa madai kuwa mkataba umesainiwa bila kulijulisha Bunge. Nimeeleza awali kuwa kwanza kadanganya, hakuna mkataba wa mwisho mpaka sasa, lakini hata kama ungekuwepo hajui alisemalo tena katika kipengele hiki.

Ni aibu, na haya ndio madhara ya kutoka nje ya Bunge wakati wa masuala muhimu yakijadiliwa. Zitto analaumu suala ambalo hajasoma sheria husika inasemaje kuhusu utaratibu wa Bunge kufikishiwa mikataba katika sekta ya madini.

Tofauti na uongo wake, kifungu cha 4 cha Sheria husika “The Natural Wealth and Resources Contracts (Review and Re-Negotiation of Unconscionable Terms), Act. No. 6, 2017,” neno lililotumia kuhusu Serikali kupeleka MIKATABA (sio makubaliano ya awali) Bungeni, ni MAY, kwamba sio lazima ipelekwe.

Lakini kama ni muhimu kupelekwa, kifungu cha 5 kinaweka utaratibu kuwa baada ya kusainiwa mkataba (sio michakato au maafikiano ya awali) Serikali inapewa siku 60 kuwasilisha Bungeni. Kwa shule hii naamini atajifunza kitu.

*8. Hoja Kuhusu Barrick Kusamehewa Kodi:*

Kwanza hii imenifanya nizidi kuwashangaa wanasiasa. Kama kuna eneo Zitto amekuwa akipigia kelele ni nchi yetu kuendelea kuweka mazingira mazuri na vivutio kwa wawekezaji nchini.

Suala la kusamehe kodi kwa mwekezaji nchi inaweza kulifanya kimkakati kulinda uwekezaji, kuvutia wengine na tumeshafanya hivyo kwa wengi. Nadhani hili eneo kwanza tusitake kudanganyana, hakuna ubishi juu ya kusamehe kodi issue ni unasamehe kwa malengo gani?

Hoja hiyo inatuleta sasa katika uchambuzi unaoonesha, kama ilivyokuwa kwingineko, katika hili pia Zitto hajasoma na kuelewa anachokijadili. Ni kweli kwamba zipo kodi zitasamehewa lakini atakayefaidika sio Acacia wala Barrick; inayosaidiwa hapa ni kampuni yetu ambayo itaundwa ikiwa na hisa 84% za Barrick na 16% za Serikali ya Tanzania.

Zitto amesahahu kuwa Barrick ananunua tu hisa za Acacia ili Acacia “mwizi” aondoke wenyewe tuanze upya kufaidi mali asili yetu ya madini ya dhahabu. Zitto hataki!

Nakala iliyoko kwenye “Appendix 4” inaweka bayana kuwa itaundwa kampuni mpya ambapo Tanzania itavuna hisa asilimia 16 za bure lakini licha ya hisa hizo mapato na faida nyingine za kodi na tozo zitafikia sisi kufaidika kwa asilimia mpaka 50 ya faida yote ya mauzo ya dhahabu licha ya hisa zetu kuwa asilimia hizo chache.

*9. Ni Maslahi ya Taifa au Tumbo?*

Kama haya yote yako sawa tatizo ni nini mtu anaweza kujiuliza kwa Zitto kudanganya watu? Ukisoma kwa umakini na baadhi ya takwimu na hoja anazozitoa Zitto utakubaliana nami kuwa ni wazi yuko upande wa Acacia. Si kosa, lakini si bure.

Anaonekana anazo taarifa za ndani anazozitumia kutaka kuharibu hatua za mwisho mwisho za Acacia kuondoka nchini. Sioni akifanikiwa. Nashangaa ujasiri anautoa wapi.

Lakini inaonekana ana manufaa mapana na Acacia, aendelee nao, azame nao lakini asiidanganye Tanzania Mpya.

Maana nilikuwa napitia mahali nikaona hapa kuwa kumbe ashawahi kufaidika na Barrick Gold ya zamani iliyokuja kuitwa Acacia. Jionee hapa: https://www.jamiiforums.com/threads...-wa-barrick-gold-tutapona-kama-taifa.1270434/

*10. Awe Makini, Anahangaika na Mambo ya Hovyo:*

Mwisho nimalizie kama nilivyoanza, kama Taifa tunasikitika kumpoteza Zitto kijana mjuzi na mjenga hoja, tumebaki tu na mropokaji, mpika majungu. Kwa nini kafika hapa, inawezekana kuna sababu nyingi.

Lakini kama Zitto atataka ushauri, ni huu; aachane na tabia kuhangaika na wadada wa mjini na wajane, amechuja mno, amepoteza mno, amepauka kisiasa na kiujenzi wa hoja. Kachoka.

Inasikitisha.
Alamsiki.

Niite Mwamba (sema mara tatu) wa Kaskazini.
 
Na Mwamba wa Kaskazini, Ngarenaro, Arusha

Inawezekana wapo wanaofurahia hali inayomtokea lakini nahuzunika sana kuona kila siku uwezo wa kiuchambuzi wa yule kijana mwanasiasa makini, Zitto Kabwe, ukishuka kwa kasi ya ajabu.

Zitto makini wa Buzwagi aliyesimamia “Maslahi ya Taifa” na mjenga hoja, mchambuzi na mtafiti si wa sasa. Yu hoi taabani. Kapauka kabisa.

Kutoka Zitto Makini wa Buzwagi sasa tunaye Zitto Mgoni na kada wa Acacia-mtetea “Maslahi ya Watu wa Mataifa.” Hili ndilo hitimisho mtu analoweza kuanza nalo baada ya kusoma makala aliyoisambaza hivi karibuni mitandaoni kuhusu makubaliano ya Serikali na Acacia.

Kwa sababu ya kasoro za ajabu tunazoanza kuziona katika uwezo wake wa kufikiri, nimeona leo tutafakari pamoja mapungufu 10 katika hoja zake zinazoonesha maumivu aliyonayo kuona Serikali imefikia hatua nzuri na Barrick/Acacia wakati yeye aliamini tungekwama.

*1. Ameanza Kupanua Goli:*

Ukisoma andiko la Zitto kwa ujumla wake unabaini sasa ni mtu aliyehamisha goli; kutoka kupinga na hata kuapa kuwa mazungumzo ya Serikali na Barrick hayatazaa matunda yoyote hadi kuanza kujadili matokeo ya mazungumzo. Ni ajabu sana.

Itakumbukwa kuwa mwaka 2017 Serikali na Barrick zilipoingia makubaliano ya awali Zitto alitumia maneno makali ya kashfa kuwa “tumejazwa upepo,” na “tunachezewa shere.”

Katika mahojiano na mwandishi Sudi Mnette wa DW, Zitto alifikia hatua ya kujiapisha kuwa hizo Dola Milioni 300 tulizoahidiwa, hatutazipata, mara akasema hutuwezi kufanikiwa kwa kuongea na Barrick badala ya Acacia.

Leo kaacha hoja hii kavamia utekelezaji. Anateseka. Msikilize hapa alivyofikiri wakati huo:

*2. Amepaniki:*

Kwa ujumla ukisoma andiko la Zitto unamuona ni mwanasiasa anayesumbuliwa na tatizo la kupaniki. Aliamini Acacia aliokuwa akiwasaidia kwa nyaraka na ushauri, akishirikiana na rafiki zake Fatma Karume na Tundu Lissu, wangeisumbua Serikali. Wameanguka.

Leo Acacia imeanguka na inaondoka, ameshikwa na kijiba cha roho! Katika mahojiano hapo juu na DW, alijiapiza kuwa Serikali ya Tanzania haitapata manufaa yoyote kujadiliana na Barrick badala ya Acacia. Leo si tu mazungumzo yamefikia pazuri bali Acacia inaondoka. Mtu mwenye akili timamu lazima upaniki!

*3. Umaamuma wa Sheria:*

Zitto ni maamuma na mbumbumbu kama mimi katika taaluma ya sheria lakini amejiweka mbelembele kuchambua masuala magumu ya kisheria na mwisho wake ndio huu wa aibu!

Kwa mfano anaandika eti Serikali ya Tanzania imeingia mkataba wa hovyo na Barrick. Hakuna mkataba ambao Serikali imesaini na Barrick. Ukisoma juu tu mwanzo wa “Appendix 4” waliyoiweka Acacia wanaomtumia achafue hewa unabaini huyu ni mtu ambaye amepaniki na hajui anachokifanya.

Nyaraka hiyo inasema bayana: “Summary of the material terms of the current draft documentation under discussion (but not yet finalized) with the GoT.”

Kwa kifungu hiki hoja ya Zitto kuwa Serikali imeingia Mkataba na Barrick unaoiumiza nchi inaanguka kwa sababu hata kama ingekuwa kweli kuna vifungu tata, bado makubaliano hayo ni ya awali hayajasainiwa na bado wapo katika majadiliano kwenye maeneo mahsusi. Hapa kadanganya na kuuingiza umma mkenge.

Lakini eneo la pili waraka huo huo anaoutaja Zitto unatamka bayana (uk wa 66) kuwa ni “not yet finalized.” Kwa hiyo kupayuka kwamba eti umesainiwa mkataba wa kimangungo mara sijui haujafikishwa Bungeni ni kupaniki!

*4. Anayumba Katika Utaalamu wa Uchumi:*

Zitto ni Mchumi najua utanishangaa nikikwambia hajui uchumi. Ni kweli. Kwanza hakusoma kwa umakini uchumi pale UDSM. Wanaomfahamu watakubaliana nami kuwa alitumia muda wake mwingi kufanya siasa na harakati za DARUSO kuliko kusoma.

Lakini hata kama angesoma vyema, tangu amalize Chuo sasa ni zaidi ya miaka 10, hajawahi kufanya kazi ya uchumi popote pale duniani zaidi ya kupiga siasa tu na kuhangaika na wajane na wadada wa mjini!

Ndio maana tunamuona katika andiko lake anapotosha umma masuala ambayo hana ufahamu nayo au hana uzoefu na namna masuala ya kodi na hisa yanavyoendeshwa.

Katika andiko lake anapotosha kuwa eti zile hisa asilimia 16 za Serikali ambazo zimepewa kuwa “Daraja B” eti hazina maana. Anaandika: “Lakini hisa hizo ni za Daraja la B ambazo ni hisa dhaifu kulinganisha na zile za Daraja la Kwanza. Hisa hizo haziruhusiwi kuuzwa.”

Tukianza kinadharia: Ukisoma Investopedia (https://www.investopedia.com/ask/an...es-and-other-common-shares-companys-stock.asp) utaona ni jambo la kawaida katika masuala ya kiuchumi na uendeshaji wa makampuni kuwa na makundi ya hisa kwa sababu mbalimbali.

Lakini zaidi ya hapo, duniani kote msingi wa mgawanyo huo pia huelezwa katika hati za kuunda kampuni, sasa Zitto amekurupuka tu kulaumu kuhusu hisa zetu kuwa ni dhaifu bila kusoma “hati za kuunda kampuni,” kupata muktadha wa mgawanyo huo.

Kwa sasa “hati za kuunda kampuni” misingi yake ipo katika Appendix 4 hiyo hiyo anayoitumia Zitto. Lakini kwa uvivu hakwenda mbali zaidi kusoma kuelewa maana ya category B, ambazo naziona zimewekwa mahsusi kulinda hisa za Serikali na za Watanzania *ZISIUZWE* au *KUHAMISHWA* hovyo.

Kifungu C(2)(b) cha “Appendix 4” ambacho ni kiambatishi cha makubaliano ya awali ya Serikali na Barrick, kinasema: “the GoT shareholder–16% free carried interest (held in the form of Class B shares), with such free carry interest being *non-transferable* (directly or
indirectly)."

Aidha, Zitto anadai hisa za kundi A alizopewa Barrick zinamwezesha kuwa na nguvu zaidi, hizi ni akili finyu, thamani ya hisa inabaki pale pale kwa uwiano wake katika faida ila matumizi ya hisa ni dunia nzima hutofautiana kutokana na malengo ya mwana hisa.

Makubaliano yako makini kwa upande wa Serikali na ningeshangaa kama Profesa Kabudi na Luoga watu makini wangefanya anavyotaka Zitto kwamba hisa A zisiwe na kazi yoyote.

Ili mwekezaji mwenye hisa nyingi pia apate haki yake, ukisoma kifungu C.3, bado mwenye hisa kundi A chochote atakachotaka kufanya kama kuziuza au kukopea mikopo, kwanza ataomba IDHINI Serikalini.Kwa huyu huku nako maslahi ya nchi yamezingatiwa. Zitto inamuuma, anaamua kupotosha.

*5. Hayawani Katika Masuala ya Mikataba:*

Nimetaja uwezo mdogo wa Zitto Kabwe katika kuelewa masuala ya sheria na dhana za kiuchumi na uendeshaji wa makampuni lakini hapa niseme pia makala yake kubeza hatua zilizofikiwa na Serikali na Barrick ameonesha pia uwezo mdogo katika masuala ya mikataba.

Uchambuzi wake umejaa makengeza katika eneo hili. Kwa Mfano anasema: “Kwa Watanzania nyaraka muhimu katika mauziano haya ya Acacia, ni ile ya Makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Barrick katika kumaliza mgogoro wa Makanikia na masuala ya Kodi.”

Kwanza hii ya kwamba kuna tayari makubaliano ya mwisho na yaliyokamilika SI KWELI, kama nilivyoeleza hapo juu kwamba hata Barrick na Acacia wenyewe wanakiri katika taarifa yao kwa umma kuwa kuna makubaliano mengine mengi mahsusi yataendelea kufanyika.

Hivyo tofauti na UONGO wa Zitto, kuyaelewa masuala ya Barrick na Serikali huhitaji kusoma nyaraka moja tu, yaani “Appendix 4.” Utakuwa umeingia chaka. Mikataba ina nyongeza na viambatishi na makubaliano ndani ya makubaliano. Nyaraka hizi zote huwa ni muhimu.

Ndio maana katika ukurasa wa 66 kwenye Appendix 4 waliyoiambatisha Acacia katika taarifa yao kwa umma yenyewe pia inakiri, tofauti na UONGO wa Zitto, kutakuwa na nyaraka za mikataba ya nyongeza (consequential amendments).

Kwa sababu ya uongo wake kutaka kuaminisha watu kuwa masuala yoooote ya makubaliano yako kwenye “Appendix 4” pekee, nainukuu sehemu ya makubaliano inayoonesha Zitto hana uelewa na anachokijadili:

“Furthermore, if the Scheme becomes effective, in addition to agreement being reached on the outstanding issues, consequential amendments (which will need to be agreed with the GoT) will be required to be made to the terms of the Transaction Documents.”



*6. Kiingereza Kimekuja kwa Meli!*

Maeneo mengine ukisoma andiko la Zitto unaona madhara ya kutumia muda mwingi chuoni kufanya harakati na kushindwa kupata ujuzi muhimu ikiwemo lugha ya Kiingereza.

Tunajua hii lugha imekuja kwa meli basi maeneo mengine angekuwa anauliza au hata anunue kamusi basi kuliko kukurupuka kupingana nayo wakati hajaelewa.

Kwa mfano anasema Tanzania ikilipwa zile Dola Milioni 300 itakuwa ndio basi kwamba itasamehe kodi zote zingine ilizokuwa inadai.Kiingereza kimemtatiza hapa!

Hata mimi ningeshangaa sana kama Prof. wa aina ya Palamagamba Kabudi na bingwa wa mikataba kama Profesa Florens Luoga wangesaini masuala kama hayo. Ningeshangaa.

Lakini tofauti na uwezo mdogo na uelewa mdogo wa Zitto, ukisoma makubaliano ya awali masuala yote ya ubishani kuhusu kodi yamewekewa kifungu tofauti na yatamalizwa kwa njia tofauti.

Kifungu A:15 cha “Appendix 4” imeelezwa wazi kuwa makubaliano yaliyofikiwa (ikiwemo kuhusu Barrick kutulipa Dola Milioni 300, zaidi ya Shilingi milioni 700) ni kuhusu masuala ya jumla (high level) na kwamba yale mahsusi ikiwemo ubishani kuhusu kodi yatamalizwa kwa mfumo tofauti.

Kwa kuwa nataka leo umma uone madhara ya kijana huyu mpotoshaji, na asiye na jipya kwa nchi hii, naomba tena ninukuu kifungu hicho kutoka lugha ya Kiingereza iliyotumika. Kinasema:

“The settlement seeks to be comprehensive *but at a high level.* With there being multiple disputes, the mechanics to *finally dispose of all claims, in particular those relating to tax, are varied and complex*. The Framework Agreement states that the
*parties will work together in good faith and without delay to agree and finalize the deliverables required to fully settle all taxation proceedings.”* (Msisitizo ni wangu).

*7. Uongo Kuhusu Bunge:*

Zitto ametoa madai kuwa mkataba umesainiwa bila kulijulisha Bunge. Nimeeleza awali kuwa kwanza kadanganya, hakuna mkataba wa mwisho mpaka sasa, lakini hata kama ungekuwepo hajui alisemalo tena katika kipengele hiki.

Ni aibu, na haya ndio madhara ya kutoka nje ya Bunge wakati wa masuala muhimu yakijadiliwa. Zitto analaumu suala ambalo hajasoma sheria husika inasemaje kuhusu utaratibu wa Bunge kufikishiwa mikataba katika sekta ya madini.

Tofauti na uongo wake, kifungu cha 4 cha Sheria husika “The Natural Wealth and Resources Contracts (Review and Re-Negotiation of Unconscionable Terms), Act. No. 6, 2017,” neno lililotumia kuhusu Serikali kupeleka MIKATABA (sio makubaliano ya awali) Bungeni, ni MAY, kwamba sio lazima ipelekwe.

Lakini kama ni muhimu kupelekwa, kifungu cha 5 kinaweka utaratibu kuwa baada ya kusainiwa mkataba (sio michakato au maafikiano ya awali) Serikali inapewa siku 60 kuwasilisha Bungeni. Kwa shule hii naamini atajifunza kitu.

*8. Hoja Kuhusu Barrick Kusamehewa Kodi:*

Kwanza hii imenifanya nizidi kuwashangaa wanasiasa. Kama kuna eneo Zitto amekuwa akipigia kelele ni nchi yetu kuendelea kuweka mazingira mazuri na vivutio kwa wawekezaji nchini.

Suala la kusamehe kodi kwa mwekezaji nchi inaweza kulifanya kimkakati kulinda uwekezaji, kuvutia wengine na tumeshafanya hivyo kwa wengi. Nadhani hili eneo kwanza tusitake kudanganyana, hakuna ubishi juu ya kusamehe kodi issue ni unasamehe kwa malengo gani?

Hoja hiyo inatuleta sasa katika uchambuzi unaoonesha, kama ilivyokuwa kwingineko, katika hili pia Zitto hajasoma na kuelewa anachokijadili. Ni kweli kwamba zipo kodi zitasamehewa lakini atakayefaidika sio Acacia wala Barrick; inayosaidiwa hapa ni kampuni yetu ambayo itaundwa ikiwa na hisa 84% za Barrick na 16% za Serikali ya Tanzania.

Zitto amesahahu kuwa Barrick ananunua tu hisa za Acacia ili Acacia “mwizi” aondoke wenyewe tuanze upya kufaidi mali asili yetu ya madini ya dhahabu. Zitto hataki!

Nakala iliyoko kwenye “Appendix 4” inaweka bayana kuwa itaundwa kampuni mpya ambapo Tanzania itavuna hisa asilimia 16 za bure lakini licha ya hisa hizo mapato na faida nyingine za kodi na tozo zitafikia sisi kufaidika kwa asilimia mpaka 50 ya faida yote ya mauzo ya dhahabu licha ya hisa zetu kuwa asilimia hizo chache.

*9. Ni Maslahi ya Taifa au Tumbo?*

Kama haya yote yako sawa tatizo ni nini mtu anaweza kujiuliza kwa Zitto kudanganya watu? Ukisoma kwa umakini na baadhi ya takwimu na hoja anazozitoa Zitto utakubaliana nami kuwa ni wazi yuko upande wa Acacia. Si kosa, lakini si bure.

Anaonekana anazo taarifa za ndani anazozitumia kutaka kuharibu hatua za mwisho mwisho za Acacia kuondoka nchini. Sioni akifanikiwa. Nashangaa ujasiri anautoa wapi.

Lakini inaonekana ana manufaa mapana na Acacia, aendelee nao, azame nao lakini asiidanganye Tanzania Mpya.

Maana nilikuwa napitia mahali nikaona hapa kuwa kumbe ashawahi kufaidika na Barrick Gold ya zamani iliyokuja kuitwa Acacia. Jionee hapa: https://www.jamiiforums.com/threads...-wa-barrick-gold-tutapona-kama-taifa.1270434/

*10. Awe Makini, Anahangaika na Mambo ya Hovyo:*

Mwisho nimalizie kama nilivyoanza, kama Taifa tunasikitika kumpoteza Zitto kijana mjuzi na mjenga hoja, tumebaki tu na mropokaji, mpika majungu. Kwa nini kafika hapa, inawezekana kuna sababu nyingi.

Lakini kama Zitto atataka ushauri, ni huu; aachane na tabia kuhangaika na wadada wa mjini na wajane, amechuja mno, amepoteza mno, amepauka kisiasa na kiujenzi wa hoja. Kachoka.

Inasikitisha.
Alamsiki.

Niite Mwamba (sema mara tatu) wa Kaskazini.

ugoro huu.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Vijana mtanipinga sana ila nawaambia ni rahisi sana kua maarufu kwa harakati za maneno ya kukosoa siasa au serikali za Africa sababu matatizo ni mengi.....ila ngumu sana kua maarufu kwa namna za kina Ruge,Mengi, Mo, bakhresa, Kusaga...na Hawa ndio hubadili maisha ya vijana wengi.

Nasimama na Dr John
 
Na Mwamba wa Kaskazini, Ngarenaro, Arusha

Inawezekana wapo wanaofurahia hali inayomtokea lakini nahuzunika sana kuona kila siku uwezo wa kiuchambuzi wa yule kijana mwanasiasa makini, Zitto Kabwe, ukishuka kwa kasi ya ajabu.

Zitto makini wa Buzwagi aliyesimamia “Maslahi ya Taifa” na mjenga hoja, mchambuzi na mtafiti si wa sasa. Yu hoi taabani. Kapauka kabisa.

Kutoka Zitto Makini wa Buzwagi sasa tunaye Zitto Mgoni na kada wa Acacia-mtetea “Maslahi ya Watu wa Mataifa.” Hili ndilo hitimisho mtu analoweza kuanza nalo baada ya kusoma makala aliyoisambaza hivi karibuni mitandaoni kuhusu makubaliano ya Serikali na Acacia.

Kwa sababu ya kasoro za ajabu tunazoanza kuziona katika uwezo wake wa kufikiri, nimeona leo tutafakari pamoja mapungufu 10 katika hoja zake zinazoonesha maumivu aliyonayo kuona Serikali imefikia hatua nzuri na Barrick/Acacia wakati yeye aliamini tungekwama.

*1. Ameanza Kupanua Goli:*

Ukisoma andiko la Zitto kwa ujumla wake unabaini sasa ni mtu aliyehamisha goli; kutoka kupinga na hata kuapa kuwa mazungumzo ya Serikali na Barrick hayatazaa matunda yoyote hadi kuanza kujadili matokeo ya mazungumzo. Ni ajabu sana.

Itakumbukwa kuwa mwaka 2017 Serikali na Barrick zilipoingia makubaliano ya awali Zitto alitumia maneno makali ya kashfa kuwa “tumejazwa upepo,” na “tunachezewa shere.”

Katika mahojiano na mwandishi Sudi Mnette wa DW, Zitto alifikia hatua ya kujiapisha kuwa hizo Dola Milioni 300 tulizoahidiwa, hatutazipata, mara akasema hutuwezi kufanikiwa kwa kuongea na Barrick badala ya Acacia.

Leo kaacha hoja hii kavamia utekelezaji. Anateseka. Msikilize hapa alivyofikiri wakati huo:

*2. Amepaniki:*

Kwa ujumla ukisoma andiko la Zitto unamuona ni mwanasiasa anayesumbuliwa na tatizo la kupaniki. Aliamini Acacia aliokuwa akiwasaidia kwa nyaraka na ushauri, akishirikiana na rafiki zake Fatma Karume na Tundu Lissu, wangeisumbua Serikali. Wameanguka.

Leo Acacia imeanguka na inaondoka, ameshikwa na kijiba cha roho! Katika mahojiano hapo juu na DW, alijiapiza kuwa Serikali ya Tanzania haitapata manufaa yoyote kujadiliana na Barrick badala ya Acacia. Leo si tu mazungumzo yamefikia pazuri bali Acacia inaondoka. Mtu mwenye akili timamu lazima upaniki!

*3. Umaamuma wa Sheria:*

Zitto ni maamuma na mbumbumbu kama mimi katika taaluma ya sheria lakini amejiweka mbelembele kuchambua masuala magumu ya kisheria na mwisho wake ndio huu wa aibu!

Kwa mfano anaandika eti Serikali ya Tanzania imeingia mkataba wa hovyo na Barrick. Hakuna mkataba ambao Serikali imesaini na Barrick. Ukisoma juu tu mwanzo wa “Appendix 4” waliyoiweka Acacia wanaomtumia achafue hewa unabaini huyu ni mtu ambaye amepaniki na hajui anachokifanya.

Nyaraka hiyo inasema bayana: “Summary of the material terms of the current draft documentation under discussion (but not yet finalized) with the GoT.”

Kwa kifungu hiki hoja ya Zitto kuwa Serikali imeingia Mkataba na Barrick unaoiumiza nchi inaanguka kwa sababu hata kama ingekuwa kweli kuna vifungu tata, bado makubaliano hayo ni ya awali hayajasainiwa na bado wapo katika majadiliano kwenye maeneo mahsusi. Hapa kadanganya na kuuingiza umma mkenge.

Lakini eneo la pili waraka huo huo anaoutaja Zitto unatamka bayana (uk wa 66) kuwa ni “not yet finalized.” Kwa hiyo kupayuka kwamba eti umesainiwa mkataba wa kimangungo mara sijui haujafikishwa Bungeni ni kupaniki!

*4. Anayumba Katika Utaalamu wa Uchumi:*

Zitto ni Mchumi najua utanishangaa nikikwambia hajui uchumi. Ni kweli. Kwanza hakusoma kwa umakini uchumi pale UDSM. Wanaomfahamu watakubaliana nami kuwa alitumia muda wake mwingi kufanya siasa na harakati za DARUSO kuliko kusoma.

Lakini hata kama angesoma vyema, tangu amalize Chuo sasa ni zaidi ya miaka 10, hajawahi kufanya kazi ya uchumi popote pale duniani zaidi ya kupiga siasa tu na kuhangaika na wajane na wadada wa mjini!

Ndio maana tunamuona katika andiko lake anapotosha umma masuala ambayo hana ufahamu nayo au hana uzoefu na namna masuala ya kodi na hisa yanavyoendeshwa.

Katika andiko lake anapotosha kuwa eti zile hisa asilimia 16 za Serikali ambazo zimepewa kuwa “Daraja B” eti hazina maana. Anaandika: “Lakini hisa hizo ni za Daraja la B ambazo ni hisa dhaifu kulinganisha na zile za Daraja la Kwanza. Hisa hizo haziruhusiwi kuuzwa.”

Tukianza kinadharia: Ukisoma Investopedia (https://www.investopedia.com/ask/an...es-and-other-common-shares-companys-stock.asp) utaona ni jambo la kawaida katika masuala ya kiuchumi na uendeshaji wa makampuni kuwa na makundi ya hisa kwa sababu mbalimbali.

Lakini zaidi ya hapo, duniani kote msingi wa mgawanyo huo pia huelezwa katika hati za kuunda kampuni, sasa Zitto amekurupuka tu kulaumu kuhusu hisa zetu kuwa ni dhaifu bila kusoma “hati za kuunda kampuni,” kupata muktadha wa mgawanyo huo.

Kwa sasa “hati za kuunda kampuni” misingi yake ipo katika Appendix 4 hiyo hiyo anayoitumia Zitto. Lakini kwa uvivu hakwenda mbali zaidi kusoma kuelewa maana ya category B, ambazo naziona zimewekwa mahsusi kulinda hisa za Serikali na za Watanzania *ZISIUZWE* au *KUHAMISHWA* hovyo.

Kifungu C(2)(b) cha “Appendix 4” ambacho ni kiambatishi cha makubaliano ya awali ya Serikali na Barrick, kinasema: “the GoT shareholder–16% free carried interest (held in the form of Class B shares), with such free carry interest being *non-transferable* (directly or
indirectly)."

Aidha, Zitto anadai hisa za kundi A alizopewa Barrick zinamwezesha kuwa na nguvu zaidi, hizi ni akili finyu, thamani ya hisa inabaki pale pale kwa uwiano wake katika faida ila matumizi ya hisa ni dunia nzima hutofautiana kutokana na malengo ya mwana hisa.

Makubaliano yako makini kwa upande wa Serikali na ningeshangaa kama Profesa Kabudi na Luoga watu makini wangefanya anavyotaka Zitto kwamba hisa A zisiwe na kazi yoyote.

Ili mwekezaji mwenye hisa nyingi pia apate haki yake, ukisoma kifungu C.3, bado mwenye hisa kundi A chochote atakachotaka kufanya kama kuziuza au kukopea mikopo, kwanza ataomba IDHINI Serikalini.Kwa huyu huku nako maslahi ya nchi yamezingatiwa. Zitto inamuuma, anaamua kupotosha.

*5. Hayawani Katika Masuala ya Mikataba:*

Nimetaja uwezo mdogo wa Zitto Kabwe katika kuelewa masuala ya sheria na dhana za kiuchumi na uendeshaji wa makampuni lakini hapa niseme pia makala yake kubeza hatua zilizofikiwa na Serikali na Barrick ameonesha pia uwezo mdogo katika masuala ya mikataba.

Uchambuzi wake umejaa makengeza katika eneo hili. Kwa Mfano anasema: “Kwa Watanzania nyaraka muhimu katika mauziano haya ya Acacia, ni ile ya Makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Barrick katika kumaliza mgogoro wa Makanikia na masuala ya Kodi.”

Kwanza hii ya kwamba kuna tayari makubaliano ya mwisho na yaliyokamilika SI KWELI, kama nilivyoeleza hapo juu kwamba hata Barrick na Acacia wenyewe wanakiri katika taarifa yao kwa umma kuwa kuna makubaliano mengine mengi mahsusi yataendelea kufanyika.

Hivyo tofauti na UONGO wa Zitto, kuyaelewa masuala ya Barrick na Serikali huhitaji kusoma nyaraka moja tu, yaani “Appendix 4.” Utakuwa umeingia chaka. Mikataba ina nyongeza na viambatishi na makubaliano ndani ya makubaliano. Nyaraka hizi zote huwa ni muhimu.

Ndio maana katika ukurasa wa 66 kwenye Appendix 4 waliyoiambatisha Acacia katika taarifa yao kwa umma yenyewe pia inakiri, tofauti na UONGO wa Zitto, kutakuwa na nyaraka za mikataba ya nyongeza (consequential amendments).

Kwa sababu ya uongo wake kutaka kuaminisha watu kuwa masuala yoooote ya makubaliano yako kwenye “Appendix 4” pekee, nainukuu sehemu ya makubaliano inayoonesha Zitto hana uelewa na anachokijadili:

“Furthermore, if the Scheme becomes effective, in addition to agreement being reached on the outstanding issues, consequential amendments (which will need to be agreed with the GoT) will be required to be made to the terms of the Transaction Documents.”



*6. Kiingereza Kimekuja kwa Meli!*

Maeneo mengine ukisoma andiko la Zitto unaona madhara ya kutumia muda mwingi chuoni kufanya harakati na kushindwa kupata ujuzi muhimu ikiwemo lugha ya Kiingereza.

Tunajua hii lugha imekuja kwa meli basi maeneo mengine angekuwa anauliza au hata anunue kamusi basi kuliko kukurupuka kupingana nayo wakati hajaelewa.

Kwa mfano anasema Tanzania ikilipwa zile Dola Milioni 300 itakuwa ndio basi kwamba itasamehe kodi zote zingine ilizokuwa inadai.Kiingereza kimemtatiza hapa!

Hata mimi ningeshangaa sana kama Prof. wa aina ya Palamagamba Kabudi na bingwa wa mikataba kama Profesa Florens Luoga wangesaini masuala kama hayo. Ningeshangaa.

Lakini tofauti na uwezo mdogo na uelewa mdogo wa Zitto, ukisoma makubaliano ya awali masuala yote ya ubishani kuhusu kodi yamewekewa kifungu tofauti na yatamalizwa kwa njia tofauti.

Kifungu A:15 cha “Appendix 4” imeelezwa wazi kuwa makubaliano yaliyofikiwa (ikiwemo kuhusu Barrick kutulipa Dola Milioni 300, zaidi ya Shilingi milioni 700) ni kuhusu masuala ya jumla (high level) na kwamba yale mahsusi ikiwemo ubishani kuhusu kodi yatamalizwa kwa mfumo tofauti.

Kwa kuwa nataka leo umma uone madhara ya kijana huyu mpotoshaji, na asiye na jipya kwa nchi hii, naomba tena ninukuu kifungu hicho kutoka lugha ya Kiingereza iliyotumika. Kinasema:

“The settlement seeks to be comprehensive *but at a high level.* With there being multiple disputes, the mechanics to *finally dispose of all claims, in particular those relating to tax, are varied and complex*. The Framework Agreement states that the
*parties will work together in good faith and without delay to agree and finalize the deliverables required to fully settle all taxation proceedings.”* (Msisitizo ni wangu).

*7. Uongo Kuhusu Bunge:*

Zitto ametoa madai kuwa mkataba umesainiwa bila kulijulisha Bunge. Nimeeleza awali kuwa kwanza kadanganya, hakuna mkataba wa mwisho mpaka sasa, lakini hata kama ungekuwepo hajui alisemalo tena katika kipengele hiki.

Ni aibu, na haya ndio madhara ya kutoka nje ya Bunge wakati wa masuala muhimu yakijadiliwa. Zitto analaumu suala ambalo hajasoma sheria husika inasemaje kuhusu utaratibu wa Bunge kufikishiwa mikataba katika sekta ya madini.

Tofauti na uongo wake, kifungu cha 4 cha Sheria husika “The Natural Wealth and Resources Contracts (Review and Re-Negotiation of Unconscionable Terms), Act. No. 6, 2017,” neno lililotumia kuhusu Serikali kupeleka MIKATABA (sio makubaliano ya awali) Bungeni, ni MAY, kwamba sio lazima ipelekwe.

Lakini kama ni muhimu kupelekwa, kifungu cha 5 kinaweka utaratibu kuwa baada ya kusainiwa mkataba (sio michakato au maafikiano ya awali) Serikali inapewa siku 60 kuwasilisha Bungeni. Kwa shule hii naamini atajifunza kitu.

*8. Hoja Kuhusu Barrick Kusamehewa Kodi:*

Kwanza hii imenifanya nizidi kuwashangaa wanasiasa. Kama kuna eneo Zitto amekuwa akipigia kelele ni nchi yetu kuendelea kuweka mazingira mazuri na vivutio kwa wawekezaji nchini.

Suala la kusamehe kodi kwa mwekezaji nchi inaweza kulifanya kimkakati kulinda uwekezaji, kuvutia wengine na tumeshafanya hivyo kwa wengi. Nadhani hili eneo kwanza tusitake kudanganyana, hakuna ubishi juu ya kusamehe kodi issue ni unasamehe kwa malengo gani?

Hoja hiyo inatuleta sasa katika uchambuzi unaoonesha, kama ilivyokuwa kwingineko, katika hili pia Zitto hajasoma na kuelewa anachokijadili. Ni kweli kwamba zipo kodi zitasamehewa lakini atakayefaidika sio Acacia wala Barrick; inayosaidiwa hapa ni kampuni yetu ambayo itaundwa ikiwa na hisa 84% za Barrick na 16% za Serikali ya Tanzania.

Zitto amesahahu kuwa Barrick ananunua tu hisa za Acacia ili Acacia “mwizi” aondoke wenyewe tuanze upya kufaidi mali asili yetu ya madini ya dhahabu. Zitto hataki!

Nakala iliyoko kwenye “Appendix 4” inaweka bayana kuwa itaundwa kampuni mpya ambapo Tanzania itavuna hisa asilimia 16 za bure lakini licha ya hisa hizo mapato na faida nyingine za kodi na tozo zitafikia sisi kufaidika kwa asilimia mpaka 50 ya faida yote ya mauzo ya dhahabu licha ya hisa zetu kuwa asilimia hizo chache.

*9. Ni Maslahi ya Taifa au Tumbo?*

Kama haya yote yako sawa tatizo ni nini mtu anaweza kujiuliza kwa Zitto kudanganya watu? Ukisoma kwa umakini na baadhi ya takwimu na hoja anazozitoa Zitto utakubaliana nami kuwa ni wazi yuko upande wa Acacia. Si kosa, lakini si bure.

Anaonekana anazo taarifa za ndani anazozitumia kutaka kuharibu hatua za mwisho mwisho za Acacia kuondoka nchini. Sioni akifanikiwa. Nashangaa ujasiri anautoa wapi.

Lakini inaonekana ana manufaa mapana na Acacia, aendelee nao, azame nao lakini asiidanganye Tanzania Mpya.

Maana nilikuwa napitia mahali nikaona hapa kuwa kumbe ashawahi kufaidika na Barrick Gold ya zamani iliyokuja kuitwa Acacia. Jionee hapa: https://www.jamiiforums.com/threads...-wa-barrick-gold-tutapona-kama-taifa.1270434/

*10. Awe Makini, Anahangaika na Mambo ya Hovyo:*

Mwisho nimalizie kama nilivyoanza, kama Taifa tunasikitika kumpoteza Zitto kijana mjuzi na mjenga hoja, tumebaki tu na mropokaji, mpika majungu. Kwa nini kafika hapa, inawezekana kuna sababu nyingi.

Lakini kama Zitto atataka ushauri, ni huu; aachane na tabia kuhangaika na wadada wa mjini na wajane, amechuja mno, amepoteza mno, amepauka kisiasa na kiujenzi wa hoja. Kachoka.

Inasikitisha.
Alamsiki.

Niite Mwamba (sema mara tatu) wa Kaskazini.

mh!!!!
 
Kamongo blix22 mtetezi wa nduli, dikteta, kubwa la majizi, fisadi, dhulmati, muongo, mtekaji, mtesaji, mtu hatari sana, janga kubwa la Taifa na MUUAJI.

Na Mwamba wa Kaskazini, Ngarenaro, Arusha

Inawezekana wapo wanaofurahia hali inayomtokea lakini nahuzunika sana kuona kila siku uwezo wa kiuchambuzi wa yule kijana mwanasiasa makini, Zitto Kabwe, ukishuka kwa kasi ya ajabu.

Zitto makini wa Buzwagi aliyesimamia “Maslahi ya Taifa” na mjenga hoja, mchambuzi na mtafiti si wa sasa. Yu hoi taabani. Kapauka kabisa.

Kutoka Zitto Makini wa Buzwagi sasa tunaye Zitto Mgoni na kada wa Acacia-mtetea “Maslahi ya Watu wa Mataifa.” Hili ndilo hitimisho mtu analoweza kuanza nalo baada ya kusoma makala aliyoisambaza hivi karibuni mitandaoni kuhusu makubaliano ya Serikali na Acacia.

Kwa sababu ya kasoro za ajabu tunazoanza kuziona katika uwezo wake wa kufikiri, nimeona leo tutafakari pamoja mapungufu 10 katika hoja zake zinazoonesha maumivu aliyonayo kuona Serikali imefikia hatua nzuri na Barrick/Acacia wakati yeye aliamini tungekwama.

*1. Ameanza Kupanua Goli:*

Ukisoma andiko la Zitto kwa ujumla wake unabaini sasa ni mtu aliyehamisha goli; kutoka kupinga na hata kuapa kuwa mazungumzo ya Serikali na Barrick hayatazaa matunda yoyote hadi kuanza kujadili matokeo ya mazungumzo. Ni ajabu sana.

Itakumbukwa kuwa mwaka 2017 Serikali na Barrick zilipoingia makubaliano ya awali Zitto alitumia maneno makali ya kashfa kuwa “tumejazwa upepo,” na “tunachezewa shere.”

Katika mahojiano na mwandishi Sudi Mnette wa DW, Zitto alifikia hatua ya kujiapisha kuwa hizo Dola Milioni 300 tulizoahidiwa, hatutazipata, mara akasema hutuwezi kufanikiwa kwa kuongea na Barrick badala ya Acacia.

Leo kaacha hoja hii kavamia utekelezaji. Anateseka. Msikilize hapa alivyofikiri wakati huo:

*2. Amepaniki:*

Kwa ujumla ukisoma andiko la Zitto unamuona ni mwanasiasa anayesumbuliwa na tatizo la kupaniki. Aliamini Acacia aliokuwa akiwasaidia kwa nyaraka na ushauri, akishirikiana na rafiki zake Fatma Karume na Tundu Lissu, wangeisumbua Serikali. Wameanguka.

Leo Acacia imeanguka na inaondoka, ameshikwa na kijiba cha roho! Katika mahojiano hapo juu na DW, alijiapiza kuwa Serikali ya Tanzania haitapata manufaa yoyote kujadiliana na Barrick badala ya Acacia. Leo si tu mazungumzo yamefikia pazuri bali Acacia inaondoka. Mtu mwenye akili timamu lazima upaniki!

*3. Umaamuma wa Sheria:*

Zitto ni maamuma na mbumbumbu kama mimi katika taaluma ya sheria lakini amejiweka mbelembele kuchambua masuala magumu ya kisheria na mwisho wake ndio huu wa aibu!

Kwa mfano anaandika eti Serikali ya Tanzania imeingia mkataba wa hovyo na Barrick. Hakuna mkataba ambao Serikali imesaini na Barrick. Ukisoma juu tu mwanzo wa “Appendix 4” waliyoiweka Acacia wanaomtumia achafue hewa unabaini huyu ni mtu ambaye amepaniki na hajui anachokifanya.

Nyaraka hiyo inasema bayana: “Summary of the material terms of the current draft documentation under discussion (but not yet finalized) with the GoT.”

Kwa kifungu hiki hoja ya Zitto kuwa Serikali imeingia Mkataba na Barrick unaoiumiza nchi inaanguka kwa sababu hata kama ingekuwa kweli kuna vifungu tata, bado makubaliano hayo ni ya awali hayajasainiwa na bado wapo katika majadiliano kwenye maeneo mahsusi. Hapa kadanganya na kuuingiza umma mkenge.

Lakini eneo la pili waraka huo huo anaoutaja Zitto unatamka bayana (uk wa 66) kuwa ni “not yet finalized.” Kwa hiyo kupayuka kwamba eti umesainiwa mkataba wa kimangungo mara sijui haujafikishwa Bungeni ni kupaniki!

*4. Anayumba Katika Utaalamu wa Uchumi:*

Zitto ni Mchumi najua utanishangaa nikikwambia hajui uchumi. Ni kweli. Kwanza hakusoma kwa umakini uchumi pale UDSM. Wanaomfahamu watakubaliana nami kuwa alitumia muda wake mwingi kufanya siasa na harakati za DARUSO kuliko kusoma.

Lakini hata kama angesoma vyema, tangu amalize Chuo sasa ni zaidi ya miaka 10, hajawahi kufanya kazi ya uchumi popote pale duniani zaidi ya kupiga siasa tu na kuhangaika na wajane na wadada wa mjini!

Ndio maana tunamuona katika andiko lake anapotosha umma masuala ambayo hana ufahamu nayo au hana uzoefu na namna masuala ya kodi na hisa yanavyoendeshwa.

Katika andiko lake anapotosha kuwa eti zile hisa asilimia 16 za Serikali ambazo zimepewa kuwa “Daraja B” eti hazina maana. Anaandika: “Lakini hisa hizo ni za Daraja la B ambazo ni hisa dhaifu kulinganisha na zile za Daraja la Kwanza. Hisa hizo haziruhusiwi kuuzwa.”

Tukianza kinadharia: Ukisoma Investopedia (https://www.investopedia.com/ask/an...es-and-other-common-shares-companys-stock.asp) utaona ni jambo la kawaida katika masuala ya kiuchumi na uendeshaji wa makampuni kuwa na makundi ya hisa kwa sababu mbalimbali.

Lakini zaidi ya hapo, duniani kote msingi wa mgawanyo huo pia huelezwa katika hati za kuunda kampuni, sasa Zitto amekurupuka tu kulaumu kuhusu hisa zetu kuwa ni dhaifu bila kusoma “hati za kuunda kampuni,” kupata muktadha wa mgawanyo huo.

Kwa sasa “hati za kuunda kampuni” misingi yake ipo katika Appendix 4 hiyo hiyo anayoitumia Zitto. Lakini kwa uvivu hakwenda mbali zaidi kusoma kuelewa maana ya category B, ambazo naziona zimewekwa mahsusi kulinda hisa za Serikali na za Watanzania *ZISIUZWE* au *KUHAMISHWA* hovyo.

Kifungu C(2)(b) cha “Appendix 4” ambacho ni kiambatishi cha makubaliano ya awali ya Serikali na Barrick, kinasema: “the GoT shareholder–16% free carried interest (held in the form of Class B shares), with such free carry interest being *non-transferable* (directly or
indirectly)."

Aidha, Zitto anadai hisa za kundi A alizopewa Barrick zinamwezesha kuwa na nguvu zaidi, hizi ni akili finyu, thamani ya hisa inabaki pale pale kwa uwiano wake katika faida ila matumizi ya hisa ni dunia nzima hutofautiana kutokana na malengo ya mwana hisa.

Makubaliano yako makini kwa upande wa Serikali na ningeshangaa kama Profesa Kabudi na Luoga watu makini wangefanya anavyotaka Zitto kwamba hisa A zisiwe na kazi yoyote.

Ili mwekezaji mwenye hisa nyingi pia apate haki yake, ukisoma kifungu C.3, bado mwenye hisa kundi A chochote atakachotaka kufanya kama kuziuza au kukopea mikopo, kwanza ataomba IDHINI Serikalini.Kwa huyu huku nako maslahi ya nchi yamezingatiwa. Zitto inamuuma, anaamua kupotosha.

*5. Hayawani Katika Masuala ya Mikataba:*

Nimetaja uwezo mdogo wa Zitto Kabwe katika kuelewa masuala ya sheria na dhana za kiuchumi na uendeshaji wa makampuni lakini hapa niseme pia makala yake kubeza hatua zilizofikiwa na Serikali na Barrick ameonesha pia uwezo mdogo katika masuala ya mikataba.

Uchambuzi wake umejaa makengeza katika eneo hili. Kwa Mfano anasema: “Kwa Watanzania nyaraka muhimu katika mauziano haya ya Acacia, ni ile ya Makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Barrick katika kumaliza mgogoro wa Makanikia na masuala ya Kodi.”

Kwanza hii ya kwamba kuna tayari makubaliano ya mwisho na yaliyokamilika SI KWELI, kama nilivyoeleza hapo juu kwamba hata Barrick na Acacia wenyewe wanakiri katika taarifa yao kwa umma kuwa kuna makubaliano mengine mengi mahsusi yataendelea kufanyika.

Hivyo tofauti na UONGO wa Zitto, kuyaelewa masuala ya Barrick na Serikali huhitaji kusoma nyaraka moja tu, yaani “Appendix 4.” Utakuwa umeingia chaka. Mikataba ina nyongeza na viambatishi na makubaliano ndani ya makubaliano. Nyaraka hizi zote huwa ni muhimu.

Ndio maana katika ukurasa wa 66 kwenye Appendix 4 waliyoiambatisha Acacia katika taarifa yao kwa umma yenyewe pia inakiri, tofauti na UONGO wa Zitto, kutakuwa na nyaraka za mikataba ya nyongeza (consequential amendments).

Kwa sababu ya uongo wake kutaka kuaminisha watu kuwa masuala yoooote ya makubaliano yako kwenye “Appendix 4” pekee, nainukuu sehemu ya makubaliano inayoonesha Zitto hana uelewa na anachokijadili:

“Furthermore, if the Scheme becomes effective, in addition to agreement being reached on the outstanding issues, consequential amendments (which will need to be agreed with the GoT) will be required to be made to the terms of the Transaction Documents.”



*6. Kiingereza Kimekuja kwa Meli!*

Maeneo mengine ukisoma andiko la Zitto unaona madhara ya kutumia muda mwingi chuoni kufanya harakati na kushindwa kupata ujuzi muhimu ikiwemo lugha ya Kiingereza.

Tunajua hii lugha imekuja kwa meli basi maeneo mengine angekuwa anauliza au hata anunue kamusi basi kuliko kukurupuka kupingana nayo wakati hajaelewa.

Kwa mfano anasema Tanzania ikilipwa zile Dola Milioni 300 itakuwa ndio basi kwamba itasamehe kodi zote zingine ilizokuwa inadai.Kiingereza kimemtatiza hapa!

Hata mimi ningeshangaa sana kama Prof. wa aina ya Palamagamba Kabudi na bingwa wa mikataba kama Profesa Florens Luoga wangesaini masuala kama hayo. Ningeshangaa.

Lakini tofauti na uwezo mdogo na uelewa mdogo wa Zitto, ukisoma makubaliano ya awali masuala yote ya ubishani kuhusu kodi yamewekewa kifungu tofauti na yatamalizwa kwa njia tofauti.

Kifungu A:15 cha “Appendix 4” imeelezwa wazi kuwa makubaliano yaliyofikiwa (ikiwemo kuhusu Barrick kutulipa Dola Milioni 300, zaidi ya Shilingi milioni 700) ni kuhusu masuala ya jumla (high level) na kwamba yale mahsusi ikiwemo ubishani kuhusu kodi yatamalizwa kwa mfumo tofauti.

Kwa kuwa nataka leo umma uone madhara ya kijana huyu mpotoshaji, na asiye na jipya kwa nchi hii, naomba tena ninukuu kifungu hicho kutoka lugha ya Kiingereza iliyotumika. Kinasema:

“The settlement seeks to be comprehensive *but at a high level.* With there being multiple disputes, the mechanics to *finally dispose of all claims, in particular those relating to tax, are varied and complex*. The Framework Agreement states that the
*parties will work together in good faith and without delay to agree and finalize the deliverables required to fully settle all taxation proceedings.”* (Msisitizo ni wangu).

*7. Uongo Kuhusu Bunge:*

Zitto ametoa madai kuwa mkataba umesainiwa bila kulijulisha Bunge. Nimeeleza awali kuwa kwanza kadanganya, hakuna mkataba wa mwisho mpaka sasa, lakini hata kama ungekuwepo hajui alisemalo tena katika kipengele hiki.

Ni aibu, na haya ndio madhara ya kutoka nje ya Bunge wakati wa masuala muhimu yakijadiliwa. Zitto analaumu suala ambalo hajasoma sheria husika inasemaje kuhusu utaratibu wa Bunge kufikishiwa mikataba katika sekta ya madini.

Tofauti na uongo wake, kifungu cha 4 cha Sheria husika “The Natural Wealth and Resources Contracts (Review and Re-Negotiation of Unconscionable Terms), Act. No. 6, 2017,” neno lililotumia kuhusu Serikali kupeleka MIKATABA (sio makubaliano ya awali) Bungeni, ni MAY, kwamba sio lazima ipelekwe.

Lakini kama ni muhimu kupelekwa, kifungu cha 5 kinaweka utaratibu kuwa baada ya kusainiwa mkataba (sio michakato au maafikiano ya awali) Serikali inapewa siku 60 kuwasilisha Bungeni. Kwa shule hii naamini atajifunza kitu.

*8. Hoja Kuhusu Barrick Kusamehewa Kodi:*

Kwanza hii imenifanya nizidi kuwashangaa wanasiasa. Kama kuna eneo Zitto amekuwa akipigia kelele ni nchi yetu kuendelea kuweka mazingira mazuri na vivutio kwa wawekezaji nchini.

Suala la kusamehe kodi kwa mwekezaji nchi inaweza kulifanya kimkakati kulinda uwekezaji, kuvutia wengine na tumeshafanya hivyo kwa wengi. Nadhani hili eneo kwanza tusitake kudanganyana, hakuna ubishi juu ya kusamehe kodi issue ni unasamehe kwa malengo gani?

Hoja hiyo inatuleta sasa katika uchambuzi unaoonesha, kama ilivyokuwa kwingineko, katika hili pia Zitto hajasoma na kuelewa anachokijadili. Ni kweli kwamba zipo kodi zitasamehewa lakini atakayefaidika sio Acacia wala Barrick; inayosaidiwa hapa ni kampuni yetu ambayo itaundwa ikiwa na hisa 84% za Barrick na 16% za Serikali ya Tanzania.

Zitto amesahahu kuwa Barrick ananunua tu hisa za Acacia ili Acacia “mwizi” aondoke wenyewe tuanze upya kufaidi mali asili yetu ya madini ya dhahabu. Zitto hataki!

Nakala iliyoko kwenye “Appendix 4” inaweka bayana kuwa itaundwa kampuni mpya ambapo Tanzania itavuna hisa asilimia 16 za bure lakini licha ya hisa hizo mapato na faida nyingine za kodi na tozo zitafikia sisi kufaidika kwa asilimia mpaka 50 ya faida yote ya mauzo ya dhahabu licha ya hisa zetu kuwa asilimia hizo chache.

*9. Ni Maslahi ya Taifa au Tumbo?*

Kama haya yote yako sawa tatizo ni nini mtu anaweza kujiuliza kwa Zitto kudanganya watu? Ukisoma kwa umakini na baadhi ya takwimu na hoja anazozitoa Zitto utakubaliana nami kuwa ni wazi yuko upande wa Acacia. Si kosa, lakini si bure.

Anaonekana anazo taarifa za ndani anazozitumia kutaka kuharibu hatua za mwisho mwisho za Acacia kuondoka nchini. Sioni akifanikiwa. Nashangaa ujasiri anautoa wapi.

Lakini inaonekana ana manufaa mapana na Acacia, aendelee nao, azame nao lakini asiidanganye Tanzania Mpya.

Maana nilikuwa napitia mahali nikaona hapa kuwa kumbe ashawahi kufaidika na Barrick Gold ya zamani iliyokuja kuitwa Acacia. Jionee hapa: https://www.jamiiforums.com/threads...-wa-barrick-gold-tutapona-kama-taifa.1270434/

*10. Awe Makini, Anahangaika na Mambo ya Hovyo:*

Mwisho nimalizie kama nilivyoanza, kama Taifa tunasikitika kumpoteza Zitto kijana mjuzi na mjenga hoja, tumebaki tu na mropokaji, mpika majungu. Kwa nini kafika hapa, inawezekana kuna sababu nyingi.

Lakini kama Zitto atataka ushauri, ni huu; aachane na tabia kuhangaika na wadada wa mjini na wajane, amechuja mno, amepoteza mno, amepauka kisiasa na kiujenzi wa hoja. Kachoka.

Inasikitisha.
Alamsiki.

Niite Mwamba (sema mara tatu) wa Kaskazini.
 
Back
Top Bottom