Zitto Kabwe mbunge makini kuliko wote TZ!

Status
Not open for further replies.

KIM KARDASH

JF-Expert Member
Sep 21, 2011
5,139
1,139
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto, ambaye pia ni Naibu Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, ni kama vile ndiye ‘nyota' wa mkutano uliopita wa Bunge na hasa baada ya kuwataka wabunge kutia saini zao kwa lengo la kutaka kumpigia kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kutokana na ripoti za CAG kuonyesha ufisadi unaojirudia kila mwaka miongoni mwa taasisi za umma.


Zitto ambaye ameshikilia rekodi yake ya kuwa kinara wa mikutano miwili mfululizo ya Bunge, akiibuka na pingamizi la posho kwa wabunge katika mkutano Februari, mwaka huu na sasa, akiibuka na ajenda ya ‘kumng'oa' Waziri Mkuu, hoja zote zikipata ushabiki ndani na nje ya Bunge, amelifanya Bunge kuwa na rekodi ya kipekee lakini pia, hatua yake ya kutaka Waziri Mkuu ang'olewe inampa nguvu zaidi CAG tofauti na wengi wanavyotafsiri.

Zitto mwenyewe ameeleza: "Vyovyote itakavyokuwa, kufanikiwa au kutofanikiwa kumng'oa Waziri Mkuu, ripoti za CAG zitaheshimiwa kwa kufanyiwa kazi ili makosa ya ufisadi yasiwe yanajirudia na yakijirudia basi, siku nyingine Waziri Mkuu atang'oka, rekodi zimeshajiandika."
Zitto alifanikiwa kukusanya saini za wabunge 73, ambao ni kutoka vyama karibu vyote vyenye wabunge bungeni, isipokuwa UDP tu.
 
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto, ambaye pia ni Naibu Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, ni kama vile ndiye ‘nyota' wa mkutano uliopita wa Bunge na hasa baada ya kuwataka wabunge kutia saini zao kwa lengo la kutaka kumpigia kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kutokana na ripoti za CAG kuonyesha ufisadi unaojirudia kila mwaka miongoni mwa taasisi za umma.


Zitto ambaye ameshikilia rekodi yake ya kuwa kinara wa mikutano miwili mfululizo ya Bunge, akiibuka na pingamizi la posho kwa wabunge katika mkutano Februari, mwaka huu na sasa, akiibuka na ajenda ya ‘kumng'oa' Waziri Mkuu, hoja zote zikipata ushabiki ndani na nje ya Bunge, amelifanya Bunge kuwa na rekodi ya kipekee lakini pia, hatua yake ya kutaka Waziri Mkuu ang'olewe inampa nguvu zaidi CAG tofauti na wengi wanavyotafsiri.

Zitto mwenyewe ameeleza: "Vyovyote itakavyokuwa, kufanikiwa au kutofanikiwa kumng'oa Waziri Mkuu, ripoti za CAG zitaheshimiwa kwa kufanyiwa kazi ili makosa ya ufisadi yasiwe yanajirudia na yakijirudia basi, siku nyingine Waziri Mkuu atang'oka, rekodi zimeshajiandika."
Zitto alifanikiwa kukusanya saini za wabunge 73, ambao ni kutoka vyama karibu vyote vyenye wabunge bungeni, isipokuwa UDP tu.
Umekuja na thread ili utuchonganishe Kati ya CDM na zitto huwezi Pambaf!!!!!!! Ni makini ndio maana yupo CDM Chama makini kwi kwi! Kwi! Kwi! Kwi
 
Zitto alitumwa na JK na JK anajua kabisa uongozi wake unayumbishwa na Magamba ya CCM sasa anayatumia majembe kama wakina Zitto kutema cheche ile yeye aweze kufanya kazi. Unajua tena ule uenyekiti wa CCM na kuwa chama ndo kinaunda serikali wanambana asiende wanavyotaka wao.

Sasa amemwambia Lema azunguke Nchi nzima aiue CCM ili akija kutoka 2015 Chadema waingie ikulu halafu atawapa siri zote. na kuna kila dalili kuna agreement fulani na sisi wana Chadema kuja kumlinda.

Namnukuu Zitto kule Bungeni wakati anahitimisha ''Mawaziri msimsingizie Raisi na kumchafua kwa uzembe wenu na ubaridhifu wenu wa kushindwa kusimamia mali na pesa za walipa kodi kwa manufaa yenu binafsi i lazima muwajibike na mchukuliwe hatua stahiki''
Mwisho wa kunukuu. Hapa mpepata picha sasa kwamba JK amechoka na magamba sasa anawatumia chama makini kuiokoa nchi hii kutoka mikononi mwa wezi. JK na Zitto ni Dam Dam JK na Chadema ni Dama Dam.
 
Joh Cheyo hajitambui na hatambui nafac yake.

Anajua mwisho wake ni 2015 nintabiri UDP haitakuwa na mbunge kuanzia mwaka 2015 na vyama design yake SAU etc vitafutwa kutokana na kutokidhi matakwa, KATIBA MPYA INATAKIWA PIA IE NA KIPENGELE CHA KUFUTA VYAMA VISVYO NA WABUNGE ILI KUPUNGUZA UTITIRI WA VYAMA VINAKUWA KAMA MALIA YA MWENYEKITI KUALIWA NA RASI KUTEMEBELEA NCHI FULANI
 
Zitto alitumwa na JK na JK anajua kabisa uongozi wake unayumbishwa na Magamba ya CCM sasa anayatumia majembe kama wakina Zitto kutema cheche ile yeye aweze kufanya kazi. Unajua tena ule uenyekiti wa CCM na kuwa chama ndo kinaunda serikali wanambana asiende wanavyotaka wao.

Sasa amemwambia Lema azunguke Nchi nzima aiue CCM ili akija kutoka 2015 Chadema waingie ikulu halafu atawapa siri zote. na kuna kila dalili kuna agreement fulani na sisi wana Chadema kuja kumlinda.

Namnukuu Zitto kule Bungeni wakati anahitimisha ''Mawaziri msimsingizie Raisi na kumchafua kwa uzembe wenu na ubaridhifu wenu wa kushindwa kusimamia mali na pesa za walipa kodi kwa manufaa yenu binafsi i lazima muwajibike na mchukuliwe hatua stahiki''
Mwisho wa kunukuu. Hapa mpepata picha sasa kwamba JK amechoka na magamba sasa anawatumia chama makini kuiokoa nchi hii kutoka mikononi mwa wezi. JK na Zitto ni Dam Dam JK na Chadema ni Dama Dam.

eh! eh...aisee
 
Tusubiri tuone,naona haya mahusiano ya mh.zitto na mh.dr.jk yanazungumziwa sana,yamkini dhamira ipo lakini vema kujipa muda ili kuona.mungu ataweka bayana maana hakuna siri ya wawili.
 
Mkuu ukusema Zitto ndiye makini kuliko wote TZ vipi Mnyika? Unajua mapendekezo yake madogo yamesaidia kulinusuru taifa kuingia katika deni kubwa? Tunataka kuanza mradi hatuna fesibility study, designs n.k vyote vile vimesababishwa na mh. Mnyika. Mi nadhani kila mbunge ana nafasi yake ndio maana wote wanfanya kazi vizuri labda useme zitto ameng'ara zaidi katika bunge hili.
 
Unajua JK na Zitto ninmarafiki??? Nahsi aliyumwa na. Rais ili iwe mbinu ya kubadili baraza!!!!!!!

na ndiyo maana aliwaambia wakome kumsingizia au kumhusisha Rais katika wizi wao. I get the point. Na ninahisi Rais anapigia chapuo Rais kijana ajae kwa Maana ya Zitto ili aje amlinde na madudu yake. Sidhani kama atafanikiwa kwa hili. Watu wako macho sana siku hizi.
 
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto, ambaye pia ni Naibu Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, ni kama vile ndiye ‘nyota' wa mkutano uliopita wa Bunge na hasa baada ya kuwataka wabunge kutia saini zao kwa lengo la kutaka kumpigia kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kutokana na ripoti za CAG kuonyesha ufisadi unaojirudia kila mwaka miongoni mwa taasisi za umma.


Zitto ambaye ameshikilia rekodi yake ya kuwa kinara wa mikutano miwili mfululizo ya Bunge, akiibuka na pingamizi la posho kwa wabunge katika mkutano Februari, mwaka huu na sasa, akiibuka na ajenda ya ‘kumng'oa' Waziri Mkuu, hoja zote zikipata ushabiki ndani na nje ya Bunge, amelifanya Bunge kuwa na rekodi ya kipekee lakini pia, hatua yake ya kutaka Waziri Mkuu ang'olewe inampa nguvu zaidi CAG tofauti na wengi wanavyotafsiri.

Zitto mwenyewe ameeleza: "Vyovyote itakavyokuwa, kufanikiwa au kutofanikiwa kumng'oa Waziri Mkuu, ripoti za CAG zitaheshimiwa kwa kufanyiwa kazi ili makosa ya ufisadi yasiwe yanajirudia na yakijirudia basi, siku nyingine Waziri Mkuu atang'oka, rekodi zimeshajiandika."
Zitto alifanikiwa kukusanya saini za wabunge 73, ambao ni kutoka vyama karibu vyote vyenye wabunge bungeni, isipokuwa UDP tu.

John Mnyika ni makini kuliko huyo gamba zitto, vp Lissu aliyeanzisha hoja ya kumng,oa waziri mkuu halafu Zitto akaidandia..acha kuleta mambo ya Bongofleva kwenye mustakabali wa nchi...
 
Zito anajua sana kutumia nafasi finyu,Ni vema,tatizo ni pale anapohusishwa na magamba,binafsi CDM yeyote mwenye virusi vya magamba hatafanikiwa kuwa Rais wa nchi hii,Mungu lazima amkatilie mbali,Nchi hii tunaenda kwenye ukurasa mpya kabisa,ya kale yote lazima yapite yaje mapya
 
John Mnyika ni makini kuliko huyo gamba zitto, vp Lissu aliyeanzisha hoja ya kumng,oa waziri mkuu halafu Zitto akaidandia..acha kuleta mambo ya Bongofleva kwenye mustakabali wa nchi...

Isaya 41:6 - Wakasaidiana, kila mtu na mwenzake, kila mtu akamwambia ndugu yake; Uwe na moyo mkuu. 7 Seremala akamtia moyo mfua dhahabu, na yeye alainishaye kwa nyundo akamhimiza yule apigaye fuawe, akiisifu kazi ya kuunga, akisema, Ni kazi njema; naye akaikaza kwa misumari isitikisike.

Hivi ndivyo kiumbe kinachoitwa mwanadamu kinavyofanya kazi no one is complete exclusively!
 
Joh Cheyo hajitambui na hatambui nafac yake.

Cheyo kaonyesha kabisa nafasi ya ubunge wake ni kama fadhila toka kwa magamba!!!!!

Hana analolijua zaidi ya ndiyo mzee na ndiyo maana chama chake hakina mbunge zaidi ya yeye na kaiua zaidi kwa kugoma kusign vote of no confidence.
 
Joh Cheyo hajitambui na hatambui nafac yake.

Cheyo kaonyesha kabisa nafasi ya ubunge wake ni kama fadhila toka kwa magamba!!!!!

Hana analolijua zaidi ya ndiyo mzee na ndiyo maana chama chake hakina mbunge zaidi ya yeye na kaiua zaidi kwa kugoma kusign vote of no confidence.
 
John Mnyika ni makini kuliko huyo gamba zitto, vp Lissu aliyeanzisha hoja ya kumng,oa waziri mkuu halafu Zitto akaidandia..acha kuleta mambo ya Bongofleva kwenye mustakabali wa nchi...

Mkuu raha ya mbio ni kumalizia sio kuanza,hivi mwanasiasa gani asiyetaka sifa ya kuiangusha serikali ya mpinzani wake mpaka aanzishe hoja aishie njiani mwenzake ndio aidake na kuipatia sifa?basi huyo sio mwanasiasa
 
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto, ambaye pia ni Naibu Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, ni kama vile ndiye ‘nyota’ wa mkutano uliopita wa Bunge na hasa baada ya kuwataka wabunge kutia saini zao kwa lengo la kutaka kumpigia kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kutokana na ripoti za CAG kuonyesha ufisadi unaojirudia kila mwaka miongoni mwa taasisi za umma.


Zitto ambaye ameshikilia rekodi yake ya kuwa kinara wa mikutano miwili mfululizo ya Bunge, akiibuka na pingamizi la posho kwa wabunge katika mkutano Februari, mwaka huu na sasa, akiibuka na ajenda ya ‘kumng’oa’ Waziri Mkuu, hoja zote zikipata ushabiki ndani na nje ya Bunge, amelifanya Bunge kuwa na rekodi ya kipekee lakini pia, hatua yake ya kutaka Waziri Mkuu ang’olewe inampa nguvu zaidi CAG tofauti na wengi wanavyotafsiri.

Zitto mwenyewe ameeleza: “Vyovyote itakavyokuwa, kufanikiwa au kutofanikiwa kumng’oa Waziri Mkuu, ripoti za CAG zitaheshimiwa kwa kufanyiwa kazi ili makosa ya ufisadi yasiwe yanajirudia na yakijirudia basi, siku nyingine Waziri Mkuu atang’oka, rekodi zimeshajiandika.”
Zitto alifanikiwa kukusanya saini za wabunge 73, ambao ni kutoka vyama karibu vyote vyenye wabunge bungeni, isipokuwa UDP tu.

Muhuni yuleyule analeta thread zake za kihuni za uchonganishi.Stupid at work!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom