AGITATOR
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 4,911
- 6,147
Hata hangaya anahusika sio kumsingizia hayati tu.Pigo lingine kwa Ndugai na genge lake mwendazke
Hata hangaya anahusika sio kumsingizia hayati tu.Pigo lingine kwa Ndugai na genge lake mwendazke
kama hawezi kuondolewa baada ya kipindi kimoja walikuwa na maana gani ya kuweks renewable?Sheria imetamka wazi vipindi viwili renewable, unless otherwise iwepo sababu za kutokuendelea.
Kwa hiyo hamba option ya kumwo doa CAG kwa kipindi kimoja
Huioni faida Kwa sababu sheria zinakupita kushoto. Hii ni moja Kati ya hukumu zenye faida Sana nchini.Sioni impact ya kesi hii kipindi hiki. Kama Mahakama baada ya kesi hii ingemrejesha Ptof. Assad kwenye nafasi yake ningeona umuhimu wa matokeo ya mashauri kama haya maana ni mengi.
Kusemwa kwa kiongozi ni kawaida ila mimi nazungumzia kuchukiwa, jinsi anavyosemwa Magufuli na yanayoendelea huwezi kufananisha na hao viongozi wengine. Huyo Nyerere kumsema tu ni kama dhambi nakumbuka Lissu alivyomsemaga Nyerere jinsi watu walivyomjia juu anamkosea adabu Baba wa taifa, huyo Mkapa na Kikwete walisemwa kawaida tu hawakuchukiwa labda ndio hivyo walikuwa wanauma na kupuliza tofauti na Magufuli.Nilikuwa sifahamu kwamba kuna Vita Dhidi ya Marehemu....
Hata hivyo, bado nafahamu Rais pekee ambae hana bahati mbaya ya kusemwa semwa nchi ni Mwinyi peke yake!
Mwalimu Nyerere kafanya mambo mengi sana nchi hii, lakini bado hadi kesho anasemangwa, na wala sijawahi kusikia msamiati wa "Vita Dhidi ya Marehemu"
Jakaya kila siku anasemwangwa lakini sijawahi kusikia msamiati wa "Vita Dhidi ya Mstaafu Jakaya"!
Kwamba, Rais wa sasa anaweza kuvunja katiba na hakuna kitakachofanyika... INAWEZEKANA KABISA!
Inawezekana kwa sababu SSH anatumia staili ya JK na sio ya JPM! Bila shaka unakumbuka CHADEMA ya enzi ya JK ilikuwa STRONG kweli kweli... huku Mbowe, kule Slaa, pale kuna Mnyika, Lema nae yupo kibao... bila kumsahau Mdee, na wengine kadhaa!
Unakuta JK anafanya jambo linalopelekea full mapovu toka kwa akina Mnyika! Watafoka sana! Wataongea kadri wapendavyo, baada ya muda wanaitwa Ikulu "wakajadili" kuhusu suala husika!
CHADEMA na Gwanda zao, haoooo Ikulu... Kwavile mgeni lazima akaribishwe kinywaji, usishangae ukakuta unawekewa juicy kwenye glasi na JK mwenyewe!!!
Hapo watacheka, wanafurahi, na mwisho wa yote JK anawaahidi kufanyia kazi malalamiko yao!
Akina Tundu Lissu na ujanja wao wote ule watatoka hapo huku wakiwa wamekenua magego yote 49 lakini inakuwa ndo imetoka hiyo!! Hakua cha kufanyia kazi wala nini...
So, hakuna cha chuki hapo... it's all about how you handle your opponents!!
Zitto Kabwe ni mpinzani pekee mwenye uthubutu
Makamu wake? Madaraka matamu akujiuzuru.Mwendazake alikua dctatr
Rais alitakiw akushughulikia waloiba na sio Ashughulikiwe aliyeonesha wizi wakati ndio kazi yake ya kisheria.Asad alishindwa kusoma alama za nyakati kwa kubishana na muhimili uliojichimbia.Hakuna Rais Duniani anayetaka maovu ya serikali yake yajulikane.Asad kiprotokali ilipaswa ajiuzulu kulinda heshima yake lakini siyo kutaka Rais awe submissive kwake!
Magufuli was wrong legally but politically correct!
Ndio maana mmekatazwa kuja Qatar, mna ajenda yenu ya kinyumenyume...Zitto na genge lake Udini unawasumbua sana. Acheni siasa za kupambana na Ukristo pimbi nyie
Kwahiyo kwa sababu aliyeuanzisha ameshaondoka basi uendelee tu daima ?!!Huo ni ujinga wa Magufuli aliuanzisha. Baada ya kula kibano 2015.
Ameen !!Hahaha....... naunga Mkono
Kwakweli !!Marehemu anawatesa watu, naona huwa wakishtuka usiku wanajua bado yu hai
Tuna safari ndefu sana kwenye kulinda na kuheshimu Katiba ya Nchi.Ameandika Zitto katika ukurasa wake wa Twitter
Nimefarijika kuwa leo tarehe 05/12/2022 Mahakama Kuu katika shauri la Zitto Zuberi Kabwe vs. Mwanasheria Mkuu na wenzie na 8/2020 mbele ya jopo la majaji 3 Masoud, Masabo na Kakolaki imetoa uamuzi kuwa Rais John Magufuli alivunja Katiba alipomuondoa Prof. Mussa J. Assad kama CAG.
View attachment 2436886
Kwahiyo katiba ifanyiwe marekebisho isomeke Hivyo !!Hizo ni athari za utawala wa kidhalimu wa Magufuli. Kila rais wa CCM hatakubali mikutano tena, maana wanajua CCM haiko madarakani kwa ridhaa ya umma.
Obama alisema Africa doesn’t need strong people! It needs strong institutions ! Sijui alikuwa ana maana gani !!!Tuna safari ndefu sana kwenye kulinda na kuheshimu Katiba ya Nchi.
Mahakama ImaraObama alisema Africa doesn’t need strong people! It needs strong institutions ! Sijui alikuwa ana maana gani !!!
Kama kesi hiyo ya kikatiba ameweza kushinda hata ya mikutano ya hadhara akifungua kesi atashinda !! Au vipi ?!Zitto Kabwe ni mpinzani pekee mwenye uthubutu