All truth23
JF-Expert Member
- Jul 19, 2022
- 1,217
- 1,397
Jua kuwa Kila mtu na wakwakeMagufuli alikuwa ni mvunja katiba mkubwa. Ila hizo mahakama kama angekuwa hai bado zingetoa hukumu ya kumfurahisha. Bila katiba mpya tena kwa njia ya machafuko, tusitegemee hatua zozote kuchukuliwa kwa hawa walevi wa madaraka.
Cc: UHURU JR