Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,567
Running order ya Kipindi cha Jambo Afrika, Jambo Tanzania ambacho kinarushwa live na Televisheni ya Taifa, TBC-1, kila siku kuanzia saa 12:00-2:00 asubuhi kimeonyesha Mbunge wa Kigoma Kaskazini na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Mh. Zitto Zuberi Kabwe atahojiwa live kwenye kipindi hicho akiwa mjini Dodoma.
Mhe. Zitto aliongea kwa dakika kama 5 matangazo yakakatika kwa sababu za kiufundi.
Mhe. Zitto aliongea kwa dakika kama 5 matangazo yakakatika kwa sababu za kiufundi.
Last edited by a moderator: