PCB ya enzi za Mwalimu ilikuwa nzuri sana. Mtu kama Chenge na "vijisenti" vyake angesimama yeye mahakamani kueleza namna alivyovipata hivyo vijisenti. Sasa hivi ni dola ndiyo inayotakiwa kutafuta ushahidi wa kwelikweli. Si uliona Costa Mahalu alivyopeta hivi karibuni kwenye ile kesi ya ununuzi wa jumba la ubalozi kule Italy?Bado una imani na TAKUKURU? Pimia mwenye kauli ya Dr. Hoseah kwa ubalozi wa Marekani,
"Unapodhuria mikutano ya vigogo wanataka utambue kwamba wao ndo wamekupa hicho kitengo. Na kama wakiona unatofautiana na matakwa yao, basi upo hatarini"