Zitto Kabwe, kwanini hauchambui upungufu wa Dola Tanzania?

JackisonDubai

JF-Expert Member
Mar 27, 2023
537
1,274
Zito Kabwe mchumi aliyejipatia umaarufu Kwa kuchambua mwelekeo na udhaifu mbalimbali kwenye serikali ya CCM lakini safari hii amegeuka bubu ghafla kwani mdomo umejaa asali ambayo itampalia kama atathubutu kupanua mdomo wake.

Serikali ya Rais Samia imekumbwa na uhaba mkubwa wa hifadhi ya Dola hali iliyopelekea wafanyabiashara kuonekana wakihaha huku na huku kutafuta Dola kila wanapotaka kuagiza bidhaa kutoka nje ya nchi lakini Zito Kabwe yuko kimya kabisaa kana kwamba mambo n shwari mno.

Watu wanajiuliza Zito Kabwe amepatwa na nini?
 
Zito Kabwe mchumi aliyejipatia umaarufu Kwa kuchambua mwelekeo na udhaifu mbalimbali kwenye serikali ya CCM lakini safari hii amegeuka bubu ghafla kwani mdomo umejaa asali ambayo itampalia kama atathubutu kupanua mdomo wake.

Serikali ya Rais Samia imekumbwa na uhaba mkubwa wa hifadhi ya Dola hali iliyopelekea wafanyabiashara kuonekana wakihaha huku na huku kutafuta Dola kila wanapotaka kuagiza bidhaa kutoka nje ya nchi lakini Zito Kabwe yuko kimya kabisaa kana kwamba mambo n shwari mno.

Watu wanajiuliza Zito Kabwe amepatwa na nini?
Kuna mwenzagu katika Imani, huyo siwezi kumgusa.
 
Zito Kabwe mchumi aliyejipatia umaarufu Kwa kuchambua mwelekeo na udhaifu mbalimbali kwenye serikali ya CCM lakini safari hii amegeuka bubu ghafla kwani mdomo umejaa asali ambayo itampalia kama atathubutu kupanua mdomo wake.

Serikali ya Rais Samia imekumbwa na uhaba mkubwa wa hifadhi ya Dola hali iliyopelekea wafanyabiashara kuonekana wakihaha huku na huku kutafuta Dola kila wanapotaka kuagiza bidhaa kutoka nje ya nchi lakini Zito Kabwe yuko kimya kabisaa kana kwamba mambo n shwari mno.

Watu wanajiuliza Zito Kabwe amepatwa na nini?
ZITTO NI usipoteze muda wako bure
 
Zito Kabwe mchumi aliyejipatia umaarufu Kwa kuchambua mwelekeo na udhaifu mbalimbali kwenye serikali ya CCM lakini safari hii amegeuka bubu ghafla kwani mdomo umejaa asali ambayo itampalia kama atathubutu kupanua mdomo wake.

Serikali ya Rais Samia imekumbwa na uhaba mkubwa wa hifadhi ya Dola hali iliyopelekea wafanyabiashara kuonekana wakihaha huku na huku kutafuta Dola kila wanapotaka kuagiza bidhaa kutoka nje ya nchi lakini Zito Kabwe yuko kimya kabisaa kana kwamba mambo n shwari mno.

Watu wanajiuliza Zito Kabwe amepatwa na nini?
JacksonDubai! Wewe ni pimbi kweli! Kwanini huchambui wewe hadi umtegemee huyo Zito Kabwe! Acha wehu wako pia wewe una hilo jukumu kwa kuwa umeliona! Mjinga kabisa nyangau wewe!
 
Haa unachasema ni kweli kabisa yaan ilikua hata dollar ikipanda kwa sent 10 .anakuja mbio mbio mbele ya waandish wa habari na kusema fedha yatu imeshuka thamani sana

BoT: Hifadhi za Fedha za Kigeni yashuka kwa Asilimia 11, Serikali yawatoa hofu wananchi
 
Back
Top Bottom