Kuna tetesi kuwa huenda Mh Zito Kabwe akapewa nafasi ya uwaziri katika baraza lijalo la mawaziri kutokana na kumvutia sana Muungwana (JK) katika utendaji na upeo makini wa masuala ya kitaifa na kimataifa..
Mwenye nyeti zaidi ya hili atujuzee hapa jamvini...JF kila taarifa natumai inapatikana.
Mwenye nyeti zaidi ya hili atujuzee hapa jamvini...JF kila taarifa natumai inapatikana.