Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaweza kufaa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA lakini si Kiongozi wa Upinzani. Hana uwezo huo, itakuwa aibu kwake na kwa CHADEMA.Kama Mwenyekiti wake yuko Bungeni, je isingekuwa busara na hekima amuachie Mbowe awe kiongozi wa upinzani? Unless kama Mbowe hagombei nafasi hii, nahisi inaweza tena ikawagawa katika makundi.
Kuna vijana wawili walioondoka Chadema wameshinda Kigoma. Wangekuwa CHADEMA ushindi ungeongezeka.
Sio kila mfumo unaweza kufaa kila mahali. Kiukweli hana hata sifa za kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA. Angalau ndani ya CHADEMA anaweza kuvumilika ila si nje ya CHADEMA.Siungi mkono busara ni kumwachia Mwenyekiti wa chama kuwa kiongozi wa upinzani angalia bunge la UK inapendeza kiongozi wa upinzani bungeni anakuwa kiongozi mkuu wa chama chake.
Mkuu,Niliwai chart na mr zitto facebook kuhusu kugombea nafsi ya kiongozi wa kambi ya upinzani bunge alisema bado hajaamua na atatoa mwelekeo siyo sasa. Je katoa tamko hilo mkuuu ?
Kama Mwenyekiti wake yuko Bungeni, je isingekuwa busara na hekima amuachie Mbowe awe kiongozi wa upinzani? Unless kama Mbowe hagombei nafasi hii, nahisi inaweza tena ikawagawa katika makundi.
Kuna vijana wawili walioondoka Chadema wameshinda Kigoma. Wangekuwa CHADEMA ushindi ungeongezeka.
Siungi mkono busara ni kumwachia Mwenyekiti wa chama kuwa kiongozi wa upinzani angalia bunge la UK inapendeza kiongozi wa upinzani bungeni anakuwa kiongozi mkuu wa chama chake.
Lakini ni vijana wasio na displine. Ni afadhali wakakaa mbali nasi kuliko kuwa nao kama mzigo ndani ya chama. Mi nadhani tutashirikiana nao vizuri wakiwa nje ya chama kuliko walivyokuwa ndani ya chama. Mnamkumbuka Kafulila na battle ya zitto na wenyekiti? Wacha akae na Mbatia huyo watawezana maana ni wale wale tu, undisciplined.Kama Mwenyekiti wake yuko Bungeni, je isingekuwa busara na hekima amuachie Mbowe awe kiongozi wa upinzani? Unless kama Mbowe hagombei nafasi hii, nahisi inaweza tena ikawagawa katika makundi.
Kuna vijana wawili walioondoka Chadema wameshinda Kigoma. Wangekuwa CHADEMA ushindi ungeongezeka.
Hapa tunachanganya vitu. Si kwamba Zitto haaminiki, la hasha, Zitto anasema ukweli muda woote hata kama ukweli huo unawaudhi wenzake ndani ya CHAMA. Kwa ujumla Zitto anasimamia maslahi ya Watanzania zaidi kuliko maslahi ya kisiasa ndio maana kwake hata kugombea ubunge haikuwa kazi ngumu. Ipo mifano mingi tu juu ya utendaji wake na muono wake ila mfano mkubwa atakuwa ni Kafulila aliyeshinda ubunge huko Kigoma.Chadema ni lazima wawe careful kwani nimekwisha ona mbinu za ccm zikianza kutaka kuwagawa hawa wabunge katika makundi kupitia kuutafuta uongozi wa upinzani!! Zitto ana baggage nyingi za ccm toka enzi za Dowans haaminiki; kama sio Mbowe basi hata Halima Mdee ana uzoefu anaweza kuwa kiongozi wa upinzani na akamudu zaidi ya Zitto!!
hawa chadema waangalie wasije wakaharibu mambo