Zitto Kabwe kuukosa Urais wa Tanzania

zito asifikirie kuwa rais wangu! Wakuu hebu tulinganishe uwezo wa mnyika na zito'kwangu mimi mnyika yuko juu tena ni mtu wa kuheshimu watu na mnyenyekevu'''zito anapenda makuu kisa kaona watanzania no maboya
 
Wana JF
Huyu kamanda wetu amekuwa na tamaa sana za kuwa rais hata kabla ya umri kiasi cha yeye kutengeza makundi ndani ya chama. Watu km hawa wanaoacha kutulia na wenzao na kuwaza madaraka tena makubwa mara nyingi hawaupati. Amwangalie Lowasa toka aanze kuutafuta hadi leo bado na kuna uwezekano akaukosa maisha yake yote. Zitto tamaa zake zitamponza. Mm alinikera siku moja kwenye mikutano yake jimboni mwake anasema "Nawaombeni kura kwa mara ya mwisho nikirudi tena 2015 nitawaomba za urais"

chonde!! chonde!! babaangu.. jina hili 2015..chonde!! chonde!! lisifanane meku.. aikambee!!
 
Zitto alikwenda Sudani Kusini yeye na nani eti, siku ya Uhuru wa Sudani Kusini???


Mbona Zitto yupo Kimya kuhusu Dowans??

Je ile Tume yao ya madini na Mh Jaji Bomani, je haya makampuni yanalipa kodi na mrahaba??
 
Kwani Katiba ya Tanzania inasema nini kuhusu sifa za mtu kugombea urais Tanzania?
Nahisi hata wewe kama:
1. Mtanzania
2. Umetimiza umri (uliowekwa)
3. Hujawahi kufungwa jela kwa kosa la jinai (sio kuwekwa rumande)
4. Mwanachama wa chama chochote cha siasa kilichosajiliwa
.....
.....
unaweza kugombea.
...
Umesahau kitu muhimu sana...Huyo mtanzania awe na akili timamu.
 
zito asifikirie kuwa rais wangu! Wakuu hebu tulinganishe uwezo wa mnyika na zito'kwangu mimi mnyika yuko juu tena ni mtu wa kuheshimu watu na mnyenyekevu'''zito anapenda makuu kisa kaona watanzania no maboya
Kuna tetesi yupo kwenye payroll ya magamba kwa lugha ya hap JF. Sifa yake ni unafiki na kupenda kuanzisha migogoro. Kuna kipindi alisema hagombei tena ubunge safari hii aliyochaguliwa akasema anataka kwenda kusoma Masters Ujerumani na kufanya shughuli zake nje ya siasa. Lakini aligombea na kushinda ubunge, akiona amepoteza mvuto kisiasa atakuja na hoja itayowashika watu wengi na kurudisha mvuto wake.
 
Nilikuwepo kwenye mkutano wa kampeni za udiwani Kata ya Masekelo Shinyanga ambapo ZZK alihutubia na moja ya mambo aliyozungumza siku hiyo ni hili la kugombea uraisi alisema ''hatuwezi kubadilisha katiba (kwenye kipengele cha umri) ili kumuwezesha Zitto kugombea'' nionavyo mimi ni kwamba hii kauli inafuta ile kauli aliyotoa zamani.
 
kikwete+na+mkewe.jpg
poverty2.jpg
Mkuu umenifurahisha sana,angalia ****** anavyobembea;
 
mnamuonea bure mtoa mada zito alitamka kwenye mkutano kigoma kwamba atakuja 2015 kuomba kura za uraisi..jamaa yuko sahihi.
 
Afadhali kaka unisaidie watu hawafuatilii halafu wanaandika andika utumbo tu humu

Hata mimi nilimsikia na hakuna kauli iliyonikera kama ile. Na aliongezea, sasa hivi tunajenga msingi tukijiandaa na urais.
 
zito asifikirie kuwa rais wangu! Wakuu hebu tulinganishe uwezo wa mnyika na zito'kwangu mimi mnyika yuko juu tena ni mtu wa kuheshimu watu na mnyenyekevu'''zito anapenda makuu kisa kaona watanzania no maboya

kama atagombea kupitia chga development management association (chadema) na ausahau urais,pia hatokuwa wa kwanza,kwani mbowe kishausahau,slaa kishazeeka,na mnyika hawezi kamwe hata kujaribu,na inawezekana wewe ni mchaga wa kule kwao na mnyika
 
Ni haki yake kikatiba kugombea urais kama atatimiza vigezo vyote na kupendekezwa kwenye chama chake.
 
Wana JF
Huyu kamanda wetu amekuwa na tamaa sana za kuwa rais hata kabla ya umri kiasi cha yeye kutengeza makundi ndani ya chama. Watu km hawa wanaoacha kutulia na wenzao na kuwaza madaraka tena makubwa mara nyingi hawaupati. Amwangalie Lowasa toka aanze kuutafuta hadi leo bado na kuna uwezekano akaukosa maisha yake yote. Zitto tamaa zake zitamponza. Mm alinikera siku moja kwenye mikutano yake jimboni mwake anasema "Nawaombeni kura kwa mara ya mwisho nikirudi tena 2015 nitawaomba za urais"

Akisema anataka kugombea urais ni kosa? Kuonyesha nia ya kugombea ni tamaa.?? Noo.! Huo ndo uhuru wa kujieleza na kukomaa kwa demokrasia, sijui nani aseme anagombea ndo tuseme hana uroho.! Ni propaganda tu, hazina maana yoyote.!
 
hakika yeye na mwenzie mmoja huko ccm wanamawazo finyu sana,laiti kama wangejua wasingepoteza muda wake kwa upuuzi huo wangejijenga kuheshimika kisha hao wanao muheshimu ndio muda ukifika watamwambia kuhusu wao kugombea.anyaway waache wajifulaishe na kutoa mwamko wa vijana wengine wanaokuja kwenye jukwaa la kisiasa kujiifunza njia za kupitia kutokuludia makosa ya vijana hao zitto na january makamba.

Sometimes ni tatizo la malezi na ulimbukeni baada ya kupata kukubalika na kuhisi unajua kuliko watangulizi wako,japo uwa ni katabia ka ujana [kuw radical] , lakini kwa kijana mwenye matamanio ya kuja kuwa kiongozi mkubwa yataka busara ili kuepuka egoism na ulevi wa madaraka, ambao tayari kwa kijana mwenye vision hawezi kupumbazwa na upofu huo hivyo ucheza turufu yake kwa kujishusha na kuepeuka kuonyesha kuwa anasukumwa na dhamila ya kuomba mamlaka ya urais kwa kuwa wanaomzunguka kama wananchi wanamuona anafaa hivyo kutumia sauti ya umma kuamsha maono ya uhitaji wa kuwa rais na sio sifa ya kuwa kwa kuwa umefanikiwa kwenye machache basi unaweza kuwa rais.

Waacheni wajifurahishe kwa upande wa pili wao ni wasindikizaji na watanzania ndio wanajua rais wao nani,na si wao wanaotwambia kuwa watakuwa marais wetu.sometimes kuelimika sio kustaarabika.
usiidumaze haki ya demokrasia. Hakuna aliyezaliwa kuwa kiongozi. Leaders are made.
 
Akigombea kuna tatizo gan? Cdm wakimpitisha basi wa2 watampa sapot! J.makamba anataka ikulu kwa 7bu ya ushkaj wake na jei kei!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom