Na yeye jamaa katambua kwamba huwezi kuwa na wote katika upande wako hata kama unahisi kuwa unawafanyia mema hao wote kwa muda wote.Mbowe kampa Jamaa ushindi, Jamaa akirudi kule kwa wenzake atajigamba "kudadadeki...nimewaminya mpaka wamesanda"
Swali ni je chadema wstanufaika na Nini baada ya hii sikukuu ya Uhuru?Zitto kapanic kwa lile walilofanya CDM jana, kashtukizwa hakutegemea, anatamani ile nafasi ingekuwa yake kwa tabia zake za ki_opportunist, toka jana ni twitter, insta habanduki huko, eti leo Zitto anataka siasa za mapambano anawafundisha CDM!, wonders shall never end, wakati ule anaenda kukutana na JK watu wanamuuliza kulikoni anasema JK ni sawa na babake, vipi leo Magufuli sio sawa na babake pia?!
Zitto kapanic kwa lile walilofanya CDM jana, kashtukizwa hakutegemea, anatamani ile nafasi ingekuwa yake kwa tabia zake za ki_opportunist, toka jana ni twitter, insta habanduki huko, eti leo Zitto anataka siasa za mapambano anawafundisha CDM!, wonders shall never end, wakati ule anaenda kukutana na JK watu wanamuulizoa kulikoni anasema JK ni sawa na babake, vipi leo Magufuli sio sawa na babake pia?!
Huyo kavurugwaZitto kapanic kwa lile walilofanya CDM jana, kashtukizwa hakutegemea, anatamani ile nafasi ingekuwa yake kwa tabia zake za ki_opportunist, toka jana ni twitter, insta habanduki huko, eti leo Zitto anataka siasa za mapambano anawafundisha CDM!, wonders shall never end, wakati ule anaenda kukutana na JK watu wanamuuliza kulikoni anasema JK ni sawa na babake, vipi leo Magufuli sio sawa na babake pia?!
Hukumsikia? Kuna watu wanalalamika, kuna watu wanateseka?Maridhiano ya kitu gani?!....... Hili swali liliulizwa na Nyani Ngabu jana!
na kamwe sitarudi CDM