Mr worldwide
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 348
- 737
Zitto Kabwe ameamua kupitia chama chake cha ACT Wazalendo kuamua kuweka wazi nia yake ya kugombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania
Ni wazi sasa kampeni za Zitto zimeanza mapema kabla hata ya wakati, ndio Zitto Kabwe anapiga kampeni za urais kabla ya wakati.
Zitto anawataka wananchi hapo 2020 wachague na walinganishe wenyewe kati ya "hapa kazi tu" na hii ya kwake "kazi na bata".
Zitto anajitanabaisha kitofauti na Magufuli kwa kuirejea kilimo kuwa kipaumbele kwake kama ilivyokua katika awamu ya nne.
Je Zitto Kabwe anatosha kuongoza nchi?
Rais Magufuli yuko tayari kuruhusu ushindani katika nafasi yake na akubali kupingwa vijembe kipindi cha kampeni na mpinzani wake?
Usalama wa mpinzani wa kiti cha rais upo kwa kiwango gani? Zitto umejipangaje kiusalama? Hali ya nchi yetu kiusalama si ya kuridhisha.
NEC mnatambua kuwa Zitto ameanza kampeni kabla ya wakati? Sheria zinasemaje hapa?
Ni wazi sasa kampeni za Zitto zimeanza mapema kabla hata ya wakati, ndio Zitto Kabwe anapiga kampeni za urais kabla ya wakati.
Zitto anawataka wananchi hapo 2020 wachague na walinganishe wenyewe kati ya "hapa kazi tu" na hii ya kwake "kazi na bata".
Zitto anajitanabaisha kitofauti na Magufuli kwa kuirejea kilimo kuwa kipaumbele kwake kama ilivyokua katika awamu ya nne.
Je Zitto Kabwe anatosha kuongoza nchi?
Rais Magufuli yuko tayari kuruhusu ushindani katika nafasi yake na akubali kupingwa vijembe kipindi cha kampeni na mpinzani wake?
Usalama wa mpinzani wa kiti cha rais upo kwa kiwango gani? Zitto umejipangaje kiusalama? Hali ya nchi yetu kiusalama si ya kuridhisha.
NEC mnatambua kuwa Zitto ameanza kampeni kabla ya wakati? Sheria zinasemaje hapa?