mkalamo
JF-Expert Member
- Sep 7, 2013
- 324
- 347
Ijumaa hii bunge litahitimisha kikao chake na moja ya jambo litakalofanyika ni kutoa hukumu kwa mbunge wa Kigoma mjini Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo
Ni wazi kwa mazingira yalivyo Zitto atasimamishwa kuhudhuria kikao kijacho cha Januari,lakini pia kuna uwezekano wa kushtakiwa nje ya bunge kwa kule kuweka utetezi wake hadharani
Tayari magazeti kadhaa yaliyoandika utetezi wa Zitto Katika kamati ya Bunge yameshaitwa mjini Dodoma kwa ajili ya kuhojiwa ikiwa ni maandalizi ya kumfungulia mashtaka mengine Zitto ambaye amekuwa mkosoaji mkubwa wa serikali ya awamu ya tano huku akilituhumu bunge kushindwa kusimamia wajibu wake
Tusubiri na kuona kitakchojiri baada ya Ijumaa
Ni wazi kwa mazingira yalivyo Zitto atasimamishwa kuhudhuria kikao kijacho cha Januari,lakini pia kuna uwezekano wa kushtakiwa nje ya bunge kwa kule kuweka utetezi wake hadharani
Tayari magazeti kadhaa yaliyoandika utetezi wa Zitto Katika kamati ya Bunge yameshaitwa mjini Dodoma kwa ajili ya kuhojiwa ikiwa ni maandalizi ya kumfungulia mashtaka mengine Zitto ambaye amekuwa mkosoaji mkubwa wa serikali ya awamu ya tano huku akilituhumu bunge kushindwa kusimamia wajibu wake
Tusubiri na kuona kitakchojiri baada ya Ijumaa