mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,335
"Polisi wanajibu hoja, kesho tunatarajia mahakama itatoa Amri ya kuachiwa Nasoro Mazurui. Sisi viongozi wa ACT- Wazalendo hatutalala hadi tuhakikishe viongozi wote waliokamatwa kwa hila wameachiliwa" Zitto Kabwe
Amenukuliwa Zitto kabwe kiongozi mkuu wa ACT-Wazalendo kupitia ukurasa rasmi wa Facebook wa ACT-Wazalendo.
Free Mazurui #freeall political prisoners
#kazi na bata
Update 1830 EAT
Nasoro Mazurui ameachiwa huru
Amenukuliwa Zitto kabwe kiongozi mkuu wa ACT-Wazalendo kupitia ukurasa rasmi wa Facebook wa ACT-Wazalendo.
Free Mazurui #freeall political prisoners
#kazi na bata
Update 1830 EAT
Nasoro Mazurui ameachiwa huru