kitoromondo
Member
- Mar 26, 2017
- 64
- 75
Ni muda mrefu sasa, tangia kamati ya bunge na maadili, kumtaka Zitto Kabwe ahojiwe, ndugu Zitto alitimiza wajibu wake kwa kamati ya Bunge, kwa kuwasilisha utetezi wake, tuhuma zilijibiwa kwa hoja zenye nguvu na mashiko na mifano halisi.
Ukimya huu wa kamati ni dhahiri hoja za ndugu Zitto zilikua na ukweli kuwa bunge limeshindwa kuisimamia na spika amepwaya. Mimi ni mpiga kura nakuomba Zitto uliamshe tena hii kamati ikuite tena kwa hoja zilezile na tuhuma zilezile kwani hawajataka kubadilika, paza sauti Zitto ipo siku watakuelewa.
Ukimya huu wa kamati ni dhahiri hoja za ndugu Zitto zilikua na ukweli kuwa bunge limeshindwa kuisimamia na spika amepwaya. Mimi ni mpiga kura nakuomba Zitto uliamshe tena hii kamati ikuite tena kwa hoja zilezile na tuhuma zilezile kwani hawajataka kubadilika, paza sauti Zitto ipo siku watakuelewa.