Zitto kabwe karibu mbeya tunahamu kusikia toka kwako si propaganda za hawa jamaa

aje aone moto utavyomuwakia, mbeya tunajitambua, hatupapatiki na wanasiasa wanaoenda kula viapo kwa waganga, alisema ana majina ya watu wenye mabilioni uswisi, werema kambana akakiri tena kwa kiapo hana hayo majina, CHEAP POPURALITY HAS GOT A PRICE
 
Kule kigoma weng sio watanzania ni wahamiaja yaan warund

mkapa kpnd akiwa Rais alipoenda waliandamana et wametengwa????

Nyerere alpokuwa Rais et walikuwa wanadai wajitenge wao sio watanzania

baada ya miaka50 zito kahongwwa mi hela na ccm,kapewa na zawad ya lami

waha sasa,wanajiona wao n kila kitu.

Najiuliza tuuu,hata ndan ya ccm kwenyewe kuna muha alyeaminiwa akapewa uongoz wa kitaifa kwenye chama????????????

Nadhan chadema walikosea sana

Nadhani wewe huna Data sahihi,mbona Waha ni wengi sana katika Nafasi Nyingi tu,Sifa kubwa ya waha ni kuwa sio bora liende,sio wanafiki,wanapenda kutoa maoni yao nahawapendi sera za kumfurahisha mtu

Wengine ni wazee wa kujirahisisha kwa mabwana zao akina Mbowe

Hebu angalia wamegeuza CDM kuwa Chama cha wazinzi MBOWE kapora mke wa mtu JOYCE MUKYA mme wake anafanya kazi NGOs moja sipendi kuitaja

Dr Slaa yeye ndo mporaji namba moja mpaka amezaa na mke wa mtu na kamng'ang'ania kama ruba

Siri kubwa ya kuchagua Viti Maalum CDM bila kufuata kura za wajumbe nakuja na majina yao baada ya uchaguzi kufutwa ni baada ya kuangushwa vidosho wao a.k.a viburudisho

Kisu cha mwisho ni kuwa hata yule binti aliyefukuzwa CDM ni baada ya kukataa kutumika na akina..............
 
we acha uongo we na zitto alitangulia nani tatizo hujui kuwa mbowe na slaa wote wana kadi za ccm na wamekili hadharani hivi wewe ukiamua kuokoka unabaki na hilizi et ni mali yangu utakuwa shetani katikati ya watu wa MUNGU

hapo ndiyo umeandika madudu gani sasa ?
 
aje aone moto utavyomuwakia, mbeya tunajitambua, hatupapatiki na wanasiasa wanaoenda kula viapo kwa waganga, alisema ana majina ya watu wenye mabilioni uswisi, werema kambana akakiri tena kwa kiapo hana hayo majina, CHEAP POPURALITY HAS GOT A PRICE

Huna lolote,KIYEYEU wa Wenda/Tanangozi Iringa
 
Mbeya ya mwandiga labda

Kumyitu tukulonda umundu ugwanaloli, atile abhamenye abha bhafisile ikyuma nfindoli loli jomma ukubhalata. Linga ali jo Dr. Slaa nangali abhalatile lijolo. Zito ntungulu. Mbeya ajileke angisa nkutungulupa.
 
Sisi kama wananchi wa mbeya tunaojitambua tunaomba mh.zitto utembee nchi nzima kueleza ukweli kuhusu tuhuma juu yako tupo tayari kusikia toka kwako mwenyewe usidanganywe na matamko ya watu ni yao wao sisi wanachama hatujaulizwa maoni yetu juu ya sakata lako ila tunajiuliza kwanini lije leo wakati wewe uko kusaka fedha walizoficha uswisi na ulaya kwa ujumla na ile propaganda ya wewe na fedha za ccm walishindwa kunasa meseji hata moja ya m.pesa au copy ya risti benki ninavyomjua @#$%^%^ wa chadema hasa kuhusu epa alikuwa analeta hadi barua za siri mbona kwa hili hakuna tuachane na hilo labda bado ziko stationary zinafanyiwa editing.ila karibu mbeya wafanya biashara wa hapa mjini tuko tayari kukuandalia mkutano mkubwa kabisa kama uko tayari basi nitumie kameseji au mwenye mawasiliano na mh.zitto jameni tupeni iwe email aunamba ya simu wadau nipeni basi hapa chini kwa herini karibuni hapa chini wa buku saba,wahadhidina na waleberal wote ila leteni hoja soi matusi matusi ni dalili ya kuishiwa sera af samahani keybodi ya haina nukta

Aje hadi na Kwako na Kabang usimnyime
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom