Kule kigoma weng sio watanzania ni wahamiaja yaan warund
mkapa kpnd akiwa Rais alipoenda waliandamana et wametengwa????
Nyerere alpokuwa Rais et walikuwa wanadai wajitenge wao sio watanzania
baada ya miaka50 zito kahongwwa mi hela na ccm,kapewa na zawad ya lami
waha sasa,wanajiona wao n kila kitu.
Najiuliza tuuu,hata ndan ya ccm kwenyewe kuna muha alyeaminiwa akapewa uongoz wa kitaifa kwenye chama????????????
Nadhan chadema walikosea sana[/QUOTE
Victor
Hapo unadhihirisha sera za kikanda na kikabila
Mbeya ipi unayoisema ? Hakuna mtu hapo MBEYA atakayevumilia cdm kutukanwa tena na mtu aliyeokotwa barabarani na kujengwa na chama , wala hatathubutu kutia mguu .
Dr.Saa alivyoenda? Nyie watu wa kaskazini wabaguzi sana leo mnawakana watu Kigoma.Kule kigoma weng sio watanzania ni wahamiaja yaan warund
mkapa kpnd akiwa Rais alipoenda waliandamana et wametengwa????
Nyerere alpokuwa Rais et walikuwa wanadai wajitenge wao sio watanzania
baada ya miaka50 zito kahongwwa mi hela na ccm,kapewa na zawad ya lami
waha sasa,wanajiona wao n kila kitu.
Najiuliza tuuu,hata ndan ya ccm kwenyewe kuna muha alyeaminiwa akapewa uongoz wa kitaifa kwenye chama????????????
Nadhan chadema walikosea sana
we acha uongo we na zitto alitangulia nani tatizo hujui kuwa mbowe na slaa wote wana kadi za ccm na wamekili hadharani hivi wewe ukiamua kuokoka unabaki na hilizi et ni mali yangu utakuwa shetani katikati ya watu wa MUNGU
Hizi akili uharo zilizojaa ukabila wa kijiweni!!
Sisi kama wananchi wa mbeya tunaojitambua tunaomba mh.zitto utembee nchi nzima kueleza ukweli kuhusu tuhuma juu yako tupo tayari kusikia toka kwako mwenyewe usidanganywe na matamko ya watu ni yao wao sisi wanachama hatujaulizwa maoni yetu juu ya sakata lako ila tunajiuliza kwanini lije leo wakati wewe uko kusaka fedha walizoficha uswisi na ulaya kwa ujumla na ile propaganda ya wewe na fedha za ccm walishindwa kunasa meseji hata moja ya m.pesa au copy ya risti benki ninavyomjua @#$%^%^ wa chadema hasa kuhusu epa alikuwa analeta hadi barua za siri mbona kwa hili hakuna tuachane na hilo labda bado ziko stationary zinafanyiwa editing.ila karibu mbeya wafanya biashara wa hapa mjini tuko tayari kukuandalia mkutano mkubwa kabisa kama uko tayari basi nitumie kameseji au mwenye mawasiliano na mh.zitto jameni tupeni iwe email aunamba ya simu wadau nipeni basi hapa chini kwa herini karibuni hapa chini wa buku saba,wahadhidina na waleberal wote ila leteni hoja soi matusi matusi ni dalili ya kuishiwa sera af samahani keybodi ya haina nukta
Kule kigoma weng sio watanzania ni wahamiaja yaan warund
mkapa kpnd akiwa Rais alipoenda waliandamana et wametengwa????
Nyerere alpokuwa Rais et walikuwa wanadai wajitenge wao sio watanzania
baada ya miaka50 zito kahongwwa mi hela na ccm,kapewa na zawad ya lami
waha sasa,wanajiona wao n kila kitu.
Najiuliza tuuu,hata ndan ya ccm kwenyewe kuna muha alyeaminiwa akapewa uongoz wa kitaifa kwenye chama????????????
Nadhan chadema walikosea sana
Mbeya siyo rahisi aisee Mbeya ni watu wengne kabisa labda kama umetumwa ila wana mbeya hawadanganyiki.
Siyo mbeya tu hata sisi watu wa mtwara tunakuomba sana mheshimiwa ufike huku, useme nasi ili tupate nafuu.
WanaCHADEMA wa kweli wanaofuata misingi na maamuzi ya chama chao hawataendelea kujadili hii thread