Lobapula
JF-Expert Member
- Jun 19, 2011
- 2,388
- 1,582
Zitto Kabwe Akiwa Dsm anasema uchumi umeshuka, hali ya biashara ni mbaya,Mzunguko mdogo wa fedha katika uchumi
Lakini katika Manispaa anayoongoza ambayo Madiwani wa chama chake ndio wengi wameongeza kodi za Pango kwa zaidi ya 200%
Sijajua zitto kasomea uchumi wa namna gani
Hivi ikiwa ni kweli hali ya uchumi ni mbaya na hali ya biashara ni mbaya sana kama anavyotangaza yeye sasa unapaswa kushusha au kupandisha kodi?
Kuongeza kodi ni kumuongezea mfanyabiashara mzigo wa gharama na kupunguza faida yake
The best way of profit maximization is to minimize cost
Lakini katika Manispaa anayoongoza ambayo Madiwani wa chama chake ndio wengi wameongeza kodi za Pango kwa zaidi ya 200%
Sijajua zitto kasomea uchumi wa namna gani
Hivi ikiwa ni kweli hali ya uchumi ni mbaya na hali ya biashara ni mbaya sana kama anavyotangaza yeye sasa unapaswa kushusha au kupandisha kodi?
Kuongeza kodi ni kumuongezea mfanyabiashara mzigo wa gharama na kupunguza faida yake
The best way of profit maximization is to minimize cost