Zitto Kabwe: Hayati Magufuli alikuwa ananichukia

Zitto ni mwizi wa kisasa, nakumbuka enzi za akina Slaa Zitto alisumbua sana CHADEMA, mpaka akina Slaa wakawa wanamkaimisha ofisi Myika, Mpaka akina Kikwete wakamsaidia kumfungulia chama ili kuigawanya chadema. Bahati nzuri Magufuli alivyoingia tu madarakani alikuwa anajua mamluki wote, hivyo mamluki wote aliwasagia kunguni na ndio chanzo cha Zitto kuanza chuki na Magufuli. Zitto ni tapeli wa siasa tu, yeye kuuza mechi ili mkono uende kinywani haoni hasara
Tunamweshimu Mbowe, ndo maana tunashindwa kusema ukweli...

Aliyeigawanya CHADEMA ni Mbowe na wala sio Zitto!!!

Zitto hata alipoondoka CHADEMA na kuunda chama chao na akina Mkumbo, wala hapakuwa na impact yoyote ya maana!! CHADEMA ilibaki kuwa ile ile!!

Mgawanyiko CHADEMA ulikuja baada ya kuja Lowassa... tuache unafiki!!

Kuja kwa Lowassa kukamfanya Dr. Slaa achafukwe!

Dr. Slaa alikuwa na wafuasi wengi sana CHADEMA, na alikuwa na ushawishi mkubwa maradufu... ni mjinga tu ndie atapinga hili!!!

Tukiacha unafiki, a moment Lowassa alipotangazwa kugombea urais, CHADEMA ikawa sio moja tena! Wengine waliingia kwenye uchaguzi mkuu 2015 huku wakiwa na vinyongo!!

Vinyongo vilikuwa vya namna mbili... mosi, ilibidi tu wakubaliane na ujaji wa Lowassa hivyo hivyo shingo upande, na pili, wengine walikuwa na kinyongo kwa sababu ya Dr. Slaa!!

Magufuli nae akaja kuendeleza tu kupiga kwenye kidonda kilichokuwa kimeachwa na ujio wa Lowassa ambapo akaanza kununua mpinzani mmoja baada ya mwingine ! Watu wakawa more demoralized hasa baada ya kuona hata huyo Lowassa mwenyewe akakaa mbali na chama mara baaada ya kupita uchaguzi mkuu!!

Huo ndo ukweli mchungu ambao watu mnakwepa kuuongea! Sio kwa sababu hamjui, bali ndo yale yale ya wana-CCM!! Hakuna kuwasema wakubwa!!
 
Zitto mwenyewe alisha wahi kumzushia huyo Ben Saanane wenu kuwa alitaka kumlisha sumu.Naona Wewe ni mgeni sana ktk mambo ya siasa

Sio mbali juzi tu Samia kaisha kili kuwa hawezi kuvaa viatu vya Magufuri ni vikubwa sana,ila kuna kundi la vipofu ambao ata ukiwaonyesha kazi hawataki kuona,
Dogo wacha kujichosha maana hivi sasa tupo kwenye awamu ya 6.

Hizo ndoto zako za kuabudu mambo ya awamu ya 5 zinakupotezea muda wako.
 
Hivi watu bado wanamsikiliza huyu dogo? Ukiwa mjinga na kumfuatilia Zitto basi umekwisha kiakili, huyu ni wa kuachana naye tu na ndiyo maana Salama alikuwa anacheka kama hataki vile. Kwa lugha nyepesi ni kwamba alimdharau tu dogo.
Tatizo la zzk hanaga aibu kabisa
 
Tunamweshimu Mbowe, ndo maana tunashindwa kusema ukweli...

Aliyeigawanya CHADEMA ni Mbowe na wala sio Zitto!!!

Zitto hata alipoondoka CHADEMA na kuunda chama chao na akina Mkumbo, wala hapakuwa na impact yoyote ya maana!! CHADEMA ilibaki kuwa ile ile!!

Mgawanyiko CHADEMA ulikuja baada ya kuja Lowassa... tuache unafiki!!

Kuja kwa Lowassa kukamfanya Dr. Slaa achafukwe!

Dr. Slaa alikuwa na wafuasi wengi sana CHADEMA, na alikuwa na ushawishi mkubwa maradufu... ni mjinga tu ndie atapinga hili!!!

Tukiacha unafiki, a moment Lowassa alipotangazwa kugombea urais, CHADEMA ikawa sio moja tena! Wengine waliingia kwenye uchaguzi mkuu 2015 huku wakiwa na vinyongo!!

Vinyongo vilikuwa vya namna mbili... mosi, ilibidi tu wakubaliane na ujaji wa Lowassa hivyo hivyo shingo upande, na pili, wengine walikuwa na kinyongo kwa sababu ya Dr. Slaa!!

Magufuli nae akaja kuendeleza tu kupiga kwenye kidonda kilichokuwa kimeachwa na ujio wa Lowassa ambapo akaanza kununua mpinzani mmoja baada ya mwingine ! Watu wakawa more demoralized hasa baada ya kuona hata huyo Lowassa mwenyewe akakaa mbali na chama mara baaada ya kupita uchaguzi mkuu!!

Huo ndo ukweli mchungu ambao watu mnakwepa kuuongea! Sio kwa sababu hamjui, bali ndo yale yale ya wana-CCM!! Hakuna kuwasema wakubwa!!
Wewe ndio unaandika kiushabiki, Zitto ndio mwanzilishi wa migogoro pale chadema Kabla ya ujio wa lowassa,sema alizidiwa nguvu kwasababu kipindi kile chadema ilikuwa na nguvu,alianzisha Movement ya kugombea kuwa mwenyekiti wa Chadema akisaidiwa na Serikali ya Kikwete, chadema wakawa wanadukua mawasiliano yao na kundi lake,wakanzisha kundi yeye na akina Mwigamba na Kitila Mkumbo la MM1 kwa ajili ya kutukana viongozi wa chama, mpaka chadema wakaamua kumtimua, kwasababu akina Slaa walikuwa wamewachomeka akina Been Sanene wakawa wanaleta tarifa na miamala ilyokuwa ikitoka kwa Zitto kulipa kikosi chake,hata ukifukunyua humu unaweza pata uhalisia wenyewe.Zitto ni nyoka aaminiki.
 
Wewe ndio unaandika kiushabiki, Zitto ndio mwanzilishi wa migogoro pale chadema Kabla ya ujio wa lowassa,sema alizidiwa nguvu kwasababu kipindi kile chadema ilikuwa na nguvu,alianzisha Movement ya kugombea kuwa mwenyekiti wa Chadema akisaidiwa na Serikali ya Kikwete, chadema wakawa wanadukua mawasiliano yao na kundi lake,wakanzisha kundi yeye na akina Mwigamba na Kitila Mkumbo la MM1 kwa ajili ya kutukana viongozi wa chama, mpaka chadema wakaamua kumtimua, kwasababu akina Slaa walikuwa wamewachomeka akina Been Sanene wakawa wanaleta tarifa na miamala ilyokuwa ikitoka kwa Zitto kulipa kikosi chake,hata ukifukunyua humu unaweza pata uhalisia wenyewe.Zitto ni nyoka aaminiki.
Narudia, hakuna any negative impact ambayo ilisababishwa na Zitto! Yote hayo unayasema kwa sababu ile ile niliyoisema mwanzo kwamba hatutakiwi kumkosoa Mwenyekiti na ndo maana.kutaka kugombea uenyekiti unaona ni kuanzisha mgogoro!!!

Na wote ambao walijaribu kutaka kugombea uenyekiti... stori ni ile ile! Msaliti! Anatumwa! Analeta migawanyiko! Mambo ya aibu sana haya!!

Ukweli utabaki pale pale kwamba, harakati za Zitto hazikuleta athari yoyote CHADEMA! Ona hata hao unaowataja! Kitila Mkumbo alikuwa na nguvu ipi pale CHADEMA? Huyo Samson Mwigamba alikuwa ana nguvu ipi pale CHADEMA?!

Ajabu ni kwamba, waliowaaminisha hayo mambo, hivi sasa wengine wanakula pesa za serikali ile ile... huyu ni pamoja na Dr. Slaa! Wengine hivi sasa ni wabunge wa CCM au wanaohudumu ubunge kwa back-up ya CCM!!!
 
Nimejiuliza hivi Salama na Zitto wote walijiamini nini? Kipindi cha leo Salama katoa airtime ya kutosha kwa Zitto kumsema Shujaa

Zitto anasema kama kuna Rais aliongoza kwa kujenga barabara basi ni Kikwete na sio Magufuli, hivyo watu waache kupotosha

Anasema Nyerere anakumbukwa kwa falsafa alizoziacha na sio miradi aliyojenga. Yaani leo Zitto kachafukwa mno
Weka takwimu kabisa ili ueleweke
 
Huwa nakuheshimu Sana, Technically, imagine this hypothetical scenario, angelikuwa amemuua mama, baba na mtu Yeyote aliyempendwa wako ungelisema tusimseme màrehemu, for that matter Magufuli?
Ni upumbavu ulippitiliza kimsema marehemu
 
Nimejiuliza hivi Salama na Zitto wote walijiamini nini? Kipindi cha leo Salama katoa airtime ya kutosha kwa Zitto kumsema Shujaa

Zitto anasema kama kuna Rais aliongoza kwa kujenga barabara basi ni Kikwete na sio Magufuli, hivyo watu waache kupotosha

Anasema Nyerere anakumbukwa kwa falsafa alizoziacha na sio miradi aliyojenga. Yaani leo Zitto kachafukwa mno
Zitto ni kijana wa JK pamoja na akina J Makamba. Ni mpinzani wa kutengenezwa na hutumiwa kwa manufaa ya upande flani.

JamiiForums mobile app
 
Ujinga mtupu kusema mtu anakuchukia kwa sababu unamkosoa bila shaka ni kupinga maendeleo hatukatai kukosoa ila tunachukia watu wanaopinga maendeleo si enzi za jpm tu hata sasa tumechoshwa na siasa tunataka maendeleo tena yenye tija kwa taifa letu baadae sio upuuzi wa kutetea covid-19 ipo uhuni wa chanjo ndo tukupende ah wapi??
 
Hata kama kweli ndege ni mpya , the fact ni kuwa zoezi zima la ununuzi wa ndege liliendeshwa kwa usiri wa mtu mmoja , Watu wana uwezo wa kusema chichote kuhusu ndege hizo maana hakukuwa na uwazi .
Sasa amesha kufa tuambieni hela alizoiba Magufuli ziko wapi?
 
Kiongozi wa ACT ndugu Zitto Kabwe akiwa katika kipindi cha Salama Na kinachorushwa Dstv, amekiri kuwa Hayati Magufuli alikuwa anamchukia sana.

Zitto ameongeza zaidi, Magufuli hakuwa na hekima, aliamini katika ubabe, hivyo nilianza kumpinga hapo ndipo chuki yake kwangu ilipoanza.

Zitto alifika mbali zaidi na kusema baada ya Lissu kupigwa risasi Dodoma mwaka 2017 ndipo alipoona kuwa Magufuli hana hekima hapendi kupingwa, hivyo Zitto akaongeza kumpinga hapo ndipo chuki ya Magufuli ilipozidi kwa Zitto.

Yaani hiki kipindi cha leo, Zitto kamsagia sana kunguni Mwendazake.


Samia anampenda
 
Mwenye kumuamini Zito ni mpuuzi, mtu alisha wahi kusema wanasiasa tusiwaamini bado utamuamini huyo zito wakati ni mwanasiasa!
 
Back
Top Bottom