Zitto Kabwe: Hayati Magufuli alikuwa ananichukia

Kiongozi wa ACT ndugu Zitto Kabwe akiwa katika kipindi cha Salama Na kinachorushwa Dstv, amekiri kuwa Hayati Magufuli alikuwa anamchukia sana.

Zitto ameongeza zaidi, Magufuli hakuwa na hekima, aliamini katika ubabe, hivyo nilianza kumpinga hapo ndipo chuki yake kwangu ilipoanza.

Zitto alifika mbali zaidi na kusema baada ya Lissu kupigwa risasi Dodoma mwaka 2017 ndipo alipoona kuwa Magufuli hana hekima hapendi kupingwa, hivyo Zitto akaongeza kumpinga hapo ndipo chuki ya Magufuli ilipozidi kwa Zitto.

Yaani hiki kipindi cha leo, Zitto kamsagia sana kunguni Mwendazake.


Yaani kajichimbia kaburi la kisiasa, hakuna mamlaka itakayokuja kumuamini kumpa nchi. Yule hakuwa Dkt Magufuli bali ni taasisi ndiyo iliyofanya hivyo na bado ipo inazidi kupata ushahidi wa waliohusika kuhujumu nchi
 
Kuna wakati tunajadili vitu au watu wasioweza kutusaidia. Sasa hapo mjadala juu ya Magufuli unalisaidiaje Taifa? Je, huyu ambaye hamchukii ameshamsaidia nini?
Ukitaka kujua unakokwenda lazima ujue ulikotoka! Ni kanuni ya maisha na ndiyo sababu ya kuwa na somo la historia!
 
Munaumia sana kusikia neno raisi katoa, Swala la kipumabavu na hoja isiyo na msingi na manufaa ila ni nyege tu za wajenga hoja. Hizo pesa ni kwamba angeweza kuzifanyia allocation sehemu nyingine na pia mara ngapi hazijatolewa na hata msijue, mlihoji?. Hizi tabia za kijenga hoja kwenye hamna ni upuuuzi tu, Jambo lakuzingatia ni kwamba zinafika sehemu husika pasipo kujalisha ni nani kazitoa. Tuache upumbavu wa kujaribu kujenga hoja kwenye hamna, kujaribu kusema na kulalamika kwenye kila kitu ni dalili za upumbavu.
Endelea kuwasomesha watoto ili waelewe. Hili jambo hata mimi nimeshaongea lakini sina uhakika kama nilieleweka. Nadhani kuna watu wanaposikia kuwa Rais ametoa fedha, wanaanza kupata mawazo kuwa ni zake na pengine zingine anazitumia kujenga mahoteli yake ya kitalii huko ufukweni Kigamboni
 
Anthony Diallo nae atakuwa Mdini sana maana kamsagia sana Magufuli na wakati wa Jakaya alikuwa kipenzi sana cha Jakaya na utawala wa Bi Mkubwa pia hajauponda
Zitto unasumbuliwa na udini tu.

Angejifunza kwa Shehe Ponda kusimamia ukweli

Kuliko kuwa mtu wa kuuma na kupuliza

Tunawaambia kila siku Achaneni na Mtu ambaye hawezi kujitetea tena.

Lakini kutwa kucha Magufuli Magufuli, Zitto ndio maana hata Kigoma hana ushawishi kabisa.

Nini kimebadilika ndani ya utawala huu zaidi ya upuuzi mtupu.
 
Raisi anafanya allocation ya fedha kumbe...... Bunge la bajeti linafanya nini?
Ndiyo kazi linayofanya Bunge lakini ukumbuke kuwa hizi hela zinakuwa hazipo (not readily available cash) bali huwa zinatafutwa kwa vipindi tofauti tofauti ndani ya mwaka wa fedha, na pindi zinapokuwa zimepatikana, ndiyo zinaanza kuwa re-allocated kwenye miradi ya maendeleo na kuanza kutumika. Zinapopatikanandiyo asa inabidi ziende kwenye miradi 1. 2, 3, n.k. lakini bado hata zikienda zinakuwa hazitoshi, zinakuwa bado zinaendelea kuhitajika tena kwa mara nyingine. Inapofikia hapa, anayeamua sasa kugawanya kidogo ili kiende kwenye miradi 1, 2, 3, n.k siyo Bunge tena bali Ni Rais!
 
Anthony Diallo nae atakuwa Mdini sana maana kamsagia sana Magufuli na wakati wa Jakaya alikuwa kipenzi sana cha Jakaya na utawala wa Bi Mkubwa pia hajauponda
Dialo Ni fisadi na mchumia tumbo lazima mtu mwizi atatulia tu akiona Nchi inakuwa shamba la Bibi.

Zitto ni mdini naongea nikiwa nimekaa na Zitto kwa ukaribu Sana sana
 
Sio muda wote ni lazima ujue unakotoka ndio ujue unakoelekea! Kwa mfano, unatokea Gizani hiyo itakusaidiaje kujua uelekee wapi?
 
Zitto unasumbuliwa na udini tu.

Angejifunza kwa Shehe Ponda kusimamia ukweli

Kuliko kuwa mtu wa kuuma na kupuliza

Tunawaambia kila siku Achaneni na Mtu ambaye hawezi kujitetea tena.

Lakini kutwa kucha Magufuli Magufuli, Zitto ndio maana hata Kigoma hana ushawishi kabisa.

Nini kimebadilika ndani ya utawala huu zaidi ya upuuzi mtupu.
Wewe kweli unatatizo , Zitto ana Udini Gani, huyu uislamu wenyewe haujui, hata swala kajifundisha ukubwani.

Huyu na dini ni mbali mbali sana, kwa hili umemuonea
 
Zitto unasumbuliwa na udini tu.

Angejifunza kwa Shehe Ponda kusimamia ukweli

Kuliko kuwa mtu wa kuuma na kupuliza

Tunawaambia kila siku Achaneni na Mtu ambaye hawezi kujitetea tena.

Lakini kutwa kucha Magufuli Magufuli, Zitto ndio maana hata Kigoma hana ushawishi kabisa.

Nini kimebadilika ndani ya utawala huu zaidi ya upuuzi mtupu.
Wewe nae unazingua. Maovu,roho mbaya na mabaya ya Dikteta Kayafa Mwendakuzimu lazima yasemwe hata kama sasa hivi kashaoza ili iwe funzo kwasasa na vizazi vijavyo. Tena kama inawezekana maiti yake itolewe iwekwe hadharani ipigwe mijeledi na kusomewa mabaya yake. Mimi binafsi na wengine wengi tuu hapa tulimpinga Dikteta Uchwara Kayafa tangu akiwa hai bila kujali imani zetu za kidini kufanana nae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe nae unazingua. Maovu,roho mbaya na mabaya ya Dikteta Kayafa Mwendakuzimu lazima yasemwe hata kama sasa hivi kashaoza ili iwe funzo kwasasa na vizazi vijavyo. Tena kama inawezekana maiti yake itolewe iwekwe hadharani ipigwe mijeledi na kusomewa mabaya yake. Mimi binafsi na wengine wengi tuu hapa tulimpinga Dikteta Uchwara Kayafa tangu akiwa hai bila kujali imani zetu za kidini kufanana nae.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati ule anazungushwa mikoa kadhaa na kitorori ilibidi zoezi lile liende sambamba na kumchalaza mijeledi.

Kuna watu huww nashindwa kuwaelewa wanampotetea shetani.

Mkatae shetani na kazi zake zote.
 
Wakati ule anazungushwa mikoa kadhaa na kitorori ilibidi zoezi lile liende sambamba na kumchalaza mijeledi.

Kuna watu huww nashindwa kuwaelewa wanampotetea shetani.

Mkatae shetani na kazi zake zote.
Safi sana,Shetani anatakiwa kupingwa kila wakati haijalishi yupo katika status gani,Kayafa kaburi lake lifukuliwe acharazwe mijeledi ya Mkia wa Taa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zitto unasumbuliwa na udini tu.

Angejifunza kwa Shehe Ponda kusimamia ukweli

Kuliko kuwa mtu wa kuuma na kupuliza

Tunawaambia kila siku Achaneni na Mtu ambaye hawezi kujitetea tena.

Lakini kutwa kucha Magufuli Magufuli, Zitto ndio maana hata Kigoma hana ushawishi kabisa.

Nini kimebadilika ndani ya utawala huu zaidi ya upuuzi mtupu.
Mpuuzi wewe na wa kwenu wote. Nyoookkkkoooo
 
Back
Top Bottom