Wild man from the Hills
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,002
- 5,824
Nilifikili kiongozi kumbe taperi lasiyasa haya mengine yanatakiwa yafilie mbali tz hatuhitaji watu kama zitto
Tz hatuitaji watu kama jiwe
Nilifikili kiongozi kumbe taperi lasiyasa haya mengine yanatakiwa yafilie mbali tz hatuhitaji watu kama zitto
Endelea kumuamini huyu mchumia tumbo ila one day time will tellMbona Lisu aliongea Magufuli akiwa hai na mkampiga risasi.Ben saanane kaongea mkamuuwa? Acheni unafiki wenu. MAGUFULI ALIKUWA MUUWAJI HILO LIKO WAZI.
Kiongozi wa ACT ndugu Zitto Kabwe akiwa katika kipindi cha Salama Na kinachorushwa Dstv, amekiri kuwa Hayati Magufuli alikuwa anamchukia sana.
Zitto ameongeza zaidi, Magufuli hakuwa na hekima, aliamini katika ubabe, hivyo nilianza kumpinga hapo ndipo chuki yake kwangu ilipoanza.
Zitto alifika mbali zaidi na kusema baada ya Lissu kupigwa risasi Dodoma mwaka 2017 ndipo alipoona kuwa Magufuli hana hekima hapendi kupingwa, hivyo Zitto akaongeza kumpinga hapo ndipo chuki ya Magufuli ilipozidi kwa Zitto.
Yaani hiki kipindi cha leo, Zitto kamsagia sana kunguni Mwendazake.
Ukitaka kujua unakokwenda lazima ujue ulikotoka! Ni kanuni ya maisha na ndiyo sababu ya kuwa na somo la historia!Kuna wakati tunajadili vitu au watu wasioweza kutusaidia. Sasa hapo mjadala juu ya Magufuli unalisaidiaje Taifa? Je, huyu ambaye hamchukii ameshamsaidia nini?
Endelea kuwasomesha watoto ili waelewe. Hili jambo hata mimi nimeshaongea lakini sina uhakika kama nilieleweka. Nadhani kuna watu wanaposikia kuwa Rais ametoa fedha, wanaanza kupata mawazo kuwa ni zake na pengine zingine anazitumia kujenga mahoteli yake ya kitalii huko ufukweni KigamboniMunaumia sana kusikia neno raisi katoa, Swala la kipumabavu na hoja isiyo na msingi na manufaa ila ni nyege tu za wajenga hoja. Hizo pesa ni kwamba angeweza kuzifanyia allocation sehemu nyingine na pia mara ngapi hazijatolewa na hata msijue, mlihoji?. Hizi tabia za kijenga hoja kwenye hamna ni upuuuzi tu, Jambo lakuzingatia ni kwamba zinafika sehemu husika pasipo kujalisha ni nani kazitoa. Tuache upumbavu wa kujaribu kujenga hoja kwenye hamna, kujaribu kusema na kulalamika kwenye kila kitu ni dalili za upumbavu.
Zitto unasumbuliwa na udini tu.
Angejifunza kwa Shehe Ponda kusimamia ukweli
Kuliko kuwa mtu wa kuuma na kupuliza
Tunawaambia kila siku Achaneni na Mtu ambaye hawezi kujitetea tena.
Lakini kutwa kucha Magufuli Magufuli, Zitto ndio maana hata Kigoma hana ushawishi kabisa.
Nini kimebadilika ndani ya utawala huu zaidi ya upuuzi mtupu.
Ndiyo kazi linayofanya Bunge lakini ukumbuke kuwa hizi hela zinakuwa hazipo (not readily available cash) bali huwa zinatafutwa kwa vipindi tofauti tofauti ndani ya mwaka wa fedha, na pindi zinapokuwa zimepatikana, ndiyo zinaanza kuwa re-allocated kwenye miradi ya maendeleo na kuanza kutumika. Zinapopatikanandiyo asa inabidi ziende kwenye miradi 1. 2, 3, n.k. lakini bado hata zikienda zinakuwa hazitoshi, zinakuwa bado zinaendelea kuhitajika tena kwa mara nyingine. Inapofikia hapa, anayeamua sasa kugawanya kidogo ili kiende kwenye miradi 1, 2, 3, n.k siyo Bunge tena bali Ni Rais!Raisi anafanya allocation ya fedha kumbe...... Bunge la bajeti linafanya nini?
Huku kondoo jike wachache hawakumuelewa.nchi nzima ikamwona hamnazo,isipokuwa mbuzi wachache tu.
Dialo Ni fisadi na mchumia tumbo lazima mtu mwizi atatulia tu akiona Nchi inakuwa shamba la Bibi.Anthony Diallo nae atakuwa Mdini sana maana kamsagia sana Magufuli na wakati wa Jakaya alikuwa kipenzi sana cha Jakaya na utawala wa Bi Mkubwa pia hajauponda
Legeza hicho kichwa si kila pesa inafanyiwa allocation na Bunge, Kwani hii ya UVIKO mlikaa pia?.Raisi anafanya allocation ya fedha kumbe...... Bunge la bajeti linafanya nini?
Wewe kweli unatatizo , Zitto ana Udini Gani, huyu uislamu wenyewe haujui, hata swala kajifundisha ukubwani.Zitto unasumbuliwa na udini tu.
Angejifunza kwa Shehe Ponda kusimamia ukweli
Kuliko kuwa mtu wa kuuma na kupuliza
Tunawaambia kila siku Achaneni na Mtu ambaye hawezi kujitetea tena.
Lakini kutwa kucha Magufuli Magufuli, Zitto ndio maana hata Kigoma hana ushawishi kabisa.
Nini kimebadilika ndani ya utawala huu zaidi ya upuuzi mtupu.
Wewe nae unazingua. Maovu,roho mbaya na mabaya ya Dikteta Kayafa Mwendakuzimu lazima yasemwe hata kama sasa hivi kashaoza ili iwe funzo kwasasa na vizazi vijavyo. Tena kama inawezekana maiti yake itolewe iwekwe hadharani ipigwe mijeledi na kusomewa mabaya yake. Mimi binafsi na wengine wengi tuu hapa tulimpinga Dikteta Uchwara Kayafa tangu akiwa hai bila kujali imani zetu za kidini kufanana nae.Zitto unasumbuliwa na udini tu.
Angejifunza kwa Shehe Ponda kusimamia ukweli
Kuliko kuwa mtu wa kuuma na kupuliza
Tunawaambia kila siku Achaneni na Mtu ambaye hawezi kujitetea tena.
Lakini kutwa kucha Magufuli Magufuli, Zitto ndio maana hata Kigoma hana ushawishi kabisa.
Nini kimebadilika ndani ya utawala huu zaidi ya upuuzi mtupu.
Sasa Sufiani ana ukiboko gani wakati marinda yenyewe hana.Zitto Kabwe ni mchonganishi sana kiboko yake ni Sufiani na Mchange!
Wakati ule anazungushwa mikoa kadhaa na kitorori ilibidi zoezi lile liende sambamba na kumchalaza mijeledi.Wewe nae unazingua. Maovu,roho mbaya na mabaya ya Dikteta Kayafa Mwendakuzimu lazima yasemwe hata kama sasa hivi kashaoza ili iwe funzo kwasasa na vizazi vijavyo. Tena kama inawezekana maiti yake itolewe iwekwe hadharani ipigwe mijeledi na kusomewa mabaya yake. Mimi binafsi na wengine wengi tuu hapa tulimpinga Dikteta Uchwara Kayafa tangu akiwa hai bila kujali imani zetu za kidini kufanana nae.
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana,Shetani anatakiwa kupingwa kila wakati haijalishi yupo katika status gani,Kayafa kaburi lake lifukuliwe acharazwe mijeledi ya Mkia wa Taa.Wakati ule anazungushwa mikoa kadhaa na kitorori ilibidi zoezi lile liende sambamba na kumchalaza mijeledi.
Kuna watu huww nashindwa kuwaelewa wanampotetea shetani.
Mkatae shetani na kazi zake zote.
Heri unyamaze tuu, maana unaandika ugoroYaani kajichimbia kaburi la kisiasa, hakuna mamlaka itakayokuja kumuamini kumpa nchi. Yule hakuwa Dkt Magufuli bali ni taasisi ndiyo iliyofanya hivyo na bado ipo inazidi kupata ushahidi wa waliohusika kuhujumu nchi
Hahahaaaa..........!
Mpuuzi wewe na wa kwenu wote. NyoookkkkooooZitto unasumbuliwa na udini tu.
Angejifunza kwa Shehe Ponda kusimamia ukweli
Kuliko kuwa mtu wa kuuma na kupuliza
Tunawaambia kila siku Achaneni na Mtu ambaye hawezi kujitetea tena.
Lakini kutwa kucha Magufuli Magufuli, Zitto ndio maana hata Kigoma hana ushawishi kabisa.
Nini kimebadilika ndani ya utawala huu zaidi ya upuuzi mtupu.