Wild man from the Hills
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,002
- 5,819
Wewe taahira weka ya kwako maana unaamini katika CV! Mimi naishi bila kutegemea hizo taratasi zako zinaitwa CV!
Tunataka kuona kati yako na zitto ni nani takataka mkuu weka CV
Wewe taahira weka ya kwako maana unaamini katika CV! Mimi naishi bila kutegemea hizo taratasi zako zinaitwa CV!
Kiongozi wa ACT ndugu Zitto Kabwe akiwa katika kipindi cha Salama Na kinachorushwa Dstv, amekiri kuwa Hayati Magufuli alikuwa anamchukia sana.
Zitto ameongeza zaidi, Magufuli hakuwa na hekima, aliamini katika ubabe, hivyo nilianza kumpinga hapo ndipo chuki yake kwangu ilipoanza.
Zitto alifika mbali zaidi na kusema baada ya Lissu kupigwa risasi Dodoma mwaka 2017 ndipo alipoona kuwa Magufuli hana hekima hapendi kupingwa, hivyo Zitto akaongeza kumpinga hapo ndipo chuki ya Magufuli ilipozidi kwa Zitto.
Yaani hiki kipindi cha leo, Zitto kamsagia sana kunguni Mwendazake.
Hii tabia ya kusema raisi katoa fedha, raisi kajenga barabara, Raisi kanunua ndege, raisi katoa hela za madawa.......... Hivi hatuna system za kiserikali za kutoa fedha bila kumsisha presidents moja kwa moja
Zitto mwenyewe alisha wahi kumzushia huyo Ben Saanane wenu kuwa alitaka kumlisha sumu.Naona Wewe ni mgeni sana ktk mambo ya siasaMbona Lisu aliongea Magufuli akiwa hai na mkampiga risasi.Ben saanane kaongea mkamuuwa? Acheni unafiki wenu. MAGUFULI ALIKUWA MUUWAJI HILO LIKO WAZI.
"Schools of though need not necessarily balance"Zitto sijawahi kumuamini na kumsadiki, lakini mwendazake hakufaa kuwa kiongozi . Mbinafsi anayejipenda na chato yake. Mwenye visasi hata kwa wale aliogombea nao kawaida. Mkabila na asiyefuata katiba .
Ukishaona kiongozi anamuweka mtoto wa dada kuwa mlipaji mkuu , jitatafakari
Zitto mwenyewe alisha wahi kumzushia huyo Ben Saanane wenu kuwa alitaka kumlisha sumu.Naona Wewe ni mgeni sana ktk mambo ya siasaMbona Lisu aliongea Magufuli akiwa hai na mkampiga risasi.Ben saanane kaongea mkamuuwa? Acheni unafiki wenu. MAGUFULI ALIKUWA MUUWAJI HILO LIKO WAZI.
Sio mbali juzi tu Samia kaisha kili kuwa hawezi kuvaa viatu vya Magufuri ni vikubwa sana,ila kuna kundi la vipofu ambao ata ukiwaonyesha kazi hawataki kuona,Waongeee tu ila kuna siku watakaa na kukiri kua tangu tupate marais ukimtoa baba wa taifa ni Jembe Magufuli ..tinga tinga yule jamaa achana nae kabisa ameitengeneza tanzania kwa miaka sita ikapendeza kwa miladi kibao ww ulipo huko ni shahidi ila kwa kua binadam hatuna shukrani tumejaa hila na kuhesabu mabaya tu.Namuombea sana Mungu ampunguzie adhabu za kaburi
Genkuru, Muriba, Nyamwaga, Kemakorere, Keitawasi, Masurura, Kitagutiti, Bungurere, Mangucha, Kangariani wamekusikia mkuu.Mbona yeye hakushambuliwaga sasa
Hata wakati wa Dr. Slaa aliwazunguka akawa anasafiri na Kikwete alitaka Magufuli ampende ye Kama naniJamaa haaminiki huyu. Sio Zitto wa enzi zile za akina Dr. Slaa
Kiongozi wa ACT ndugu Zitto Kabwe akiwa katika kipindi cha Salama Na kinachorushwa Dstv, amekiri kuwa Hayati Magufuli alikuwa anamchukia sana.
Zitto ameongeza zaidi, Magufuli hakuwa na hekima, aliamini katika ubabe, hivyo nilianza kumpinga hapo ndipo chuki yake kwangu ilipoanza.
Zitto alifika mbali zaidi na kusema baada ya Lissu kupigwa risasi Dodoma mwaka 2017 ndipo alipoona kuwa Magufuli hana hekima hapendi kupingwa, hivyo Zitto akaongeza kumpinga hapo ndipo chuki ya Magufuli ilipozidi kwa Zitto.
Yaani hiki kipindi cha leo, Zitto kamsagia sana kunguni Mwendazake.
Tafuta top ten ya viongozi wa juu hapo chadema kabla haijasambaratika 2020 uone na kwa msingi huo hiyo chadema haifai hata kuongoza mtaa!Zitto sijawahi kumuamini na kumsadiki, lakini mwendazake hakufaa kuwa kiongozi . Mbinafsi anayejipenda na chato yake. Mwenye visasi hata kwa wale aliogombea nao kawaida. Mkabila na asiyefuata katiba .
Ukishaona kiongozi anamuweka mtoto wa dada kuwa mlipaji mkuu , jitatafakari
Mbona unaongea kirahisi sana mkuu? Hivi jiwe unamjua kweli? Jiwe alikuwa jiwe kweli kweli... Ukiingia anga zake umeisha.ndio uanamume huo, sasa mnataka urahisi urahisi tu....hata hela yenyewe tunaitafuta kwa mateso balaaa...Hakuna haki inayokuja kirahisi duniani au kwa kutegemea huruma ya huyo unayepambana naye....
Huyu mdini na mla rushwa fala sana...JPM was a real deal....huyu aonyeshe hata kitu kimoja alichoifanyia nchi zaidi ya umbea umbea tu...huyu na tumbili walewale...Hivi watu bado wanamsikiliza huyu dogo? Ukiwa mjinga na kumfuatilia Zitto basi umekwisha kiakili, huyu ni wa kuachana naye tu na ndiyo maana Salama alikuwa anacheka kama hataki vile. Kwa lugha nyepesi ni kwamba alimdharau tu dogo.
Empirically, Caricature is innately exaggerational, comedy and inciteful.Shujaa wa Africa 😆😆..Huyu ni shujaa au mgambo wa Africa? 👇
View attachment 1982604
View attachment 1982605
Huyu Zitto kwa jujuu ukimwangalia utafikiri anauchungu na nchi kumbe njaa tu.Nakumbuka JK wakati anamaliza alimkabidhi kwa Magu ili aendelee kula.
Kumbe falsafa za Magu hazikuwa za kuneemesha mtu mmoja mmoja.View attachment 1982431
"Schools of though need not necessarily balance"
"Perspectives are much stronger than reality"
Awinjoyi Ratego.
Hata kama haukuwa uwanja sawa lakini walikuwa walau wanatoa zaidi ya nusu ya usawa huo. Tueleze ni nani kati yao aliyeapa na akajaribu bila mafanikio kuua upinzani?NI
Ni Rais yupi kuanzia Nyerere mpaka Samia ambaye ameisha toa uwanja sawa kwa wapinzani Wake?
Kumbe hata Zitto anaamini kuwa anayejenga barabara huwa ni RAIS?Nimejiuliza hivi Salama na Zitto wote walijiamini nini? Kipindi cha leo Salama katoa airtime ya kutosha kwa Zitto kumsema Shujaa
Zitto anasema kama kuna Rais aliongoza kwa kujenga barabara basi ni Kikwete na sio Magufuli, hivyo watu waache kupotosha
Anasema Nyerere anakumbukwa kwa falsafa alizoziacha na sio miradi aliyojenga. Yaani leo Zitto kachafukwa mno
Zito ni shetani lenye ujazo wa kidini ndiomaana halikosoi kwa samia na liliishi kwa hisani za udini awamu ya nne. Uislamu utumwa na Ukristo Ukoloni.Zitto unasumbuliwa na udini tu.
Angejifunza kwa Shehe Ponda kusimamia ukweli
Kuliko kuwa mtu wa kuuma na kupuliza
Tunawaambia kila siku Achaneni na Mtu ambaye hawezi kujitetea tena.
Lakini kutwa kucha Magufuli Magufuli, Zitto ndio maana hata Kigoma hana ushawishi kabisa.