Zitto Kabwe, haya yote wewe hayakuhusu? Naona umeamua kunyamaza; hutaki kumshika mkono kipofu?

Hawezi kukubali kujipaka KINYESI swala la kulazimisha watu CHANJO ni kinyesi
 
Kwenye siasa Zitto anaendeshwa na mambo makuu mawili.

1. Pesa (Je, atafaidikaje kwa jambo fulani).

2. Position (Je, anaweza pata nafasi gani ya kumpatia kipato au deals )

3. Imani (aliyeko madarakani ni Dini gani?)

Hayo ndiyo humwendesha Zitto Kabwe. Kama Dini yako ni tofauti na yake lakini unampatia pesa hana shida. Atakuwa anakushtua shtua kidogo ili uone umuhimu wa kuendelea kumpa pesa.

Kama ni Dini moja na hujambana kwenye issues zake basi hawezi kukukosoa sababu wote mna imani moja. We ni wa kwetu. Si vizuri kukukosoa.

Kama anajua kuna nafasi unaweza mteua anakuwa makini asikukwaze..mpaka apate uhakika kabisa kuwa hatopata kitu hapo ndo anakuwa na uchungu sana.

1. Kuna suala la Mafuta kuongezwa kodi. Zitto amenyamaza. Anaona ni sawa tu yeye hajaguswa, yeye hajajua hatma yake.

2. Katiba mpya takwa la Watanzania kupitia tume ya Warioba. Zitto kimya. Halimhusu.

3. Kodi ya tozo ya miamala na kulipia line za simu. Zitto kimya sababu yeye alishatulizwa asionekane anamchafua Rais wa kwetu.

Tunamfahamu zitto ni mnafiki ,mjanja mjanja kisiasa kujipatika kipato. Hana mapenzi na Watanzania.
Zitto ni Mbunge wa wapi kwa sasa kwani
 
Zitto kwanza ndie mkuu wa wilaya ya Handeni. Maana mke wake ndio mkuu wa wilaya so by default yeye pia ni mkuu wa wilaya.

Jambo la pili, Zitto hataki kumkosoa muislamu mvaa ushungi(sijui kama nitaeleweka). Maana Zitto alionyesha kupendezwa zaidi na mwanamke wa kiislamu kua rais kuliko kitu kingine chochote.

Zitto kwa sasa hatasema lolote.
Mkuu wa wilaya Handeni ni nani?
 
Back
Top Bottom