Denis Alphonce
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 620
- 849
Of course serikali wamekosea kwenye tozo lakin swala la katiba ni nani aliepo nyumaAsiungane na Chadema. Aungane na watanzania.
Of course serikali wamekosea kwenye tozo lakin swala la katiba ni nani aliepo nyumaAsiungane na Chadema. Aungane na watanzania.
Zitto ni state agent hivyo maslahi yake yanayegemea uwepo wa serikali ya ccm madarakani.Kwenye siasa Zitto anaendeshwa na mambo makuu mawili.
1. Pesa ( Je atafaidikaje kwa jambo flani)
2. Position (je anaweza pata nafasi gani ya kumpatia kipato au deals)...
Kwani nilazima Yeye tu?!Hapana sio kosa nadhani atakuwa ka take a time kustudy tatizo Kwa kina na je unapochochea maamuz yatenguliwe effect yake ni nn katika udhaifu utaopatikana ataibuka na hoja ya msingi kukosoa
Labda critical thinker wa mwandigaUnamchafua ndugu yetu we all know Kwa kiasi gan zitto kabwe ni critical thinker ko ulitaka aungane na chadema wapate nguvu
Na baraghashia tuZitto ni Mrema tofauti yao ni umri tu.
Hata uraia wake ni shidaZitto ni Kibaraka.
Wazee wa CHADEMA mnapenda sana siasa za kulazimisha mambo...lini CHADEMA itaacha kuwa kikundi cha harakati na kuanza kuwa chama cha siasa?!!Zitto ni state agent hivyo maslahi yake yanayegemea uwepo wa serikali ya ccm madarakani.
Hakuna anaye hitaji upashukuna wake bali watu wanampa ukweli kuwa yeye ni ccmIla mnahitaji nguvu yake mpate nguvu ( Right from wrong) kukaa kimya kakosea ila mna sababu nje ya hili
Hawezi kunyamaza maana akili yake ndiyo imegota hapoAkili yako nimeijua.
Hivi katiba ni ya cdm?
Bora ungenyamaza
Pamoja na hayo yoote zito tanga seif afariki nae ni kama upepo umepuyanga kule mwanzo alitembelea sana nyota ya seifKwenye siasa Zitto anaendeshwa na mambo makuu mawili.
1. Pesa ( Je atafaidikaje kwa jambo flani)
2. Position (je anaweza pata nafasi gani ya kumpatia kipato au deals )
3. Imani ( aliyeko madarakani ni Dini gani?)
Hayo ndiyo humwendesha Zitto Kabwe. Kama Dini yako ni tofauti na yake lakini unampatia pesa hana shida. Atakuwa anakushtua shtua kidogo ili uone umuhimu wa kuendelea kumpa pesa.
Kama ni Dini moja na hujambana kwenye issues zake basi hawezi kukukosoa sababu wote mna imani moja. We ni wa kwetu. Si vizuri kukukosoa.
Kama anajua kuna nafasi unaweza mteua anakuwa makini asikukwaze..mpaka apate uhakika kabisa kuwa hatopata kitu hapo ndo anakuwa na uchungu sana.
1. Kuna suala la Mafuta kuongezwa kodi. Zitto amenyamaza. Anaona ni sawa tu yeye hajaguswa, yeye hajajua hatma yake...
Naomba umalizie bwasheeZitto ni Kibaraka.
Make wa zitto ni mtu wa ugaibuni Nini? Lakin kama ni mtanzania nadhani hakuna shida hapoZitto kwanza ndie mkuu wa wilaya ya Handeni. Maana mke wake ndio mkuu wa wilaya so by default yeye pia ni mkuu wa wilaya.
Jambo la pili, Zitto hataki kumkosoa muislamu mvaa ushungi(sijui kama nitaeleweka)...
ZZK ni mtwana wa CCMOf course serikali wamekosea kwenye tozo lakin swala la katiba ni nani aliepo nyuma
Wanaibua mambo ambayo yanaleta mgawanyiko swala la udini ukabila halipo Tanzania hiiWe jamaa unapenda sana mambo ya udini....mada zako za kidinidini tu....kukosoa dini za wenzako tu....we jamaa utakuwa na shida kimalezi na kiutambuzi.....
Uongo wa kitoto kabisa kusema kuwa MUME WA RAS ama DAS naye ni RAS ama DAS.....
Unataka kusema zitto sio mtanzaniaHata uraia wake ni shida
Kwao ni kwa kina KagereUnataka kusema zitto sio mtanzania
Dhambi ya kubagua watu huishia kuwatafuna nyie wenye ubaguz hayo ni mawazo ya J.K.Nyerere Mimi nimeungana nayo tuKwao ni kwa kina Kagere