TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,866
- 5,742
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu sasa anaandika nini? Yuko upande gani? tusiogope kushitakiwa, tufanyeje. Fukuza , shika mali yao, washitaki!
Tunachotaka ni utendaji uliotukuka vyama baadayeNatabiri zito ndiye waziri wa nishati na madini ajaye
Kamwe..!Natabiri zito ndiye waziri wa nishati na madini ajaye
Team Lissu ni vigumu sana kuwaelewa wazalendo kama ZittoHuyu sasa anaandika nini? Yuko upande gani? tusiogope kushitakiwa, tufanyeje. Fukuza , shika mali yao, washitaki!
Uzalendo gani? Wa hiyo tweet yake au!! Tuache kujikosha kwa maneno mepesi, eti leo tukubali kuwamilikisha rasilimali wananchi, halafu tuungane tuwe wamoja, alietutenganisha ni nani? Sielewi kumbe mwanzo rasilimali zilikuwa za nani? Vijana wa Lumumba mkiona mtu kaandika kama yuko upande wa mkulu ndio mnamuita mzalendo, kama uzalendo ndio huo basi hauna maana.Team Lissu ni vigumu sana kuwaelewa wazalendo kama Zitto
Mtachonga Sana lakini ukweli ni kwamba JPM anachoangalia siyo chama bali watu wenye uzalendo na utayari wa kulitumikia taifaZitto anatafuta uwaziri ulioachwa n muhongo. Tusubiri kdg mtasikia lzm aungane n Anna n Mkumbo. Jamaa ni kichwa lkn hatabiriki. Hakuna kutishana nikuelezana ukweli yatakatokea . Lissu hatishi mtu. Hivi sakata la samaki tunalipa bado tuongeze n hili tna?
Wewe ukimkaribisha mgeni kwako akikuibia unamuacha to?Hivi hawa wawekezaji walivamia tu migodi na kuanza kujichimbia madini au ni sisi tuliowakaribisha?