M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,020
Ninaamini hii tweet ya mheshimiwa Zitto Kabwe hapa chini ipo self-explanatory.
Binafsi sina cha kuongeza zaidi ya na mimi pia kushangaa tu kama alivyoshangaa
Zitto !
Mwisho kwa Leo: Sept 2015 gharama ya mishahara ya Wafanyakazi ilikuwa shs 523 bilioni. Mwaka 2016 na 2017 wakaondolewa wafanyakazi hewa na wenye vyeti feki. Gharama ya mishahara July 2019 ni shs 566 bilioni. Hakuna nyongeza ya mishahara, hakuna ajira mpya kihivyo! HATUDANGANYIKI
Binafsi sina cha kuongeza zaidi ya na mimi pia kushangaa tu kama alivyoshangaa
Zitto !
Mwisho kwa Leo: Sept 2015 gharama ya mishahara ya Wafanyakazi ilikuwa shs 523 bilioni. Mwaka 2016 na 2017 wakaondolewa wafanyakazi hewa na wenye vyeti feki. Gharama ya mishahara July 2019 ni shs 566 bilioni. Hakuna nyongeza ya mishahara, hakuna ajira mpya kihivyo! HATUDANGANYIKI