Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,516
- 1,404
Sadiki Juma Kilowoko(SAJUKI)
Kama sikosei Serikali ya JK ilitoa Millioni 10 kwa Dead Body Kanumba, ni matumaini yangu kwa huyu ambaye yuko hai Serikali hii ya JK itatoa hata millioni 20.
Nina hakika Rais wetu ni mtu wa watu huenda hajapewa hizi taarifa na wasaidizi wake, nashauri wamuhi kumueleza kabla hajapanda pipa kwenda kwa Obama kwenye G8 Summit.
Yeah ila Mdee kafunika ile mbaya si unajua sauti yake ilivyo nzuri?
zinahitajika mil 25 za kibongo, tuchangeni jamani tumuokoe binaadam mwenzetu, mkulu alitoa m 10 na serikali 15 kwa mazishi ya kanumba. huyu mzima anateketea wamekaa kimya
Watuhakikishie kwanza kwamba hizo hela hazitaliwa kama za Kanumba. Afu mbona huyo tu ndo ameanzishiwa harambee wakati kila siku kuna watu wanaomba misaada ya matibabu kwenye tv?
Kama sikosei Serikali ya JK ilitoa Millioni 10 kwa Dead Body Kanumba, ni matumaini yangu kwa huyu ambaye yuko hai Serikali hii ya JK itatoa hata millioni 20.
Nina hakika Rais wetu ni mtu wa watu huenda hajapewa hizi taarifa na wasaidizi wake, nashauri wamuhi kumueleza kabla hajapanda pipa kwenda kwa Obama kwenye G8 Summit.
Clouds ni radio ipi?
Mkuu, hii ya kutangaza ubani nimeiona kwa serikali and to be specific nimeiona kwa JK.Ndo ajabu ya waswahili wazima hawachangii wanasubiri ufe ndo waanze kujionyesha kwenye rambi rambi si unajua ukimchangia mgonjwa haitangazwi lakini akifa inatangazwa jamaa flani katoa kiasi flani ya sanduku au ubani n.k
zinahitajika mil 25 za kibongo, tuchangeni jamani tumuokoe binaadam mwenzetu, mkulu alitoa m 10 na serikali 15 kwa mazishi ya kanumba. huyu mzima anateketea wamekaa kimya
Hizi siasa jamani!
Hapa Zito na Halima wanatafuta umaarufu kupitia ugonjwa wa mwenzao...dhambi sana.