Zitto Kabwe: Bandari ya Bagamoyo itapokea mameli makubwa ambayo hamjawahi kuyaona, tusipoteze hii fursa jamani

Mkuu jamaa ni mnafiki na mchumia tumbo mkubwa. Details za mkataba huo na Wachina zikiwekwa hadharani Watanzania tutaukataa.

Naomba ili kumaliza utata, mkataba huu uwekwe hadharani hapa tuelewe nani yuko upande wa nchi na nani ni adui wa nchi yetu.
 
Hivi wakatimwingine waTanzania Tue tunaelewa hizo melikubwa zitatokawapi na kwanini zisije bandari ya DSM iliyopo zisubiri kwenda bagamoyo
 
Usichanganye mada hapa, Magufuli alijichafua mwenyewe. Alikuwa na nafasi ya kuwa Rais bora kabisa lakini akachagua kuwa Dikteta. Mimi simkubali na sitamkubali kwa namna yake ya kuendesha nchi kama familia yake, lakini bado sikubaliani na mradi wowote ulioasisiwa na Kikwete baada ya Ridhiwan kukamatwa China.
Hyo ya ridhwani kukamatwa china huwa nashangaa mtu smart kuamini hyo story km ni kweli.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Huu mkataba ni wa Kinyonyaji kwa mujibu wa Kakoko.
Una jua ukiangalia kwa jicho pana sana unaona upande wa mwendazake kuwa na yeye alikuwa mpindisha mambo muongo muongo yaani!
Kila jambo alitaka kufanya yeye!
Angekuwa muwazi na kubadili sheria za mikataba kuwa wazi!
Ata leo tungekuwa na nguvu kubwa sana ya kusema na kuandamana tunataka mikataba huru kama mwendazake alivyokuwa ana fanya!

Lakini mambo ya Kusomewa na kakoko maandishi ambayo hatujui kama ni ya kweli ama uwongo wa mwendazake!

Tukubali Afrika tuna bahati mbaya!
Ukiangia kiwango cha kuishi kina pungua sana kwa Afrika wenye maradhi hatari wana ongezeka sana kwa kasi!
Hatujui pengine ata baada ya miaka 40 tu ijayo tukaanza kuwa Manamba kwenye mashamba yao!
Wao wana mahesabu mengi kuliko sisi hatu wawezi kamwe!
Sababu viongozi wetu ndivyo walivyo amua tuwe watumwa apo baadae tena!

Mtu aliamini katika kupandikiza ukabila sio mtu wa kumuamini kabisa!
Ukabila ni sumu kubwa sana kuliko faida na hasara za iyo bandari!
 
Una jua ukiangalia kwa jicho pana sana unaona upande wa mwendazake kuwa na yeye alikuwa mpindisha mambo muongo muongo yaani!
Kila jambo alitaka kufanya yeye!
Angekuwa muwazi na kubadili sheria za mikataba kuwa wazi!
Ata leo tungekuwa na nguvu kubwa sana ya kusema na kuandamana tunataka mikataba huru kama mwendazake alivyokuwa ana fanya!

Lakini mambo ya Kusomewa na kakoko maandishi ambayo hatujui kama ni ya kweli ama uwongo wa mwendazake!

Tukubali Afrika tuna bahati mbaya!
Ukiangia kiwango cha kuishi kina pungua sana kwa Afrika wenye maradhi hatari wana ongezeka sana kwa kasi!
Hatujui pengine ata baada ya miaka 40 tu ijayo tukaanza kuwa Manamba kwenye mashamba yao!
Wao wana mahesabu mengi kuliko sisi hatu wawezi kamwe!
Sababu viongozi wetu ndivyo walivyo amua tuwe watumwa apo baadae tena!

Mtu aliamini katika kupandikiza ukabila sio mtu wa kumuamini kabisa!
Ukabila ni sumu kubwa sana kuliko faida na hasara za iyo bandari!
Tena mkuu nataka kuongezea kwenye Afya ya Mwafrika,iwapo hao wafadhili wakiacha kufadhili Dawa za maradhi ya Ukimwi tumekwisha
 
Shida siyo kuona mameli shida ni usafi wa bandari kujengwa kifisadi kuwaneemesha familia ya mstaafu
 
Tena mkuu nataka kuongezea kwenye Afya ya Mwafrika,iwapo hao wafadhili wakiacha kufadhili Dawa za maradhi ya Ukimwi tumekwisha
Hatari sana mkuu yani sisi bila wao tunaondoka mapema sana!
Angalia viongozi wao miaka yao angalia na viongozi wetu miaka yao! Vuta picha ya Bunge la Msekwa na picha ya Bunge la sasa Usi msahau Baba tale na Msukuma
Mwana nani sijui!
Na wengine wengi alafu kundi hilo ndio lika changie hoja za mikataba bulding and finance alisema Yule Mbunge
 
Hivi ni moja kati ya vipengele vingi katika mkataba wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo vinvyotakiwa kuzingatiwa na kila MTANZANIA!!.

"Masharti ya mradi huo ni pamoja na 'dhamana ya miaka 30 na kukodisha miaka 99' na kwamba Serikali ya Tanzania haipaswi 'kuuliza yeyote atakayekuja kuwekeza huko mara tu bandari inapoanza kufanya kazi. Pia mara tu watakapojenga bandari, haipaswi kuwa na bandari nyingine inayojengwa kutoka Tanga hadi Mtwara kusini"
 
Kwa gharama ipi , ya kuuza hiyo Bandari kwa wawekezaji.
Wazo la huo mradi ni zuri la lenye manufaa makubwa kwa nchi, hilo tunakubaliana wote kabisa.
Kama tumeona mapungufu kwenye majadiliano ya mkataba wa mwanzo kwa watangulizi, sisi kwa nafasi yetu tuna jukumu la kuboresha na kuutekeleza Mara moja. Sio kuuzika moja kwa moja kwa hoja za kuwepo dosari.
 
Bandari gani unauza Bagamoyo? mwekezaji maana yake nini? Mbona sijawahi kusikia wakaweka mikataba mingine waliyoingia hadharani tukaona ila huu wa Bagamoyo unatafuta vifungu viwili witatu kupiga propaganda.

Bandari ijengwe kubwa, viwanda vitafuata, ajira kibao hata tukipata hasara( kama tukipata maana hatuweki pesa yetu) ila kwa miaka ijayo kizazi kijacho watanufaika nayo kwa kuwa itakuwa Bandari imechajipa umaarufu mkubwa.

Bandari ya Dar ni ya kizamani sana huko mbele itakuwa kama ile bandari bubu ya Bagamoyo lazima tuinvest kwa future sio bla bla za TRA tutakosa kodi.

Mwekazaji yoyote ataweka pesa ili arudishe na faida ili wewe uje kufaidikia baadae. Mbona ATCL ukisema hasara wanakumwambia mwanzo hasara kawaida tu na ndege zinachochea uchumi sehemu zingine na Bandari the same itachochea uchumi sehemu zingine.
Kumbe bado hujafahamu shida ipo wapi,
Jisome hii
2
Lessons from Sri Lanka on China's 'debt-trap diplomacy'
China's 'tied aid' for infrastructure usually benefits Chinese companies, while its loans are in many cases backed by natural resources.




www.nytimes.com
How China Got Sri Lanka to Cough Up a Port (Published 2018)

25 Jun 2018 — Yes, though Sri Lanka's debt was ballooning rapidly under Mr. Rajapaksa. ... The case is one of the most vivid examples of China's ambitious use of loans and ...
 
Mkataba wake umeuona?
Watuwekee mkataba wananchi wote tuusome.Lakn kama kuna kipengele chochote cha mchina kuendesha bandari yetu huo mkataba haufai.Labda kama anatupenda atujengee bure,kisha sisi watz tuindeshe hiyo bandari.Yeye tunamrejeshea hela yake aliyotumia kidogo kidogo_Otherwise kubinafsha sekta ya bandari ni upumbavu.Hii inshu watu wanaikomalia sana ,kama watu wamekula hela ya mchina mrudishieni.
 
Mkataba tumeshapeleka Hong Kong.
Watuwekee mkataba wananchi wote tuusome.Lakn kama kuna kipengele chochote cha mchina kuendesha bandari yetu huo mkataba haufai.Labda kama anatupenda atujengee bure,kisha sisi watz tuindeshe hiyo bandari.Yeye tunamrejeshea hela yake aliyotumia kidogo kidogo_Otherwise kubinafsha sekta ya bandari ni upumbavu.Hii inshu watu wanaikomalia sana ,kama watu wamekula hela ya mchina mrudishieni.
 
Siasa za hawa makanjanja ni za kuogopa kama ukoma..Leo wanashauri hili, kesho wanageuka na kuponda.
 
Mkuu jamaa ni mnafiki na mchumia tumbo mkubwa. Details za mkataba huo na Wachina zikiwekwa hadharani Watanzania tutaukataa.
Hii nchi ina viongozi wa ajabu sana
Zitto haeleweki ni sawa na debe tupu... anapuyanga hatari
Bandari hahahahh ya nini wakati iliyopo inawashinda, sheria za uwekezaji zimekimbiza wawekezaji, kuna miradi lukuki haijakamilika.
Hawa wanatumia ujinga sijui upole au udhaifu wa WaTz kujinufaisha
Mchina si muwekezaji ni mnyonyaji tuelewe hivyo
Tango Mama kaingia madarakani Zitto amekuwa msemaji Mkuu
Huyu dogo ana udhaifu fulani hivi wengi hawajauona bado na ni hatari kwa Taifa
ACT mlengo wake ni wa.........
Tutakumbushana mbeleni
Keleleeee nyiiiiingi lakini si kwa nia inayofanana na wengi wa wananchi
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom