Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,043
Hata zitto kasema angependa uwekwe wazi maana hata wabunge hawakuwah kuona huo.mkatabaMimi nakubaliana na wanaotaka mkataba uwekwe wazi ili watu wausome wajue mbivu na mbichi.
Vinginevyo siafiki huo mkataba.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app