mkalamo
JF-Expert Member
- Sep 7, 2013
- 324
- 347
Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe,akiwa na mgombea ubunge wa Jimbo la Muhambwe Julius Masabo wamevamiwa na watu waliokuwa kwenye magari matatu yanayosadikiwa kuwa ya CCM yakiwa na namba za Usajili T281BFG, T195JV na T148DFA.
Katika uvamizi huo gari yenye namba DFA inasadikiwa kuwa na kura feki zilizokwishapigwa.
Tayari ameshamjulisha tukio hilo OCD Kibondo.
Miongoni mwa gari hizo mbili zinadaiwa kuwa na watu waliojihami kwa mapanga
Katika uvamizi huo gari yenye namba DFA inasadikiwa kuwa na kura feki zilizokwishapigwa.
Tayari ameshamjulisha tukio hilo OCD Kibondo.
Miongoni mwa gari hizo mbili zinadaiwa kuwa na watu waliojihami kwa mapanga