Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,991
- 144,323
Hili gazeti limechapisha orodha ya kwanza ya watu 68 wanaotajwa kupototea/kuwawa hukoMkuranga, Kibiti na Rufiji (MKIRU) orodha ambayo kwa mujibu wa gazeti hilo imetolewa na Zitto Bungeni.
Orodha hii ya majina ya watu wanaotajwa kupotea imetaja majina ya wahanga(watu waliopotea) na mtuhumiwa wa kuwapoteza watu hao.
Waliotuhumiwa kupoteza watu na ambao wametajwa katika habari hiyo inataka moyo kuwataja hapa.
Zitto umekuwa mwiba kwa hii Serikali kwa sasa.
Orodha hii ya majina ya watu wanaotajwa kupotea imetaja majina ya wahanga(watu waliopotea) na mtuhumiwa wa kuwapoteza watu hao.
Waliotuhumiwa kupoteza watu na ambao wametajwa katika habari hiyo inataka moyo kuwataja hapa.
Zitto umekuwa mwiba kwa hii Serikali kwa sasa.