Miongoni mwa wananchi mizigo basi wewe nizigo. Katiba ya nchi inamruhusu kuzunguuka kokote ndani ya nchi na kuongea na wananchi wala usijitie ujinga na upumbavu wa kudhani una hati miliki kwa watanzania. Wewe kama una chuki siku ya mkutano ubaki kwako usiende.
Wazee wa gongo.
Wazee wa gongo.