Hapa kanatengenezwa kaufisadi kengine.ujue tayari kuna mafisadi wameona huko kuna fursa na baada tu ya kufloat hizo share kataanzishwa kamchezo fulani hivi ili shirika lote liangukie mikononi mwa mafisa na makuwadi wa ubeberu.ni mchezo ule ule kama wa IPTL unaotaka kutengenezwa hapo.subirini tu huu ujinga wetu watz wa kushadadia mambo ck moja utakuja kutucost.NBC pia ilikuwa vile vile ikauzwa kwa bei ya kutupwa baadaye tukaanza kulalamika lkn tulikuwa wa kwanza kushadadia uuzwaji wake.Nani anunue hisa za shirika mfu kama TANESCO