Roadmap
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 2,898
- 5,797
Aisee zito Hajui hata biashara zimaendaje huyu jamaa amewahi kuuza hata karanga kweli? Tanesco ikitoa hata robo ya hisa tu mzigo utamrudia mwananchi mana hakuna atakekubali shirika lijiendeshe kwa mauzo ya Luku tu, Yani muondoe connection fee, Monthly Service charge still pawe na faida???, Tanesco iendelee kuwa State owened Entity ni nzuri kiusalama pia, Nishati ni esential tool kwa Nchi tuzicheze na Nishati kabisa.
Afu kwa records za Tanesco nani aweke Mpunga wake Kununua share? Huku shirika halijawahi kutoa Dividend kwa Serikali ambaye ndio main financier
Tanesco iachwe iendelee kumilikiwa na Serikali ili wananchi wapate huduma kuna watu walidai Zitokee kampuni zingine mbadala zicompate na Tanesco kuondoa Monopoly nkawauliza nani anaweza kukufanyia haya kwa bei ya 27000
-Surveying Bure ambayo ina Labour charge na Transport
-Material Bure ambapo accessories kama wire tu ni zaidi 27k
- Connection ambayo ina involve labour charges na transport
Bado mteja huyo huyo awekwe D1 na kuuziwa umeme kwa 122 per unit seriously?
Mteja ashindwe Kuingiza umeme tanesco iwashe gari Km 60 kumfata Bure kabisa
Afu kwa records za Tanesco nani aweke Mpunga wake Kununua share? Huku shirika halijawahi kutoa Dividend kwa Serikali ambaye ndio main financier
Tanesco iachwe iendelee kumilikiwa na Serikali ili wananchi wapate huduma kuna watu walidai Zitokee kampuni zingine mbadala zicompate na Tanesco kuondoa Monopoly nkawauliza nani anaweza kukufanyia haya kwa bei ya 27000
-Surveying Bure ambayo ina Labour charge na Transport
-Material Bure ambapo accessories kama wire tu ni zaidi 27k
- Connection ambayo ina involve labour charges na transport
Bado mteja huyo huyo awekwe D1 na kuuziwa umeme kwa 122 per unit seriously?
Mteja ashindwe Kuingiza umeme tanesco iwashe gari Km 60 kumfata Bure kabisa