babu M
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 5,221
- 3,167
Baada ya mikataba mibovu sasa wataka kulichukua shirika zimaBosi wangu Tanesco inapata hasara kwa Sababu ya mikataba mibovu ya kitapeli ndo tatizo Liko hapo.Vigogo wezi wananufaika kwa njia hiyo na siku hii mikataba ikuvunjwa shirika litaanza kupata faida,hii ishu ni ngumu sana maana walnaufaika ni watu wazito ukionekana unwafatilia unapotezwa.