rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,889
- 3,412
Mkuu Zitto haya ni maoni yangu binafsi.
Umekuwa ukitofautioana na viongozi wa juu wa CHADEMA kwa mambo yasiyo ya lazima, (utoto). Nimeshindwa kukusoma wewe ni mtu wa aina gani haswa.
Nndugu yangu nataka ujue hii vita inayopiganwa ni ya kukomboa taifa kutoka mikono ya CCM waliotuharibia nchi yetu kwa miaka mingi, kuiondoa CCM ndio hatua ya kwanza kuelekea kwenye mabadiliko makubwa kabisa kutokea ndani ya nchi yetu, nataka ujue na kujifunza juu ya nini kinatakiwa kufanywa kwa wakati huu.
sasa tunasikia unataka kafulila arudi chadema,sasa ndugu yangu unataka kufanya mambo yako ya ubinafsi na sisi watanzania tunaowaunga mkono unashindwa kujua nia yetu,tunataka ccm waondoke,una tamaa sana wee jamaa,halafu mambo yako unafanya kijinga sana,umetupiwa shutuma juu ya kufulila na Nccr,tunataka uzijibu ili tuweze kwenda sawa,kama nia yako ni kuwa Rais nafikiri unakosea sana kwa sababu sisi watanzania hatupo tayari kukupa nafasi kama hiyo kwa vile hufai!
Vilevile kitendo cha wewe kulazimisha Shibuda ashike nafasi ndani ya chama kumbuka Shinyanga,,, kwa kwelii sina imani na wewe kabisa inaonekana wewe unafanya mambo ambayo huyaelewi na nafikiri kuna watu wanakutumia kwa siri, siupendi huu udhaifu wako, unanifanya niamini wanasiasa wa africa vi vigeugeu.
Naomba uongozi wa CHADEMA uangalie hili, ikiwezekana abakie kuwa mbunge ili asije kutuharibia mbele ya safari.
Umekuwa ukitofautioana na viongozi wa juu wa CHADEMA kwa mambo yasiyo ya lazima, (utoto). Nimeshindwa kukusoma wewe ni mtu wa aina gani haswa.
Nndugu yangu nataka ujue hii vita inayopiganwa ni ya kukomboa taifa kutoka mikono ya CCM waliotuharibia nchi yetu kwa miaka mingi, kuiondoa CCM ndio hatua ya kwanza kuelekea kwenye mabadiliko makubwa kabisa kutokea ndani ya nchi yetu, nataka ujue na kujifunza juu ya nini kinatakiwa kufanywa kwa wakati huu.
sasa tunasikia unataka kafulila arudi chadema,sasa ndugu yangu unataka kufanya mambo yako ya ubinafsi na sisi watanzania tunaowaunga mkono unashindwa kujua nia yetu,tunataka ccm waondoke,una tamaa sana wee jamaa,halafu mambo yako unafanya kijinga sana,umetupiwa shutuma juu ya kufulila na Nccr,tunataka uzijibu ili tuweze kwenda sawa,kama nia yako ni kuwa Rais nafikiri unakosea sana kwa sababu sisi watanzania hatupo tayari kukupa nafasi kama hiyo kwa vile hufai!
Vilevile kitendo cha wewe kulazimisha Shibuda ashike nafasi ndani ya chama kumbuka Shinyanga,,, kwa kwelii sina imani na wewe kabisa inaonekana wewe unafanya mambo ambayo huyaelewi na nafikiri kuna watu wanakutumia kwa siri, siupendi huu udhaifu wako, unanifanya niamini wanasiasa wa africa vi vigeugeu.
Naomba uongozi wa CHADEMA uangalie hili, ikiwezekana abakie kuwa mbunge ili asije kutuharibia mbele ya safari.