Zitto Kabwe aombe radhi hadharani kwa kupotosha umma

Mleta mada unapaswa kukumbuka kuwa, "hoja hujibiwa kwa hoja".

Achana na kudili na Zitto, bali hakikisha unajibu hoja aliyoileta zitto. Kumbuka hoja ni 1.5 trilioni, CAG anaonekana alizikusanya ila hazionekani kutumika kokote. CAG anakiri wazi kuwa, inawezekana zimetumika kwenye matumizi mengine ya serikali, akaishauri bunge lihoji ni wapi zinetumika.

So, jitahidi kujibu hoja. Ukiweza kujibu hii hoja ya Zitto, ukatueleza hizo 1.5 trilioni zimetumika wapi, ninauhakika unaweza sasa ukaja na hoja ya Zitto kuomba radhi, LA sivyo utakuwa hujielewi. Hata hivyo si lazima na wewe uandike chochote kama unajua huna uwezo wa kujibu hoja.

Mwisho: Pambana kujibu hoja kwanza, then later, utapambana na mtoa hoja.
ungeonesha mfano kwa kujibu hoja yangu katika mistari yake yote
 
View attachment 750769
Hii sio mara ya kwanza kwa mheshimiwa huyu kujitokeza hadharani na kuzua mambo yenye kuleta taharuki na usumbufu kwa umma.

Uzushi wake hulenga kuchafua na kufarakanisha umma wa Watanzania.

Naweza kurejea mifano kadhaa ya matamko yake yenye uzushi na yanayojaribu kutumia misinterpretation ya taarifa mbalimbali ili kuvuruga thinking ya jamii.

1-Ni miaka takriban 6 Zitto alijitokeza na kuahidi mbele ya umma kuwa ana majina ya vigogo wa serikali na kijamii ambao wameficha fedha Ughaibuni aliahidi kuwataja hadharani ila hadi leo hakufanya hivyo.

2-Mwaka jana tu Zitto alitoka kwenye vyombo mbalimbali vya habari haswa haswa mitandaoni na kuudanganya umma kuwa nchi ina janga la njaa na Rais alipaswa kutangaza hali ya hatari au baa la njaa baada ya kauli hii tulishuhudia mkanganyiko, hofu na taharuki zisizokuwa na ulazima wowote.
Kwa kuwa nchi hii inalindwa na baraka za Mwenyezi Mola neema ya chakula ikawepo hadi tukaruhusiwa kuuza nje na bei ya chakula kushuka haswa.

3-Ni Zitto huyu huyu kwa mara nyingine tena amejaribu kuleta mgogoro na mfarakano nchini kwa makusudi kabisa kupotosha maana na uhalisia wa taarifa ya CAG na hivyo pengine kuwafanya wabunge wasihoji maeneo ya maana katika taarifa ile na wakajikita katika kujadili fallacy zilizoletwa na Zitto.
Yaani ninamfananisha Zitto na "bush-CAG" "bush lawyer" au "bush data analyst"

Maoni/Ushauri
Jamii iendelee kumpuuza mtu wa namna hii kwani tulishawahi kusikia kuwa wapo baadhi ya wanasiasa wanaishi na kupata fedha kwa kuzusha mambo na kuchafua watu ili waitwe na kunyamazishwa kwa hongo.Good thing awamu hii imegoma kufanya haya.

Nashauri wasomi wetu mbalimbali kuchukua role zao na sio kushabikia udaku unaotoka Instagram, facebook n.k zinapokuja ripoti kama hizi zenye kuhitaji utaalamu na sio siasa basi vyama na taasisi mbalimbali za kiweledi na kitaaluma zichukue roles zao kujadili na kuelezea kitaalamu kuhusu taarifa zilizomo.
Tusiwaache wanasiasa kutuaibisha na kuabisha taifa kiasi hiki.

Mwisho:
Zitto aombe radhi kiungwana tu kwani ukiwa beach na watoto halafu ukawa umevaa vazi la kikoi ni lazima upepo utakuumbua na kamwe huwezi ukashindana na upepo wa beach.


Soma: Serikali imepoteza TZS 1.5 trilioni mwaka 2016/17. Imetumia Mabilioni kinyume na Utaratibu, Imelipa Madeni Hewa

Soma: Tamko la Serikali: Hakuna fedha tasilimu ya shilingi trilioni 1.51 iliyopotea, ni madai ya wasiolitakia mema taifa letu

Soma: Kuapishwa kwa majaji wapya Ikulu: CAG mbele ya Rais Magufuli, akanusha Shilingi trilioni 1.5 kuibwa/kupotea


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
aombe kwanza radhi yule aliyeshindwa kuelewa alichokisema zitto.kwamba kuna 1.5 t hazijulikani zilipo.
kwamba TRA wanachanganya pesa walizokusanya wao na zilizokusanywa na wengine mfano Loan Board wanasema makusanyo yameongezeka... we jinga lao unakenua kenuu kama jehu/ mwehu/zuzu
kwamba bunge halifanyi kazi zake vizuri.mfano ndege , chato airport, pesa zinazogawiwa hovyo kama yale mabilion ya arusha na hostel za udsm zenye nyufa zilipitishwa na kikao kipi cha budget ya bunge?
Jinga lao una akili ndogo sana kuweza kumwelewa zitto.kukusaidia soma raiya mwema la jmatano.
MAGUFULI ndio anapaswa kuomba radhi kwanza hajajibu swali la zitto. pia anaamini pesa za umma ni mali ya mjomba wake .
ni raisi mwenye fikra mfu, hajui alitendalo.
yeye anapata taarifa kupitia mitandao kisha huyo huyo anaichukia?
 
Huyu mkurupukaji sasa inabidi adhibitiwe maana ni hatari sana kwa usalama na ustawi wa hii nchi. Kila uchao anatafuta matukio akidhani ndio sera ya chama chake na mtaji. Huu ni wendawazim uliopitiliza.

Naamini hakutoa hiyo kauli akiwa bungeni, kitafutwe kifungu cha sheria aburuzwe mahakamani akathibitishe huo wizi umetokeaje. Akishindwa apigwe jela. Alizoea kubebwa na kusaliti wenzake kipindi cha nyuma sasa amegota
hajasema wizi wewe wa wapi?
 
aombe kwanza radhi yule aliyeshindwa kuelewa alichokisema zitto.kwamba kuna 1.5 t hazijulikani zilipo.
kwamba TRA wanachanganya pesa walizokusanya wao na zilizokusanywa na wengine mfano Loan Board wanasema makusanyo yameongezeka... we jinga lao unakenua kenuu kama jehu/ mwehu/zuzu
kwamba bunge halifanyi kazi zake vizuri.mfano ndege , chato airport, pesa zinazogawiwa hovyo kama yale mabilion ya arusha na hostel za udsm zenye nyufa zilipitishwa na kikao kipi cha budget ya bunge?
Jinga lao una akili ndogo sana kuweza kumwelewa zitto.kukusaidia soma raiya mwema la jmatano.
MAGUFULI ndio anapaswa kuomba radhi kwanza hajajibu swali la zitto. pia anaamini pesa za umma ni mali ya mjomba wake .
ni raisi mwenye fikra mfu, hajui alitendalo.
yeye anapata taarifa kupitia mitandao kisha huyo huyo anaichukia?
Acha povu mkuu...mimi nimekuekea trend ya Zitto kudanganya wewe unajadili hoja moja tu!
 
Anybody who acts cagey has something to hide! Ukiona watu badala ya kujibu hoja ni mwendo wa ubabe na vitisho, tambua kuna jambo halijakaa sawa na hakuna wa kuukiri ukweli!
 
Ingekuwa pesa hizo zipo lazima mngekuwa mmeshamkamata lakin kawashika pabaya mnajikanyaga tuu.
 
Acha povu mkuu...mimi nimekuekea trend ya Zitto kudanganya wewe unajadili hoja moja tu!
sikushangai uwezo wako wa kufikir ni mdogo hata kuweza kuamini akili na matendo ya watu wenye frastrations. zitto kaongea uongo upi hadi aombe radhi? rejea mazungumzo ya assad na azam tv.
unadhani mna uwezo wa kumdanganya kila mtu.? ati Tanzania mpya? kawadanganye nduguzo rufiji
 
Nini tafsiri ya neno potosha. Sidhani kati ya vitu ulivyo vitaja hapo juu ni kipi kimetolewa ufafanuzi na kuonekana ni kauli za uongo kiasi kwamba aombe radhi hadharani?
 
Hawa Interahamwe (CCM), baada ya kushindwa kuzuia ufisadi uliotamalaki ktk chama chao, sasa wameamua kuukingia kifua kwa kuupaka manukato.
 
View attachment 750769
Hii sio mara ya kwanza kwa mheshimiwa huyu kujitokeza hadharani na kuzua mambo yenye kuleta taharuki na usumbufu kwa umma.

Uzushi wake hulenga kuchafua na kufarakanisha umma wa Watanzania.

Naweza kurejea mifano kadhaa ya matamko yake yenye uzushi na yanayojaribu kutumia misinterpretation ya taarifa mbalimbali ili kuvuruga thinking ya jamii.

1-Ni miaka takriban 6 Zitto alijitokeza na kuahidi mbele ya umma kuwa ana majina ya vigogo wa serikali na kijamii ambao wameficha fedha Ughaibuni aliahidi kuwataja hadharani ila hadi leo hakufanya hivyo.

2-Mwaka jana tu Zitto alitoka kwenye vyombo mbalimbali vya habari haswa haswa mitandaoni na kuudanganya umma kuwa nchi ina janga la njaa na Rais alipaswa kutangaza hali ya hatari au baa la njaa baada ya kauli hii tulishuhudia mkanganyiko, hofu na taharuki zisizokuwa na ulazima wowote.
Kwa kuwa nchi hii inalindwa na baraka za Mwenyezi Mola neema ya chakula ikawepo hadi tukaruhusiwa kuuza nje na bei ya chakula kushuka haswa.

3-Ni Zitto huyu huyu kwa mara nyingine tena amejaribu kuleta mgogoro na mfarakano nchini kwa makusudi kabisa kupotosha maana na uhalisia wa taarifa ya CAG na hivyo pengine kuwafanya wabunge wasihoji maeneo ya maana katika taarifa ile na wakajikita katika kujadili fallacy zilizoletwa na Zitto.
Yaani ninamfananisha Zitto na "bush-CAG" "bush lawyer" au "bush data analyst"

Maoni/Ushauri
Jamii iendelee kumpuuza mtu wa namna hii kwani tulishawahi kusikia kuwa wapo baadhi ya wanasiasa wanaishi na kupata fedha kwa kuzusha mambo na kuchafua watu ili waitwe na kunyamazishwa kwa hongo.Good thing awamu hii imegoma kufanya haya.

Nashauri wasomi wetu mbalimbali kuchukua role zao na sio kushabikia udaku unaotoka Instagram, facebook n.k zinapokuja ripoti kama hizi zenye kuhitaji utaalamu na sio siasa basi vyama na taasisi mbalimbali za kiweledi na kitaaluma zichukue roles zao kujadili na kuelezea kitaalamu kuhusu taarifa zilizomo.
Tusiwaache wanasiasa kutuaibisha na kuabisha taifa kiasi hiki.

Mwisho:
Zitto aombe radhi kiungwana tu kwani ukiwa beach na watoto halafu ukawa umevaa vazi la kikoi ni lazima upepo utakuumbua na kamwe huwezi ukashindana na upepo wa beach.


Soma: Serikali imepoteza TZS 1.5 trilioni mwaka 2016/17. Imetumia Mabilioni kinyume na Utaratibu, Imelipa Madeni Hewa

Soma: Tamko la Serikali: Hakuna fedha tasilimu ya shilingi trilioni 1.51 iliyopotea, ni madai ya wasiolitakia mema taifa letu

Soma: Kuapishwa kwa majaji wapya Ikulu: CAG mbele ya Rais Magufuli, akanusha Shilingi trilioni 1.5 kuibwa/kupotea


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Majizi bwana!
 
View attachment 750769
Hii sio mara ya kwanza kwa mheshimiwa huyu kujitokeza hadharani na kuzua mambo yenye kuleta taharuki na usumbufu kwa umma.

Uzushi wake hulenga kuchafua na kufarakanisha umma wa Watanzania.

Naweza kurejea mifano kadhaa ya matamko yake yenye uzushi na yanayojaribu kutumia misinterpretation ya taarifa mbalimbali ili kuvuruga thinking ya jamii.

1-Ni miaka takriban 6 Zitto alijitokeza na kuahidi mbele ya umma kuwa ana majina ya vigogo wa serikali na kijamii ambao wameficha fedha Ughaibuni aliahidi kuwataja hadharani ila hadi leo hakufanya hivyo.

2-Mwaka jana tu Zitto alitoka kwenye vyombo mbalimbali vya habari haswa haswa mitandaoni na kuudanganya umma kuwa nchi ina janga la njaa na Rais alipaswa kutangaza hali ya hatari au baa la njaa baada ya kauli hii tulishuhudia mkanganyiko, hofu na taharuki zisizokuwa na ulazima wowote.
Kwa kuwa nchi hii inalindwa na baraka za Mwenyezi Mola neema ya chakula ikawepo hadi tukaruhusiwa kuuza nje na bei ya chakula kushuka haswa.

3-Ni Zitto huyu huyu kwa mara nyingine tena amejaribu kuleta mgogoro na mfarakano nchini kwa makusudi kabisa kupotosha maana na uhalisia wa taarifa ya CAG na hivyo pengine kuwafanya wabunge wasihoji maeneo ya maana katika taarifa ile na wakajikita katika kujadili fallacy zilizoletwa na Zitto.
Yaani ninamfananisha Zitto na "bush-CAG" "bush lawyer" au "bush data analyst"

Maoni/Ushauri
Jamii iendelee kumpuuza mtu wa namna hii kwani tulishawahi kusikia kuwa wapo baadhi ya wanasiasa wanaishi na kupata fedha kwa kuzusha mambo na kuchafua watu ili waitwe na kunyamazishwa kwa hongo.Good thing awamu hii imegoma kufanya haya.

Nashauri wasomi wetu mbalimbali kuchukua role zao na sio kushabikia udaku unaotoka Instagram, facebook n.k zinapokuja ripoti kama hizi zenye kuhitaji utaalamu na sio siasa basi vyama na taasisi mbalimbali za kiweledi na kitaaluma zichukue roles zao kujadili na kuelezea kitaalamu kuhusu taarifa zilizomo.
Tusiwaache wanasiasa kutuaibisha na kuabisha taifa kiasi hiki.

Mwisho:
Zitto aombe radhi kiungwana tu kwani ukiwa beach na watoto halafu ukawa umevaa vazi la kikoi ni lazima upepo utakuumbua na kamwe huwezi ukashindana na upepo wa beach.


Soma: Serikali imepoteza TZS 1.5 trilioni mwaka 2016/17. Imetumia Mabilioni kinyume na Utaratibu, Imelipa Madeni Hewa

Soma: Tamko la Serikali: Hakuna fedha tasilimu ya shilingi trilioni 1.51 iliyopotea, ni madai ya wasiolitakia mema taifa letu

Soma: Kuapishwa kwa majaji wapya Ikulu: CAG mbele ya Rais Magufuli, akanusha Shilingi trilioni 1.5 kuibwa/kupotea


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
TAHARUKI NDIO Mdudu gani!.
Yani mazoea ya hovyo! Ana haki ya kunena ukweli tuache kuyumbisha watu eti taharuki.


Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom