MKANDYA
Senior Member
- Aug 12, 2009
- 166
- 18
Kusafishana ni jadi ya serikali yetu; lakujiuliza mbona Luhanjo hajesema kama barua zinazodaiwa kuandikwa na Jairo kuagiza kutoa pesa, hazikuwa harali??Pia Luhajo kaonyesha dharau kubwa kwa wabunge anaposema Jairo ana haki yakuwashitaki waliotoa hizo tuhuma, kwasababu bunge lina kila haki ya kuhoji na kupatiwa uhakika wa jambo lolote ambalo liko kinyume na maslahi ya Taifa.Hii inaonyesha Luhajo sasa ndiye MKUU WA NCHI!!.