Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,499
- 86,037
utaona vita dhidi ya hawa wahuni ilivyo ngumu, yaani wakati tanzania tunalia hawa vichaa wanafurahia ujinga halafu keshokutwa ndio ya kwanza kulallamika maisha magumj, pumb..fu zao
<br />Wabunge wamekuwa mbogo.<br />
<br />
Up date processed and to be posted soon
<br /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/peace.gif" border="0" alt="" title="Peace" smilieid="238" class="inlineimg" />
Hii nchi ni ya wasanii.
Viongozi wote ni wasanii
kiranja mkuu ni msanii
kiongozi wa sirikali gungeni msanii
video zao ukifutilia walahi waweza omba uhamisho ndani ya nchii
inayomilikiwa na ccm {chama cha mafisadi}.wanajiona wana hati miliki.
Shelukindo yuko sahihi kibaya ni kamgusa rafiki yake na kiranja wa watanzagiza.
Hii kitu inanipa homa kwa kweli, hasa ukiangalia wale jamaa pale wizarani walivyompokea kwa mbwembwe. Ngoja nikaangalie mechi ya UEFA leo ni Arsenal na Udinese