MAKULILO
Member
- May 30, 2010
- 84
- 94
Tunavyoongea sasahivi Mh Zitto Kabwe ameshinda jimbo la Kigoma Kaskazini. Akiwa anahojiwa na Bongo Radio sasahivi amethibitisha kuwa CHADEMA kwa upande wa ubunge inaoongoza kati 9 kati ya 11 hadi sasa, na kata 2 ndio zimebaki zinasubiriwa. Hivyo kata mbili haziwezi kubadili ushindi wa kata 9, hivyo tayari Mh Zitto ni Mbunge mchaguliwa hadi sasa.
Unaweza pia kuangalia kwenye facebook profile ya Zitto Kabwe ambayo amedokeza kuwa ameshinda huko Kigoma Kaskazini.
MAKULILO, Jr.
Unaweza pia kuangalia kwenye facebook profile ya Zitto Kabwe ambayo amedokeza kuwa ameshinda huko Kigoma Kaskazini.
MAKULILO, Jr.