Jumbes
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 245
- 372
Mtoa maada ni ana fikra finyu mno, huko Finland usipokuwa makin utafel tu maana hata unavyopangilia maada yako, inaonesha ni jinsi gani usivyojua kuundaa vyema propaganda unazotumwa kuzifanya, hauwezi kutililika maneno ya hovyo kwa UKAWA kisha nakusifia ujinga na mambo ya hovyo yanayofanywa na Serikali hii hatahivyo, uko Nje ya Nchi hauwezi kujua magumu yanayowakuta wa TZ kwa ssa, keti huko utulie lkn pia wwe siyo kitu mbele ya Mh. Zitto na wote uliowataja, achana nao ni maji marefu kwako, ndiyo maana hata maboss wako wanashindwa namna ya kumkabirina Zitto kwa hoja, maana ukweli una nguvu kubwa kuliko uwongo! Umejiaibisha kutililika pumba za kufa Mtu zenye mlengo wa UKADA usiyo wakizalendo kwa chama chako kwani hauwezi kumshutumu Mtu Mh.Lissu kwa kumwita Mgonjwa kwa kipindi hiki ambacho Chama na Serikali yako unayoisifia inashutumiwa kujaribu kumuua