safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,161
- 15,839
Kumbe akina lissu na chadema ni wajinga pia kama wengine maana akina lissu na chadema wao ndo walishiriki hasa ule uchaguzi mkuu ambao wanadai ndio una vitimbi zaidi kuliko chaguzi zingine za wabunge na madiwani.Zitto ni mjinga kama wajinga wengine,anashiriki uchaguzi huku akijua wazi sheria na kanuni za uchaguzi ni mbovu.
Sijawahi kumwamini Zitto hata siku moja ni mwanasiasa wa hovyo na ni hasara kubwa taifa kuendelea kuwa na aina hii ya wanasiasa.
H