Zitto Kabwe ampongeza Mbowe kwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti CHADEMA

Molemo

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
14,534
13,225
Chama cha CHADEMA kimeelemewa kwa salaam za Pongezi kutoka sehemu mbalimbali ndani na nje ya nchi kutokana na uchaguzi mkuu wa kihistoria uliyomrejesha madarakani Freeman Mbowe.

Salaam za Karibuni ni kutoka kwa Chama cha ACT Wazalendo mshirika wa Chadema katika upinzani.

Kiongozi wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amempongeza Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe kwa kuchaguliwa tena kuwa Mwenyekiti wa chama hicho kwa kura nyingi.

Zitto Kabwe amepongeza pia viongozi wengine waliochaguliwa na jinsi uchaguzi ulivyoendeshwa kwa njia ya kidemokrasia.

"Nakupongeza ndg. Freeman Mbowe kwa kuchaguliwa tena kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa. Nawapongeza wana CHADEMA kwa kumaliza Mkutano Mkuu wa Chama chenu na kuchagua safu ya Uongozi kwa miaka mitano ijayo. Tushirikiane kuweka mikakati ya pamoja kuhami demokrasia yetu" - Zitto Kabwe

Screenshot_20191219-143341_Facebook.jpg
 
Anayejua kazi za mwenyekiti wa ACT WAZALENDO ni nini atuambie hapa
maana yake kila tamko hutolewa na mkuu wa chama zitto kabwe badala ya mwenyekiti.


1576761035565.png
 
Mmh ila sina imani na Zitto siku zote.. Daima hamaanishi anachoongea na anaongea asichomaanisha
Chama cha CHADEMA kimeelemewa kwa salaam za Pongezi kutoka sehemu mbalimbali ndani na nje ya nchi kutokana na uchaguzi mkuu wa kihistoria uliyomrejesha madarakani Freeman Mbowe.

Salaam za Karibuni ni kutoka kwa Chama cha ACT Wazalendo mshirika wa Chadema katika upinzani.

Kiongozi wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amempongeza Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe kwa kuchaguliwa tena kuwa Mwenyekiti wa chama hicho kwa kura nyingi.

Zitto Kabwe amepongeza pia viongozi wengine waliochaguliwa na jinsi uchaguzi ulivyoendeshwa kwa njia ya kidemokrasia.

"Nakupongeza ndg. Freeman Mbowe kwa kuchaguliwa tena kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa. Nawapongeza wana CHADEMA kwa kumaliza Mkutano Mkuu wa Chama chenu na kuchagua safu ya Uongozi kwa miaka mitano ijayo. Tushirikiane kuweka mikakati ya pamoja kuhami demokrasia yetu" - Zitto Kabwe

View attachment 1297240

Jr
 
Baada ya kumuita Mbowe Ni mshamba leo Anampongeza.. jinga Sana hili jitu linaloitwa li Zitto Kabwe..

Zitto Wewe Ni Mnafiki Sana Pongezi zako lazima tuzipime kabla ya kuzipokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chama cha CHADEMA kimeelemewa kwa salaam za Pongezi kutoka sehemu mbalimbali ndani na nje ya nchi kutokana na uchaguzi mkuu wa kihistoria uliyomrejesha madarakani Freeman Mbowe.

Salaam za Karibuni ni kutoka kwa Chama cha ACT Wazalendo mshirika wa Chadema katika upinzani.

Kiongozi wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amempongeza Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe kwa kuchaguliwa tena kuwa Mwenyekiti wa chama hicho kwa kura nyingi.

Zitto Kabwe amepongeza pia viongozi wengine waliochaguliwa na jinsi uchaguzi ulivyoendeshwa kwa njia ya kidemokrasia.

"Nakupongeza ndg. Freeman Mbowe kwa kuchaguliwa tena kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa. Nawapongeza wana CHADEMA kwa kumaliza Mkutano Mkuu wa Chama chenu na kuchagua safu ya Uongozi kwa miaka mitano ijayo. Tushirikiane kuweka mikakati ya pamoja kuhami demokrasia yetu" - Zitto Kabwe

View attachment 1297240
Chama cha Demokrasia na maendeleo kimekuwa kibovu kupita maelezo
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom