Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,234
Hii imekuja ikiwa ni siku moja tangu msanii huyo kusema kuwa anakubaliana na sera madhubuti za ACT Wazalendo. Msanii wakazi alieleza hayo alipokuwa anahojiwa na kipindi cha XXL cha Clouds FM jana.