Mnisaidie ndugu wanaJF kulidadavua suala hili. Zitto Kabwe ni mwenyeji wa Ujiji Kigoma. Na amewahi kuwa mbunge wa huko.
2015 alihamia Jimbo la Kigoma Mjini, na kuwa mbunge wa Jimbo hilo mpk 2020 ambapo uchafuzi ulimfanya ashindwe kutetea nafasi yake.
Hivi sasa Zitto Kabwe siyo mbunge, bali ni kiongozi mkuu wa chama cha ACT.
Lkn leo hii mhe. rais Samia akihitimisha ziara yake pale Kigoma Mjini Zitto Kabwe alitoa hotuba ya kuusemea mkoa wa Kigoma.
Sasa swali. Zitto alikuwa anatoa hotuba ya kuusemea mkoa wa Kigoma kama nani? Maana siyo mbunge wala siyo mwanaccm.
2015 alihamia Jimbo la Kigoma Mjini, na kuwa mbunge wa Jimbo hilo mpk 2020 ambapo uchafuzi ulimfanya ashindwe kutetea nafasi yake.
Hivi sasa Zitto Kabwe siyo mbunge, bali ni kiongozi mkuu wa chama cha ACT.
Lkn leo hii mhe. rais Samia akihitimisha ziara yake pale Kigoma Mjini Zitto Kabwe alitoa hotuba ya kuusemea mkoa wa Kigoma.
Sasa swali. Zitto alikuwa anatoa hotuba ya kuusemea mkoa wa Kigoma kama nani? Maana siyo mbunge wala siyo mwanaccm.