Nilipenda maelezo ya ZZK Kiongozi wa ACT katika Kikao cha Kamati Kuu ya chama chake iliyofanyika Zanzibar jana tarehe 08 Agosti, 2021. Alirejea ukweli kuwa Rais Samia alianza vema sana uongozi wake baada ya kifo cha JPM. Hata hivyo kwa siku za karibuni kuna kila dalili ametishwa na kundi la mahafidhina na mahayawani ndani ya Serikali na CCM ambayo yalifaidika sana utawala wa kipuuzi wa JPM.
Kundi hili linahusisha viongozi wa Polisi na baadhi ya wakuu wa TISS ambao hufanya assessment ya usalama hapa Nchini. Wameandaa taarifa za uwongo na kutisha hivyo kumuogofya SSH. Kundi hili la kina Sirro na wenzake walifaidi sana pesa za wizi wakati wa JPM kwa kisingizio cha mulenda usalama na kunyanyasa wapinzani. Fedha hizo hazikuwa na uwajibikaji maana JPM alipenda kudanganywa hasa katika masuala ya usalama na ukandamizaji wa wapinzani.
Miezi 3 ya mwanzo ya Utawala wa SSH kundi hili hawakupata fedha. Wanatumia kilio cha mabadiliko ya Katiba kutafuta haki ya kula fedha kama wakati wa JPM. Wanatumia jinsia ya SSH kumjengea hofu ashindwe kutawala kwa amani. Namuomba sana SSH Mungu amsaidie awe imara. Ndugu zangu Uongozi wa Nchi patika nafasi ya Rais sio kazi ndogo na hasa ukiwa mwanamke katika Nchi yenye tamaduni zetu.
Tumuombee sana SSH Mungu ampe akili ya kuishi maono yake. Hawa akina Sirro, Mwigulu, baadhi ya wakuu wa TISS. wahafidhina wa CCM waliofaidika na JPM, baadhi ya viongozi wa Dini na wengi Serikalini waliokula kwa JPM bila kunawa hawana nia ya kumsaidia.
Kundi hili linahusisha viongozi wa Polisi na baadhi ya wakuu wa TISS ambao hufanya assessment ya usalama hapa Nchini. Wameandaa taarifa za uwongo na kutisha hivyo kumuogofya SSH. Kundi hili la kina Sirro na wenzake walifaidi sana pesa za wizi wakati wa JPM kwa kisingizio cha mulenda usalama na kunyanyasa wapinzani. Fedha hizo hazikuwa na uwajibikaji maana JPM alipenda kudanganywa hasa katika masuala ya usalama na ukandamizaji wa wapinzani.
Miezi 3 ya mwanzo ya Utawala wa SSH kundi hili hawakupata fedha. Wanatumia kilio cha mabadiliko ya Katiba kutafuta haki ya kula fedha kama wakati wa JPM. Wanatumia jinsia ya SSH kumjengea hofu ashindwe kutawala kwa amani. Namuomba sana SSH Mungu amsaidie awe imara. Ndugu zangu Uongozi wa Nchi patika nafasi ya Rais sio kazi ndogo na hasa ukiwa mwanamke katika Nchi yenye tamaduni zetu.
Tumuombee sana SSH Mungu ampe akili ya kuishi maono yake. Hawa akina Sirro, Mwigulu, baadhi ya wakuu wa TISS. wahafidhina wa CCM waliofaidika na JPM, baadhi ya viongozi wa Dini na wengi Serikalini waliokula kwa JPM bila kunawa hawana nia ya kumsaidia.